Wanadini wengine wanaitikiage hapo?Tumsifu Yesu Kristo...!!!
Ukianza salamu za kidini na Rastafarians nao watadai uwasalimie kwa kusema "Jaaaaah, Rastafari, Haile Selassie I".Kwanza kabisa nawasalimu wanajamii wote kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Hakika tumepata rais asie mnafiki,huyo ndio amaonyesha wazi kuwa serikali haina dini.
Haya masalamu mengine ya kibaguzi tu,unakutana na mtu hajui imani yako anaanza "bwana yesu asifiwe" "salam alekem"
Salamu ya Rais wetu inajumuisha watu wote wa dini zote na hata wasio na dini kama kina Kiranga Yoda Johnny Sack . Sioni faida ya hizo salamu za kidini zaidi ya utambulisho wa mtu tu na jana mama hakuanza kusalimia salimia kila aina na kujichosha bure.
Wadau mnaonaje hii salamu ya mama?
KabisaUkianza salamu za kidini na Rastafarians nao watadai uwasalimie kwa kusema "Jaaaaah, Rastafari, Haile Selassie I".
Wahindu watataka kkvyao Namaste au Om Shanti.
Wenye dini zao za kikabila nao watataka uwasalimie kwa dini zao.
Kila mtu atataka kivyake, vurugu tupu.
Kwa vile serikali yetu ni secular, haina dini, salamu ya mama Rais Sasha Fierce Queen Bee ina mashiko.
Hizo nyingine tutasalimiana makanisani, misikitini, mahekaluni na sehemu nyingine tunapojua hapa zinafaa.
usiogope. hata dhambi ya uzinzi ilishafanyiwa marekebisho na mbunifu wa dhambi. dhambi ni kubaka. kama kuna makubaliano halali sio kosa wala dhambi!Mimi sitacomment chochote, katika uzi huu sitaki kutenda dhambi, dhambi yangu ya uzinzi inanitosha. 😷