William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Field marshall ulikuwa na maana gani uliposema kuna Sultani mmoja kule London, anaisubiri sana Zanzibar?
- Mkuu wangu kumbe ulikuwa hujui hilo? Kwamba anayetengenezewa njia ya utawala na Seif ni huyo kjana Sultan aliyeko London? Ukienda kwenye archives za JF utakuta tumewahi kuyajadili sana hapa infact kuna topic moja hata picha yake huyo Sultan iliwekwa hapa, Ndio maana tunaomjua vizuri Seif huwa hatumtiliii maanani sana maana tunajua nia yake, hayo maneno hawezi kuyasema akiwa Mbeya, ndio maana anakimbilia kuyasenma Visiwani siku zote, akiwa Bara anakuwa kimyaaa.