Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Msigwa ataweka barua soon ya kutenguliwa kwake.
 

Naendelea Kusisitiza tena kama kuna Mtanzania ambaye anadhani kuwa huyu DC Sabaya anasingiziwa au hajafanya kweli hicho Kitendo basi atakuwa ni Mpumbavu wa Kiwango cha Kimataifa. Na jana nilisema kwamba kama kuna Watu wa TAKUKURU wanataka Kuanza Kulichunguza hili Sakata wala wasipoteze muda kwani Sisi wengine tuliobarikiwa Saikolojia Kali ya Kiasili ( ya Kuzaliwa nayo ) huku tukiwa na Jicho Kali na Pevu la Ndege Mwerevu Tai ( Eagle ) tunasema kuwa kwa 100% huyo DC Sabaya amefanya hilo Kosa hivyo wapeleke Ripoti yao kwa Bosi wake ( Rais ) Magufuli ili amtumbuea haraka na ikiwezekana pia afunguliwe Kesi ili liwe Fundisho kwa Wapumbavu wengine wa mfano wake na hapa ndiyo tutaamini kuwa Rais Magufuli hana Ubaguzi na haangalii huyu ni CCM au Mpinzani bali ni Mtenda Haki.
 
Naendelea Kusisitiza tena kama kuna Mtanzania ambaye anadhani kuwa huyu DC Sabaya anasingiziwa au hajafanya kweli hicho Kitendo basi atakuwa ni Mpumbavu wa Kiwango cha Kimataifa. Na jana nilisema kwamba kama kuna Watu wa TAKUKURU wanataka Kuanza Kulichunguza hili Sakata wala wasipoteze muda kwani Sisi wengine tuliobarikiwa Saikolojia Kali ya Kiasili ( ya Kuzaliwa nayo ) huku tukiwa na Jicho Kali na Pevu la Ndege Mwerevu Tai ( Eagle ) tunasema kuwa kwa 100% huyo DC Sabaya amefanya hilo Kosa hivyo wapeleke Ripoti yao kwa Bosi wake ( Rais ) JPM ili amtumbuea haraka na ikiwezekana pia afunguliwe Kesi ili liwe Fundisho kwa Wapumbavu wengine wa mfano wake na hapa ndiyo tutaamini kuwa Rais JPM hana Ubaguzi na haangalii huyu ni CCM au Mpinzani bali ni Mtenda Haki.
Unasema ??
 
Huyu jamaa dc alipaswa ajiondoe kwa hiari mapema kwa heshima ya mkuu wake. Ama anadhani atabebwa kama sakata la Mnyeti!?
 
Naendelea Kusisitiza tena kama kuna Mtanzania ambaye anadhani kuwa huyu DC Sabaya anasingiziwa au hajafanya kweli hicho Kitendo basi atakuwa ni Mpumbavu wa Kiwango cha Kimataifa. Na jana nilisema kwamba kama kuna Watu wa TAKUKURU wanataka Kuanza Kulichunguza hili Sakata wala wasipoteze muda kwani Sisi wengine tuliobarikiwa Saikolojia Kali ya Kiasili ( ya Kuzaliwa nayo ) huku tukiwa na Jicho Kali na Pevu la Ndege Mwerevu Tai ( Eagle ) tunasema kuwa kwa 100% huyo DC Sabaya amefanya hilo Kosa hivyo wapeleke Ripoti yao kwa Bosi wake ( Rais ) JPM ili amtumbuea haraka na ikiwezekana pia afunguliwe Kesi ili liwe Fundisho kwa Wapumbavu wengine wa mfano wake na hapa ndiyo tutaamini kuwa Rais JPM hana Ubaguzi na haangalii huyu ni CCM au Mpinzani bali ni Mtenda Haki.
Well said.
 
Vijana wanaopewa dhamana wanatuangusha Sana.
Zama za mwalimu mtu akiwa mkuu wa wilaya au mkoa ni nadra kusikia kafanya hili au lile ni kwa wachache sana mfano kule Iringa na kilichotokea baadhi wanajua!! sasa hawa vijana under forties mkulu akimaliza muda wake wao inakuwaje? Mungu tu awape ufahamu maana safari yao bado ni ndefu!!
 
Zama za mwalimu mtu akiwa mkuu wa wilaya au mkoa ni nadra kusikia kafanya hili au lile ni kwa wachache sana mfano kule Iringa na kilichotokea baadhi wanajua!! sasa hawa vijana under forties mkulu akimaliza muda wake wao inakuwaje? Mungu tu awape ufahamu maana safari yao bado ni ndefu!!
Utajuaje wakati ulikuwa hata mimba yako haijatungwq!?
 
Back
Top Bottom