Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Sakata la Sabaya: CCTV zaanza kutema cheche

Huwezi sikiliza upande mmoja uka conclude ndiyo maana hata mahakamani wanasikilizwa wote sasa wewe kuona clip tu mapovu kibao hujui clip inaweza kuwa edited? Mtu makini huwa hatoi uamuzi mpaka asikie na upande wa pili. Tayari umeshaanza kuita watu wapumbavu simply umepata facts za upande mmoja!! That is asshole mkuu!

Bahati nzuri wenye Akili wenzangu Kubwa hapa JF kwa haya tu Maelezo yako yaliyojaa Uharo ambao unaweza ukawa pia umakutawala mno Ubongoni mwako wameshakujua jinsi ulivyo Mpumbavu na Siku si nyingi utaenda kuwa Mwendawazimu na ukifanya Mzaha unaweza hata ukaangukia kuwa Bata Mzinga.

Nasisitiza tena huku nikijiamini kabisa kama ilivyo hulka yangu kuwa mwana CCM Mwenzetu DC Sabaya kwa 100% kabisa amekifanya hicho Kitendo na ametuaibisha mno Sisi Wana CCM Makini na Werevu pamoja na Chama chetu na hivi mnavyoendelea Kumtetea ndiyo mnaonyesha ni jinsi gani CCM ya sasa ilivyojaza Makada Wapumbavu na Wendawazimu watupu wakiongozwa na Wewe Rais wao.
 
Tatizo kubwa ninaloliona mimi ni moja....

Kwamba, tukio hili limefanyika jimboni kwa Freeman Mbowe (KUB) - CHADEMA....

Kinachokuja haraka haraka kichwani mwangu ni hiki;

Kumpiga chini Ole Sabaya, ni kumpa ushindi Freeman Mbowe na CHADEMA hapo HAI japo kiuhalisia mpaka hapa tuhuma dhidi ya DC huyu zinaelemea upande wake kuwa, NI ZA KWELI....!!

Sasa, mkubwa atafanya nini hapa??

Ngoja tuone...
 
Nimeangalia video Mbili kama mtu akiniuliza kinaendelea nini hapo hata sielewi.
Naona maneno mengi yanaongelewa lakini nikitumia akili ndogo Kabisa sioni connection na hata aura za watu hazionekani
 
kwani aliyemteuwa ni mweyekiti wa Chama gani??? Kwanini mpaka sasa anamuacha ofisini??

Je yakifanyika mazuri huwa mnamsifia mtendaji au au mnaisifia CCM ???
Hili suala limeibuliwa jana/juzi kwanini unalazimisha maamuzi ya haraka kiasi hicho as if una maslahi nalo, serikali haifanyi lazi kama ambavyo ww inafikiri
 
Uyu DC inatakiwa muda huu awe kasimamishwa kazi,, kama ataachwa aendeleee kuna siku hawa Kwa jinsi magufuli anavyowabeba, watakuja kuua mtu Kwa kibri tu, maana watajua rais atawatetea hata wafanye nini
Kwani yule aliyeuwa kule Itigi ysliishia wapi?
 
Tatizo kubwa ninaloliona mimi ni moja....

Kwamba, tukio hili limefanyika jimboni kwa Freeman Mbowe (KUB) - CHADEMA....

Kinachokuja haraka haraka kichwani mwangu ni hiki;

Kumpiga chini Ole Sabaya, ni kumpa ushindi Freeman Mbowe na CHADEMA hapo HAI japo kiuhalisia mpaka hapa tuhuma dhidi ya DC huyu zinaelemea upande wake kuwa, NI ZA KWELI....!!

Sasa, mkubwa atafanya nini hapa??

Ngoja tuone...
Sabaya atapewa U RC
 
Nampongeza sana Swai kwa kitendo chake cha ujasiri. Bila yeye kufanya hivi hawa majinuni wangeendelea kunyanyasa wafanyabiashara.
Hata makonda kafanya sana michezo hii.
Walionewa na makonda hawakuwa na uthubutu wa kukusanya ushahidi.

Tulishaona hadi gari la drug dealer likiwa nyumbani kwa Makonda.

Mtetezi wa wanyonge endelea kukaa kimya
Ina maana Rais hajui hii michezo ya wateule wake?
 
The guilty are always afraid ni msemo mmoja wa kiingereza!Let me think outside the box.Kwa nin alikuwa akiombwa pesa anatoa na amelipia kila kitu?D.C ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilayani ana uwezo wa kuamka hata saa ngapi kama kuna mahali kuna shida.Tusije tukakuta madawa kule ndani mkaanza ni uonevu!Ukiwa unafanya vitu vya haki hata saa saba ukikaguliwa shida ni nini?ili mradi taratibu za kupekuliwa tu zifuatwe!
 
Back
Top Bottom