Salamu Toka kwa Erickb52

Salamu Toka kwa Erickb52

Kaka ukimnyima shem makitu mazuri mazuri itakula kwako oooh kuna watu wametega wanangoja uache wabebe( Bishanga ) Wazee wa kuokota mabaki

Mdogo wangu! That's minor , and then niko makini zaidi ya sana .
Kumuhamishia mtu nyeti zake zikahamia kwenye shavu ni very cmpo!
Na ikikaa kwenye shavu haizibiki hata kwa kuvaa kapelo!
Mlingotini ndiyo babu alipo Laid in RIP.
 
Last edited by a moderator:
Mdogo wangu! That's minor , and then niko makini zaidi ya sana .
Kumuhamishia mtu nyeti zake zikahamia kwenye shavu ni very cmpo!
Na ikikaa kwenye shavu haizibiki hata kwa kuvaa kapelo!
Mlingotini ndiyo babu alipo Laid in RIP.
Hahahaaaaaaaaa kaka umenichekesha sana aisee
Hebu naomba unisaidie kuanza na za Bishanga coz ananitishia sana maisha kisa The secretary
 
Last edited by a moderator:
mbona maelezo yanajichsanganya maana "unampenda sana CUTE " na wakati huo huo unamkabidhi kwa mharibifu BAGAH (sorry nimesema mharibifu) kijana BAGAH
sasa hapo si ukuwadi huo je wahusika wanajua hilo deal lako au ndo biashara uliyoanza siku hizi
Heheheee kwanza futa kauli ya kumsema BAGAH au thibitisha uharifu wake lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom