tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,064
Halafu nimemuona mtoto mzuri Tunda/cleopatra wa bongo hehehe hpo nimekugusa mtanashati heheheSawa karibu tena
Kiasi uupende huu wimbo
Halafu nimemuona mtoto mzuri Tunda/cleopatra wa bongo hehehe hpo nimekugusa mtanashati heheheSawa karibu tena


















Hahaa huyo anayesema kuziziba kichwan atakua na zeromboga 7 na jike shupa mbona wameshndwa kuzizima
KWELI KABISAA DEARHahaa huyo anayesema kuziziba kichwan atakua na zero
Mtu unaanzaje kumzibia mwenzio ridhki? Team nyingne wanatapatapa jamaniii
Kwann azimiww?kama kafanya vizuri zaidi asipendwe?ye baraka kama kafanya kituko kitajizima automatic
Diamond kazindua wimbo wake mpya ni ule wimbo wa Saida Karoli wa Salome kaumix mix.
Mwanasheria wa Saida anapanga kwenda mahakamani. Itakuwa nafasi ya Saida Karoli kurudi kwenye muziki maana atalipwa mamilioni naona. Tusubiri tuone.
This Song was written by Diamond Platnumz & Rayvanny in Tanzania 2016. The beat was produced, mixed and got Mastered by Lizer from Wasafi Records Tanzania. The Video was shot in Tanzania by Director Nicorux from South Africa, on the 10th of April 2016.
MSANII KUFANYA COVER NI KUISHIWAKumbe tushakubaliana kwamba ni cover!!!
Kama umekubaliana sawa na hii siyo cover ni kukopi na kupesti aiseeeee
Huhuhuuuuuu![]()
Wasubiri hapo hapo wanakuja........Habari wanajf!!
Mimi ni jirani wa ali kiba (msanii anayeishi kwa mama na kula ugali wa shikamoo).
Nadhani inafahamika kuwa mdogo wetu ali kiba ni kula kulala,asubuhi hii nimeskia ali kiba anaplay ngoma ya salome ilyo kuwa released na msanii wa karne simba vampire hivyo nimeshawishika kuamini kuwa ali kiba ni fan wa simba....
Mbona husemi kuwa wewe ni-marioooo?????Habari wanajf!!
Mimi ni jirani wa ali kiba (msanii anayeishi kwa mama na kula ugali wa shikamoo).
Nadhani inafahamika kuwa mdogo wetu ali kiba ni kula kulala,asubuhi hii nimeskia ali kiba anaplay ngoma ya salome ilyo kuwa released na msanii wa karne simba vampire hivyo nimeshawishika kuamini kuwa ali kiba ni fan wa simba....
Sasa siushanisaidia kusema hapo,niseme nini tena?Mbona husemi kuwa wewe ni-marioooo?????
Jamaa uliokuwa unawatafuta ndio hao wamekuja! Kuwa mpole!Sasa siushanisaidia kusema hapo,niseme nini tena?

Nimepata falsafa mpya aiseeeeUkitaka kufanikiwa nchi hii shirikiana na wahaya au jiusishe na wahaya...
