Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Salome: Diamond Platnumz ft Rayvanny - General Views

Kumbe tushakubaliana kwamba ni cover!!!
Kama umekubaliana sawa na hii siyo cover ni kukopi na kupesti aiseeeee
Huhuhuuuuuu
 
mboga 7 na jike shupa mbona wameshndwa kuzizima
Hahaa huyo anayesema kuziziba kichwan atakua na zero
Mtu unaanzaje kumzibia mwenzio ridhki? Team nyingne wanatapatapa jamaniii
Kwann azimiww?kama kafanya vizuri zaidi asipendwe?ye baraka kama kafanya kituko kitajizima automatic
 
Kachacha huyo hana tena jipya. Baba lao the King of the Kings in Bongo Flava Ali K.
 
Hahaa huyo anayesema kuziziba kichwan atakua na zero
Mtu unaanzaje kumzibia mwenzio ridhki? Team nyingne wanatapatapa jamaniii
Kwann azimiww?kama kafanya vizuri zaidi asipendwe?ye baraka kama kafanya kituko kitajizima automatic
KWELI KABISAA DEAR
 
Diamond kazindua wimbo wake mpya ni ule wimbo wa Saida Karoli wa Salome kaumix mix.

Mwanasheria wa Saida anapanga kwenda mahakamani. Itakuwa nafasi ya Saida Karoli kurudi kwenye muziki maana atalipwa mamilioni naona. Tusubiri tuone.

This Song was written by Diamond Platnumz & Rayvanny in Tanzania 2016. The beat was produced, mixed and got Mastered by Lizer from Wasafi Records Tanzania. The Video was shot in Tanzania by Director Nicorux from South Africa, on the 10th of April 2016.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-09-19-09-39-40.png
    Screenshot_2016-09-19-09-39-40.png
    135.4 KB · Views: 39
kwel mti wenye matunda,....uongozi wa Dai na Saida wote wamekaa na kukubaliana hili,na manager wa Saida ametoa baraka zote ktk remix hii,so hkn kupelekana mahakamni wala nn,relax team ......
 
hapo kwa muta ndio walipowaweza watu maana teamfulan ilikua lazima waje hapa kuanza kusema maana kuna mwanasheria wa kujitolea alishasema ataenda mahakaman
 
Habari wanajf!!
Mimi ni jirani wa ali kiba (msanii anayeishi kwa mama na kula ugali wa shikamoo).
Nadhani inafahamika kuwa mdogo wetu ali kiba ni kula kulala,asubuhi hii nimeskia ali kiba anaplay ngoma ya salome ilyo kuwa released na msanii wa karne simba vampire hivyo nimeshawishika kuamini kuwa ali kiba ni fan wa simba....
 
Habari wanajf!!
Mimi ni jirani wa ali kiba (msanii anayeishi kwa mama na kula ugali wa shikamoo).
Nadhani inafahamika kuwa mdogo wetu ali kiba ni kula kulala,asubuhi hii nimeskia ali kiba anaplay ngoma ya salome ilyo kuwa released na msanii wa karne simba vampire hivyo nimeshawishika kuamini kuwa ali kiba ni fan wa simba....
Wasubiri hapo hapo wanakuja........
 
Habari wanajf!!
Mimi ni jirani wa ali kiba (msanii anayeishi kwa mama na kula ugali wa shikamoo).
Nadhani inafahamika kuwa mdogo wetu ali kiba ni kula kulala,asubuhi hii nimeskia ali kiba anaplay ngoma ya salome ilyo kuwa released na msanii wa karne simba vampire hivyo nimeshawishika kuamini kuwa ali kiba ni fan wa simba....
Mbona husemi kuwa wewe ni-marioooo?????
 
Kiba hawatoki midomoni mwenu eb mwacheni kaka wa watu
 
Back
Top Bottom