Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Hahahahaaaaaaa
Ukafananishe hizi saida karoli na nisamehe?
Acha basi kulazimisha moja kuwa Saba
Ila ushabiki ni mbaya Sana jamani
Hakuna ushabiki hapo kama ushabiki mimi ni shabiki namba moja wa Ali toka enzi za Sabrina,Wajua wa Queen Darleen,Sikuoni,nalia wa Ab Skills na uniambii kitu kuhusu Ali.

Ila kwenye ukweli tunasema hiyo itafanya kuwasaidia tunaowapenda sio kuwapa sifa za uongo...ila Nisamehe amna kitu haikufikia matarajio..Siwezi ulikuwa wimbo mkali mara 10 ya huu Nisamehe kama unabisha na hili nitakuacha kama ulivyo
 
Hii ngoma ni kali mno...Tulitegemea ule nisamehe wa Baraka na Ali ungekuwa mkali ila walituangusha wale jamaa...Diamond anajua kutumia nafasi kwa hili dude majamaa wamekuja kuivunja vunja Nisamehe.

Ila inaniuma kusema hivi maana mapenzi yangu kwa King Kiba ni makubwa mno ila Hapa no naacha unafiki.

Raymond ni nyokoo huyu mtoto...kwa mtazamo wangu kamfunika Boss wake kwenye hii ngoma.

[HASHTAG]#TeamKariakoo[/HASHTAG]
Binafsi hata ya Baraka naipenda. Ingawa na hii ya Diamond ni moto wa kuotea mbali.
 
Hahahahaaaaaaa
Ukafananishe hizi saida karoli na nisamehe?
Acha basi kulazimisha moja kuwa Saba
Ila ushabiki ni mbaya Sana jamani
Amna ushabiki hapo na ukitaka ushabiki mimi ni shabiki wa Ali mara 10 ya ulivyo wewe...ila weka mahaba pembeni alafu nipe jibu ukiambiwa uzipange Siachane nawe,Siwezi na Nisamehe ipi utaiweka nafasi ya kwanza?!
uKishapata jibu utajua point ya msingi ipo wapi
 
Wimbo ni poa aliamua kutoa wimbo ya kitamaduni na kafanya fresh.
Dimond hatoi wimbo unaoutaka anatoa wimbo anao utaka na katembea furesh
Yaani kaimba wimbo wa asili yetu halafu video Ina asili ya Nigeria na Yale majuba aloyavaa hahaa poor diamond , alikosa kushona hata vitenge aendane na tamaduni yetu watz, najua mtapinga ila kiukweli hajawatendea haki wabongo huo sio utamaduni wetu japo wimbo ni wa kwetu
 
Ila wimbo wame cover wa Saida Karoli, kama hawakuelewana kuna kesi hapa.

Hii hata si sampling, hii ni cover version.

Huu wimbo wa Saida Karoli kila mtu anayefuatilia muziki anajua, mpaka kuna movie moja ya Kimarekani ya Tyler Perry inaitwa "Peeples" umepigwa kama soundtrack.
Yaani akili zako zinakutuma kuamini kama Diamond na Team yake wangekubali kuutoa huu wimbo bila kukubaliana na Saida Karoli na Mzee Mutta?
 
Hii ngoma ni kali mno...Tulitegemea ule nisamehe wa Baraka na Ali ungekuwa mkali ila walituangusha wale jamaa...Diamond anajua kutumia nafasi kwa hili dude majamaa wamekuja kuivunja vunja Nisamehe.

Ila inaniuma kusema hivi maana mapenzi yangu kwa King Kiba ni makubwa mno ila Hapa no naacha unafiki.

Raymond ni nyokoo huyu mtoto...kwa mtazamo wangu kamfunika Boss wake kwenye hii ngoma.

[HASHTAG]#TeamKariakoo[/HASHTAG]
Taratiibu mutanyooka, binladen ni nyoko, mmemkosea muda mrefu kwa kumlinganisha na kibakuli
 
Yaani kaimba wimbo wa asili yetu halafu video Ina asili ya Nigeria na Yale majuba aloyavaa hahaa poor diamond , alikosa kushona hata vitenge aendane na tamaduni yetu watz, najua mtapinga ila kiukweli hajawatendea haki wabongo huo sio utamaduni wetu japo wimbo ni wa kwetu
Utafikiri we umevaa magome ya miti hapo kumbe kitu Made in China au Thailand.
 
Yaani kaimba wimbo wa asili yetu halafu video Ina asili ya Nigeria na Yale majuba aloyavaa hahaa poor diamond , alikosa kushona hata vitenge aendane na tamaduni yetu watz, najua mtapinga ila kiukweli hajawatendea haki wabongo huo sio utamaduni wetu japo wimbo ni wa kwetu
Mbona kuna msanii aliimba wimbo wa mwana Dar es salaam , lakini akenda kutolea video South Africa!!?
Nadhani Mondi anawakilisha sanaa ya Afrika nzima pale kawepa u pwani , u nyasa kidogo na u nigeria (ukimataifa)
Halafu hapo sasa ndo kajitofautisha na Saida baye yeye ali itolea ki haya sasa mondi angekuwa naye hana jipya na wangemsema tuu


Si muda ntakuja huko kwako
 
Utafikiri we umevaa magome ya miti hapo kumbe kitu Made in China au Thailand.
Mnashadadia wimbo wa asili , Asili yenu iko wapi kwenye hiyo video uzalendo hakuna pamoja na huyo domo wenu, aisee wabongo kwenye mahaba hamjambo hadi mnasahau utamaduni wenu msanii wenu anaiga tamaduni za nchi nyingine et kaimba wimbo wa asili aiseee
 
Diamond kazindua wimbo wake mpya ni ule wimbo wa Saida Karoli wa Salome kaumix mix.

Mwanasheria wa Saida anapanga kwenda mahakamani. Itakuwa nafasi ya Saida Karoli kurudi kwenye muziki maana atalipwa mamilioni naona. Tusubiri tuone.

This Song was written by Diamond Platnumz & Rayvanny in Tanzania 2016. The beat was produced, mixed and got Mastered by Lizer from Wasafi Records Tanzania. The Video was shot in Tanzania by Director Nicorux from South Africa, on the 10th of April 2016.
Hivi dayamond na ukimataifa wake ame sample nyimbo kama hii bila kibali???
 
Diamond kazindua wimbo wake mpya ni ule wimbo wa Saida Karoli wa Salome kaumix mix.

Mwanasheria wa Saida anapanga kwenda mahakamani. Itakuwa nafasi ya Saida Karoli kurudi kwenye muziki maana atalipwa mamilioni naona. Tusubiri tuone.

This Song was written by Diamond Platnumz & Rayvanny in Tanzania 2016. The beat was produced, mixed and got Mastered by Lizer from Wasafi Records Tanzania. The Video was shot in Tanzania by Director Nicorux from South Africa, on the 10th of April 2016.
hakuna sheria duniani inaykataza mwnamuziki kufanya demo/remix ya wimbo wa flani acha porojo
 
Amna ushabiki hapo na ukitaka ushabiki mimi ni shabiki wa Ali mara 10 ya ulivyo wewe...ila weka mahaba pembeni alafu nipe jibu ukiambiwa uzipange Siachane nawe,Siwezi na Nisamehe ipi utaiweka nafasi ya kwanza?!
uKishapata jibu utajua point ya msingi ipo wapi
Wewe unakwenda nje ya maada kabisaaaaa
Swali lipo kwenye kukopi na kupest mpaka melody na maneno yenyewe.
Basi na beat utakataa?
Sasa mambo ya siachani na we na hayo mengine yanatoka wapi?
Basi nikukubalie kwamba kakopi baraka sasa je kamkopi nani Kama unalazimisha nikukubalie nayeye alikopi?
 
Back
Top Bottom