Kaz kaz
Member
- Nov 30, 2015
- 72
- 66
Lakini haing'atiMmmmh video kali
Lakini haing'atiMmmmh video kali
Audio sasa labda ntaielewa baadaeLakini haing'ati
Kasome kw page ya salaam ndio utakujakusema hapa kua hajapewa idhin hahahaha
Supported by diamond platnumz baby
Hahahaaa pale swali linapokuingia![]()
![]()
![]()
![]()


pale unapoamua kujichekesha. Katupie tatu kichwa kesho hizo Rasta siyo utamaduni wetu.Hahah mtu akiangalia ule wimbo wa mwana dsm anajua kabsa hakuna connection.Sasa kwenye hiyo video tamaduni yenu tz iko wapi? Hahaaa nyie hamko serious kabisa wimbo huo kaimba Saida ni wa asili ya Kitanzania mm sijasema aonyeshe asili ya wahay angeonyesha asili yetu watz kwasababu mziki Una tamaduni yetu au uquality wa video ni mavaz ya kinigeria ndo inakuw video quality au angetengeneza video yenye Asili ya kitanzania ndo isingetazamwa kwani huwez kuvaa kitz na ukatengenezea video SA lkn ikaonekana Ina mahadhi ya Tz, hoja zenu hazina mashiko kubali mkatae boss wenu huyo Ana unigeria mwingi mpaka anaboa .. Watz hamjikubali
Hahaha.kwahyo bongo hatuvai vitenge?
tunda hajavaa kitenge?
na wale wadada wenye nyungo?
moseiyobo kajifunga nini?
au hizo kwachu kwachu ndo zimeharibu...
na hio makeup ya maznat????
natamani dogo angeendelea kuimba. mbona watizama chini....... bonge la lyricsLyrics zake zinanikosha.tukimbizane nini salome wangu, hiyo michezo ya kijogoo. Inama kidogo,shika magoti.mimi nimesimama kama ngongoti. Hapo ni kimafumbomafumbo.
Tena wasipojiuliza, na jina kaita la original song lakini bado mtu anaamini kafanya hivyo bila kuhusisha wamiliki!!!Hivi Diamond atakuwa mjinga kiasi gani kuachia wimbo kama ule bila kuwa na makubaliano na saida mwenyewe?
Kv kafanya sampling, au?!Hapo ubunifu umempiga chenga sana. Naona safari ya muziki imefika bandarini.
Hahaa n mm pia namalizia kuwajambisha haters halafu ni replay aa much as i can
Una roho ngumu, kama mkaanga sumuAiseee ni mbaya sana kiukweli sijaupenda hata chembe
Kumbee?Duh so kuikubali nyimbo ni minyoosho
Kazi unayo hadi unatia huruma aisee!!!Hahhaaa kuwahi kutokea katk nchi ya Tanzania au Nigeria??? Maana maneno tu ya kitanzania lakn video ni unigeria mtupu.. Poor Tanzania
Kweli hizo ndio nyimbo za kidikilizaUcheshi na sautieee
Amenifanya nammiss tuu
Mwambie asiogope
Aliii ni kipenzi cha watuu
Nitafanya party nyumbani
Hiyo yote kwa ajili yake
Tena asije peke yake
Asiogope aje na rafiki zakee
King kibaaaa AJE hizi ndio nyimbo za kudikiliza sio kukopy kopy tu nyimbo za watu hapa