Hahahaaaa Kongosho umenichekesha na Kutunza harakati lol sikuwa naijua hiyo!
Hapa naona kuna mtu ananiweza kweli kweli hope unamjua coz hata yeye amepotea
Hehehee hiyo lazma itakuwa kule Singida kwa kuku wa kienyeji na itakuwa inanyweka na wazee tu na BibisWe nae, uliacha maini ukakimbilia mapafu.
Hivi kuna supu ya mapafu ya kuku kweli??
Ngoja nikilie paja, kipapatio marfuku mie
Mr Rocky mie nilishamuambia siku nyingi kuwa simtaki hata akinipa na hela juu lolWewe Erickb52 na Amyner unamuachia nani huku unamuania The secretary na BADILI TABIA japo kwa siri King'asti huyo Erickb52 asikuchemshe wala nini
Ana ntumba ndogo kama utitiri na bado Remmy na cacico anawataka na sweetlady pia
sasa huto si ni karibia king mswati
Mr Rocky mie nilishamuambia siku nyingi kuwa simtaki hata akinipa na hela juu lolWewe Erickb52 na Amyner unamuachia nani huku unamuania The secretary na BADILI TABIA japo kwa siri King'asti huyo Erickb52 asikuchemshe wala nini
Ana ntumba ndogo kama utitiri na bado Remmy na cacico anawataka na sweetlady pia
sasa huto si ni karibia king mswati
Ukinifanya hivyo uniwekee na kanyoka kadogo kawe kanawadonoa wadada wanapochuchumaa kuchimba dawa lol
Wataruka kwa mshituko na hawatachimba dawa tena kwenye hako kapori