HuyoA nataka kumuamsha mtu hpo
Ova
Awamu hii kuna wizi kuliko awamu nyingine zote.
Wanachofanya wateule wa rais ni kupitia kwenye ukali wa rais kujinufaisha. Huu ni ujambazi wa wazi kabisa.
Eti kamsweta sero akaenda kumtoa alfajiri ya saa kumiYaani saa 10 alfajiri na bunduki
Hiyo Vidmate umenikumbusha mbali Kiongozi. Maana kwa kudownload video ni mwisho wa maneno.
Msiilaumu ccm, laumu mtu husika, huko kwenye vyama pinzani hawa watu pia wapo, mara ngapi tumesikia upuuzi wa madiwani/wabunge toka vyama pinzani ? Huwezi laumu chadema/cuf kwa ubadhirifu wa mtu mmojaHii ndiyo CCM yenyewe
Huyu jamaa totally ni kichaa... Huyu hana tofauti na Idd Amin Dada
Je kuna tukio lolote hapo au mmechukua clips za DC ktk majukumu yake na kumpachikia story?
kwani aliyemteuwa ni mweyekiti wa Chama gani??? Kwanini mpaka sasa anamuacha ofisini??Msiilaumu ccm, laumu mtu husika, huko kwenye vyama pinzani hawa watu pia wapo, mara ngapi tumesikia upuuzi wa madiwani/wabunge toka vyama pinzani ? Huwezi laumu chadema/cuf kwa ubadhirifu wa mtu mmoja
Mbona kwa Bashite (Mzee wa mahips) haki haikutendeka pamoja na kunaswa na CCTV za pale mawingu??? Hata alipokataa kulipia ushuru furniture mbona haki haikutendeka??? As long as huyo jamaa ni mmoja wa mafisi ya Lumumba, hakuna atakachofanywa!Kumekucha
Haki tu itendeke katika hili.
Awamu hii kuna wizi kuliko awamu nyingine zote.
Wanachofanya wateule wa rais ni kupitia kwenye ukali wa rais kujinufaisha. Huu ni ujambazi wa wazi kabisa.
Kama isingekuwa CCM tungeona hatua at once.Msiilaumu ccm, laumu mtu husika, huko kwenye vyama pinzani hawa watu pia wapo, mara ngapi tumesikia upuuzi wa madiwani/wabunge toka vyama pinzani ? Huwezi laumu chadema/cuf kwa ubadhirifu wa mtu mmoja
Mimi natabiri DC kupanda kuwa RC au NW.Natabiri DC kupigwa chini