twende kazi
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,520
- 461
Kwa staili hii Chadema wanazidi kuimarika kipropaganda,kisheria,kijasusi na usalama kwa ujumla.CCM wanakiimarisha hiki chama pinzani katika namna ngumu na ya kipekee sana.
Hivi sasa wanasheria wa CHADEMA wanafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na tukio la Lwakatare na makosa ambayo alishitakiwa nayo.
Anaeleza kuwa kama ameshitakiwa kwa ugaidi lazima makosa hayo yawe ni ya kigaidi, ila makosa ya Kidnapping na abduction ni makosa ya kawaida ya jinai , na kama ili yawe ya kigaidi ni lazima hayo makosa yawe yamefanyika kwa malengo ya kigaidi , na hata hati ya mashitaka haina maelezo ya makosa ya ugaidi .
hii serekali imekaa kijoti joti,ukiangalia na ile kesi ya Lema ya ubunge utugundua dhuluma ni nyingi sana!
Mkuu wewe ni Ritz nini, mbona hueleweki????Tundu Lissu siku ile alijidhalilisha sana pale mahakamani mpaka akachekwa na umati wa watu!!!
nimeipenda mkuu ndo maana kila kinachoendelea huko kwa dr hata kaenda msalani mnapost halafu mnaanza kumsifia.
Tiririka Mleta mada maana hawa MaCcM yameishiwa hoja za msingi.
Katika pre emptying ya Mawakili wa Lwakatare,hapo vipi, unaweza kuona bila miwani!?
Wataumbuka wengi hapa
Ni dhahiri kuwa CCM walikuwa wakimtumia Ludovick kijasusi. Mawasiliano kati ya Mwigulu Mchemba na Ludovick siku ambayo video ilichukuliwa yanaondoa shaka kuwa aliyeichukua video ni Ludovick, na aliyeifanyia editing ni Mwigulu na Ludovick.
Hii ni aibu nyingine ya Kikwete, viongozi wa chama chake kwa kushirikiana na polisi wanahusika na mbinu chafu na za kipu.mbavu. Big shame to Mwigulu, big shame to Ludovick, big shame to the police and big shame to CCM.
yote kwa yote tunachotaka ni haki itendeke!Alijidhalilisha kivipi?
una hakika? Hebu niambie lini na saa ngapi nilifanya hayo?
Hii kitu watakoaibika zaidi kama ukweli utajulikana ni Pasco na jamaa yake Mzee wa Kwembe-Kati, ambao inaonekana kabisa walikuwa na conclusion nzima ya hii movie...
When the going get tough...
mbona unongea vitu vya ajabu inamaana wewe unashabikia ugaidi,je unajua vizuri madhala ya ugaid