Salamu Toka kwa Erickb52

Salamu Toka kwa Erickb52

Last edited by a moderator:
Nipo mbona, umenitafuria wapi?Asante kwa salam, nakukumbuka pia.

  • Binafsi namtumia salam dada afrodenzi popote alipo. Ujumbe wa leo: Raha ya salam kurudishiana. Salam zangu zisindikizwe na wimbo: shadow dancer wa Lokua Kanza.
  • Salam zangu za pili zimfikie alter ego, bi AshaDii. Ujumbe wangu ataupata kwa njia tunazo zijua wenyewe. Hint: "en decolleté plongeant-vertigineux aujourd'hui, je me sens irresistible"
  • Salam zangu za mwisho kabisa ni kwa ndugu zangu Makedha, @3d , mose na Gajungi. mmepotelea wapi? Miss you vi-major!
Au mi ndo nilikuwa porini?
Nimefurahi kiukweli kukuona Roulette na naomba umwambie Mwali namsalimia saaaaaaaaana!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
erick mi staki salam zako hadi umrudishe mke wangu,vinginevyo jamvi litachimbika,muulize Nyani Ngabu nilimfanya nini alipochezea anga zangu,mpaka NN ni kanzu tu suruali anaisikia kwenye bomba.
 
Last edited by a moderator:
erick mi staki salam zako hadi umrudishe mke wangu,vinginevyo jamvi litachimbika,muulize Nyani Ngabu nilimfanya nini alipochezea anga zangu,mpaka NN ni kanzu tu suruali anaisikia kwenye bomba.
 
Last edited by a moderator:
erick mi staki salam zako hadi umrudishe mke wangu,vinginevyo jamvi litachimbika,muulize Nyani Ngabu nilimfanya nini alipochezea anga zangu,mpaka NN ni kanzu tu suruali anaisikia kwenye bomba.
Hahahaaaa mi nishaweka oda ya Kinga kwa Kongosho kanambia nimpelekee mnafu wa blue na Kuku wa kijani kabla ya saa sita jioni!
So hata achana na mimi meeen!
Kwanza hao wake zako nshawamwaga niko nataka kuongea na YNNAH aje kwenye Himaya yangu
 
Last edited by a moderator:
Mke wako au wake zako.
Hahahaaa wengine si walikuwa wanampiga mabuti akanahatika kwa The secretary
Sasa na huyo nkamchukua ndio anamtaka ila mi nilishammwaga zamaniii coz inaonekana msumbufu yan anatakaga Kila saa utadhani mi natumia mashine oooh asije niua mtoto wa watu
 
Last edited by a moderator:
Mwambie asikunyanyase! Au ntamnyima makitu mazurimazuri !
Kaka ukimnyima shem makitu mazuri mazuri itakula kwako oooh kuna watu wametega wanangoja uache wabebe( Bishanga ) Wazee wa kuokota mabaki
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa mi nishaweka oda ya Kinga kwa Kongosho kanambia nimpelekee mnafu wa blue na Kuku wa kijani kabla ya saa sita jioni!
So hata achana na mimi meeen!
Kwanza hao wake zako nshawamwaga niko nataka kuongea na YNNAH aje kwenye Himaya yangu
Amyner anajua haya au ndo ushamdanganya kuwa unaenda kwenye mkutano wa dini
 
Last edited by a moderator:
toka lini umeanza biashara ya ukuwadi maana naona unaanza kuwatafutia soko watu hapa CUTE umekubali hilo deal Erickb52 anataka kufanya hapa kwako eti uende kwa BAGAH
Hahahaaaa nampenda sana CUTE na kwa kuwa mimi niko na Amyner siwezi kuwa nae so ndo natamani awe na mdogo wangu BAGAH coz dogo nae katulia siku hizi
 
Last edited by a moderator:
Kaka ukimnyima shem makitu mazuri mazuri itakula kwako oooh kuna watu wametega wanangoja uache wabebe( Bishanga ) Wazee wa kuokota mabaki



Jamaniiii shem leo umeamka namimi so wataka sema mi ntakua mabaki kakaako akinimwaga? Mi nakwambia omba sana leo siku yako iishe salaama laasivo utajuuuta
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa nampenda sana CUTE na kwa kuwa mimi niko na Amyner siwezi kuwa nae so ndo natamani awe na mdogo wangu BAGAH coz dogo nae katulia siku hizi

mbona maelezo yanajichsanganya maana "unampenda sana CUTE " na wakati huo huo unamkabidhi kwa mharibifu BAGAH (sorry nimesema mharibifu) kijana BAGAH
sasa hapo si ukuwadi huo je wahusika wanajua hilo deal lako au ndo biashara uliyoanza siku hizi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom