philemon mikael,lunyungu,pundamilia,fidel08,
..mwacheni Mama apeleke maendeleo Lindi,Pwani,Mtwara, na mikoa mingine ya "pembezoni."
..wakati wa uraisi wa Mkapa ilikuwa ni aibu kubwa kwani jimbo alilozaliwa ndiyo lilikuwa linaongoza kwa kutia mimba watoto wa shule, pamoja na utoro.
..pia sijui kama mliona picha za mashule ktk jimbo la Raisi Kikwete wakati wa kampeni za Uraisi. kwa kweli ilikuwa ni aibu ya kutisha ukizingatia kwamba Kikwete alikuwa waziri kwa miaka zaidi ya 15 kabla ya hapo.
..mimi usongo wangu uko kwa wale wanaochota Tanzania na kupeleka nje.
..kwa Mama Salma yeye aendelee kuchota huko nje na kupeleka Mtwara na Lindi. ndoto yangu ni kesho na keshokutwa vigogo waanze kusomesha watoto wa Lindi na Mtwara, siyo Mbeya na Kilimanjaro tu.