Salaamu kwa Wanaume.

Salaamu kwa Wanaume.

🤣🤣🤣🤣we mpare huu uzi utauona mchachu sana maana wapare ni kulisha makande tu wake zenu
Circle yangu ya washikaj wanajua umuhimu wangu kwenye mitoko, na siku nyngn hua wanasubiri ratiba yangu iruhusu ili niwepo kiwanja
 
Me Kuna mwanamke nipo nae mahusiano ya kisela no feelings attached huwa anapewa pesa huko na wanaume namm lazima atanipa au kuninunulia chochote
Wewe tutasalimiana siku nyingine leo hapa huusiki.
 
Asante kwa kuwasifia wanaume wahuni na malofa yaani kiatu kimoja, harafu mke pair 15 harafu hiyo eti ni sifa nzuri huo ni ulofa , inafanya yote hayo mwisho WA siku mpka Rangi ndo anamvua chupi ulioyomnunulia.
Mimi natimiza wajibu wangu kama mume LAKINI sipitilizi mpaka kuwa lofa.
Kama furaha tupeane wote kama shida inatuhusu wote LAKINI sio mke ananenepa baba unakonda hiyo hapana
 
Poverty isn't an issue, it's nature that rules the world
Watu wenye poverty anxiety ndiyo huona kila kitu katika huo muktadha wa kuhudumiwahudumiwa, wao kuwa needy kila saa, wao kut9kuwa productive na kuwa tegemezi.

Yani mtu badala ya kutafuta njia ya kuwa na chako unatafuta mwanamme wa kukuokoa.

It is because of poverty mindset and poverty anxiety.
 
Watu wenye poverty anxiety ndiyo huona kila kitu katika huo muktadha wa kuhudumiwahudumiwa, wao kuwa needy kila saa, wao kut9kuwa productive na kuwa tegemezi.

Yani mtu badala ya kutafuta njia ya kuwa na chako unatafuta mwanamme wa kukuokoa.

It is because of poverty mindset and poverty anxiety.
changu ninacho na ninakipambania lakini kuna raha ya kupewa na sio kupewa tu kupewa na mume, mpenzi au mchumba

ukumbuke utoaji sio utajiri, mtu anaweza akawa na hela na sio mtoaji na anaweza asiwe nazo nyingi ila kwenye kile kidogo anajikuna anapoweza na mtu unafurahi tuu
 
changu ninacho na ninakipambania lakini kuna raha ya kupewa na sio kupewa tu kupewa na mume, mpenzi au mchumba

ukumbuke utoaji sio utajiri, mtu anaweza akawa na hela na sio mtoaji na anaweza asiwe nazo nyingi ila kwenye kile kidogo anajikuna anapoweza na mtu unafurahi tuu
Kama chako unacho ila huishi kutazama, kutegemea, kutolea mate, kutaka kupewa cha mume, hiyo ndiyo poverty anxiety yenyewe.

Tena hata huongelei reciprocity, zaidi ya mbunye unampa nini huyo mwanamme?

Hiyo ni poverty anxiety.

Unakuwa kama wale watu waliozaliwa kwenye njaa ambao hata wakiondoka katika hali hiyo, wanataka kula kila saa, wanalundika chakula ndani, wanapakua kuliko uwezo wao wa kula, hata wakishiba wanakula tu, wakiwa wanakula wanafikiria nini watakula baadaye.

Ni poverty mindset, poverty anxiety.

Wanawake wengi Tanzania wana poverty mindset na poverty anxiety. Na pengine ni tatizo kubwa la kiutamaduni kuwapita wao, wamezaliwa wamelikuta, na wamekuwa socialized hivyo. They don't know any different.

Wanafikiri kupenda kuhudumiwa na mwanamme ndiyo mapenzi.

Kumbe ni kudanga, poverty mindset na poverty anxiety tu.

Na hili jambo linafanya wawe ama subservient au kuwa kama property ya wanaume, to be used and abused.
 
Back
Top Bottom