Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,349
Salim Kikeke jina lake limefanikiwa kurudi kama mgombea ubunge wa Moshi Vijijini. Ni haki yake kikatiba ingawa hakuna Mtanyika anaweza kugombea ubunge Mjini Magharibi.
Wakazi wa Moshi Vijijini ni wafugaji wakubwa wa nguruwe. Ufugaji huu ndiyo unawapatia rizki , kuwezesha kulipa kodi na kusomesha watoto wao.
Moja ya changamoto zinazowakabili ni malisho, na soko la wanyama hawa. Kuanzia soko la kitimoto.
Salim utaweza kutafuta soko la kitimoto na kupigania malisho? Moshi Vijijini hakuna vijana wanaojua hizi changamoto na wana sifa za kuwa wabunge?
Ninamtakia Salim Kikeke kampeni njema.
Wakazi wa Moshi Vijijini ni wafugaji wakubwa wa nguruwe. Ufugaji huu ndiyo unawapatia rizki , kuwezesha kulipa kodi na kusomesha watoto wao.
Moja ya changamoto zinazowakabili ni malisho, na soko la wanyama hawa. Kuanzia soko la kitimoto.
Salim utaweza kutafuta soko la kitimoto na kupigania malisho? Moshi Vijijini hakuna vijana wanaojua hizi changamoto na wana sifa za kuwa wabunge?
Ninamtakia Salim Kikeke kampeni njema.