Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
sisemi mengi sasa na nyodo za kina uneducated makamba,phony & unqualified Nchimbi,200yrs old Kawawa,out of touch Lowassa na mafisadi wengine naona zimenipa steam ya kutosha to do something right...its hard to believe hiki ndio chama tawala na tunasubiri kitatuongoza vizuri kwa haki na kupata maendeleo hii karne ya 21,kuanzia leo nitafanya kila niwezalo kuing'oa CCM na nitaanzia jimboni kwangu kwenye nafasi ya ubunge...i'll use every weapon to my disposal kuanzia money,brain,influence,time etc,kukubali kutawaliwa na kushindwa kila chaguzi na CCM sasa ni kitu kisichokubalika na siamini kama hawa ni soooo smart kuendelea kutushinda...kila mtu afanye kitu sio kulalamika hapa tuu!
Mkuu,
Kila la kheri,kila mtu ana uwezo wa kufanya at least something.Kama mimi jimboni kwangu na kuambia CCM haipenyi 2010.Tutaona huo moto,na ni lazima hata kama si leo usambaae Tanzania nzima,CCM nasema wanapumua pumzi ya mwisho,hata wale wanamapinduzi wa kisasa na wanaotaka kuijenga nchi ya kanaani wajitokeze na kutuunga mkono.CCM si dola ya Roma,hata kama ingekua bado ingeporomoka tu kama Roma.Their days are numbered