Erickb52 atakuwa mtoto wa geti, dereva unamsubiri nje popote shule, kazini, kanisani, kwa hiyo hajui mitaa!
Kweli......itabidi awe anamtoroka dereva siku moja moja akufuate umtembeze......umpeleke mpaka lamlawa.....si unapajua pia eeh?
Kwa taarifa Erickb52 yule tumeanza nae toka kila mmoja ajiunge jf Dena Amsi hana mpinzani na ndo maana Yummy yeye atabakia nyumba ndogo tuu hata akienuda kwa Asprin au KARIA au Kaizer au Mentor au Bishanga au Nicas Mtei au sijui nani mwingine haiumi wala nini ila Dena Amsi yule ni no nyingine aise hana mpinzani kumoyo
52 mambo vipi mdogo wangu?
Btw mi mbona nipo sana kwa busati !
Unajua utulivu muda huu sinao ! Si wajua leo mavijana yangu ya Old Traford yako pitch na washampa Galatasary kib*lo so ngoja tuone final whistle.
hahaha! Platozoom naomba nisalimu na mimi niwe humbled pia... Huku na mimi nikituma salamu kwa Platozoom pia with love.
Mama mkwe waonaje hali yako..........Nakupa salamu toka kwenye zuria la sakafu ya moyo wangu pale ambapo inda, maumivu, presha, msongo na kila aina ya wahka haiwezi kufikia...........
Pamoja saana (source mama mkwe)
Khaaa we @plaozoom!!!! mkwe gani anasalimiwa kimjini hivi?..........utakosa mke walah
Wewe uko zama za mawe naona..........Hii sasa ndiyo inapendwa na wakwe, hata ukweni ukienda na suti wanakuona mshamba tu. Posa yenyewe inapelekwa kwa EMS..............Mahari inatumwa kwa M-PESA na harusi mnafunga wewe na mchumba wako wakati wakwe na jamaa zako wanatizama kupitia skype!!