Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
- Thread starter
- #221
Hahahaaaa ndio wanasheria wetu hao!Sasa wewe unataka kukutana na mshitakiwa in private kwann!?? au ndo kunizunguka nianze kutafuta msaada pengine!??
NATAFUTA MWANASHERIA WA KIKE SASA HIVI..any one around!???
Namimi kaniita USA jumapili sasa anaangalia atakayetoa dau kubwa ndio anashinda kesi