Salaamu kwa Wanaume.

Salaamu kwa Wanaume.

Mimi najua ukweli... Hakuna mwanamke duniani asiyetaka huduma. Imo ndani ya bailojia yenu. Ila tu nabisha kwasababu ni nyie wenyewe ambao mnalilia usawa wa 50 kwa 50 tena linapokuja swala la nafasi yenu katika jamii

Mwache mzee Kiranga ujue ni kama baba yako huyo? Na aliyosema ni yale yanayo endelea kwao huko, na ila pia hata wazungu wenyewe hawasemi tu ila usipo hudumumia anakutema
Kabisaaa
 
Kupata mwanamke anaye jua nafasi yake sasa ndo balaa linalo anzia... Unakuta mwingine sio mwombaji ila anajiona na yeye dume, mwingine ni mwombaji ila bado hana upendo wa kweli

Aisee no kazi kweli kweli
 
Back
Top Bottom