Salamu Toka kwa Erickb52

Erickb52 atakuwa mtoto wa geti, dereva unamsubiri nje popote shule, kazini, kanisani, kwa hiyo hajui mitaa!

Kweli......itabidi awe anamtoroka dereva siku moja moja akufuate umtembeze......umpeleke mpaka lamlawa.....si unapajua pia eeh?
 
52 mambo vipi mdogo wangu?
Btw mi mbona nipo sana kwa busati !
Unajua utulivu muda huu sinao ! Si wajua leo mavijana yangu ya Old Traford yako pitch na washampa Galatasary kib*lo so ngoja tuone final whistle.
 
Last edited by a moderator:
hahaha! Platozoom naomba nisalimu na mimi niwe humbled pia... Huku na mimi nikituma salamu kwa Platozoom pia with love.

Mama mkwe waonaje hali yako..........Nakupa salamu toka kwenye zuria la sakafu ya moyo wangu pale ambapo inda, maumivu, presha, msongo na kila aina ya wahka haiwezi kufikia...........

Pamoja saana (source mama mkwe)
 
Khaaa we @plaozoom!!!! mkwe gani anasalimiwa kimjini hivi?..........utakosa mke walah

Wewe uko zama za mawe naona..........Hii sasa ndiyo inapendwa na wakwe, hata ukweni ukienda na suti wanakuona mshamba tu. Posa yenyewe inapelekwa kwa EMS..............Mahari inatumwa kwa M-PESA na harusi mnafunga wewe na mchumba wako wakati wakwe na jamaa zako wanatizama kupitia skype!!
 
Wewe uko zama za mawe naona..........Hii sasa ndiyo inapendwa na wakwe, hata ukweni ukienda na suti wanakuona mshamba tu. Posa yenyewe inapelekwa kwa EMS..............Mahari inatumwa kwa M-PESA na harusi mnafunga wewe na mchumba wako wakati wakwe na jamaa zako wanatizama kupitia skype!!


Hahahahah hii nimeipenda lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom