MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,016
- 16,813
Unatuletea utoto wako hapa peleka kwa makamanda fake huko Ufipa!
Kwa Kukusaidia tu Mimi ni mwana CCM mwenzako ( japo bado sina Kadi ya Chama ila ni Mkereketwa mkubwa tu ) na pia namkubali na nampenda mno Mheshimiwa Rais JPM huenda kuliko hata Wewe lakini kwa hili wala tusimung'unye maneno, tusitikise masikio na tusipepese macho ukweli uko wazi tu kwamba DC Sabaya ametenda hilo Kosa tena kwa 100% na wala haonewi au hasingiziwi. Kuwa mwana CCM hakumaanishi uwe unakubali na kutetea hata Upumbavu ulio wazi kabisa kwani kwa Kufanya hivyo ni Kujidhalilisha na Kukidhalilisha Chama chetu pia. Badilika na waambie wale Wapuuzi wenzio wanaojifanya ni wana CCM Kutetea Daima hata vitu vya hovyo hovyo nao wabadilike.