Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,014
Cc.
Kibonde ( R.I.P)
Kibonde ( R.I.P)
Suali zuri sana,Je tunaitikia vipi?
Hizo salamu ni ushenzi na unafiki tu Mambo ya kikazi na salamu za nyumba za ibada wapi na wapiNi mbwembwe za wanasiasa tu kujionyesha wako karibu na Mungu sana ila waendelee kukubalika.
Huyu hapa Dr Faustine NdugulileNitarudi ngoja nikamtafute Ndugulile.
Unaitikia Ameen !Je tunaitikia vipi?
Kwa sasa mama anaenda vizuri sana hasa baada ya kumtoa yule jamaa aliyetaka kuendeleza chuki na kuwagawa watanzaniaNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Hii ni salamu bora kutokea toka tumepata uhuru.
Mama endelea kutumia hii salamu kila mara.
Salamu hii haina ubaguzi, ni salamu yenye kuunganisha Taifa.