Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views



Diamond kaikopi hiyo hapo juu,


Pia huo huo wimbo uliwahi kutumiwa na wamarekani katika action move yao
 
AJE ya KING KIBA inamchanganya sana MONDI hadi usingizi hapati naona anatoa toa nyimbo ovyo mara na papa wemba mara atumie beat ya french montana mara atoe salome yaani jamaa anahaha na AJE STILL IKO HOT
We nae umekazana na kibakuli wako..huna support lkn umo tuu..kibakuli hatoi nyimbo cz hana hela..mnakodoas kodo
 
Haaa asokujua kua ww n the biggest hater w wcb nani hapa jukwaani? Hahaha kwahyo hata x bella aluvyoimba wimbo wake na yy mzik umemshinda?jay dee je? Mr paul? Shakira ?wale walioimba wimbo wa we r the one wakina justin beiber ? Na wenyewe wameishiwa haaha halafu mtu kama wewe kweye harusi unaucheza mpaka unakanyaga watu haaha hater leo mtalala mnawaza sana
Hawa si ndio macho kodo wapotezee tu
 
Wanaikubali kuwa ya saida itakuwa nyimbo bora kuwahi kutokea
 
Ucheshi na sautieee
Amenifanya nammiss tuu
Mwambie asiogope
Aliii ni kipenzi cha watuu
Nitafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na rafiki zakee
King kibaaaa AJE hizi ndio nyimbo za kudikiliza sio kukopy kopy tu nyimbo za watu hapa
Blaza kibakuli hasikiki kubalini tu
 
Back
Top Bottom