Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Kukataa sauti yake nadhani alifikiri Ludovick ata-edit hiyo picha. Kwasasa naanza kuelewa kwamba kuna uwezekano ludovick na lwakatare waliambizana baada ya ludo kuongea nchemba. Hivyo na lwakatate akaongea na Msacky kumwambia kitachotokea na asistuke.

huko ni kutafuta mlango wa kutokea tu. Waache tu ugaidi.hilo tu
 
Nani aliyemrekodi Lwakatare? Je, Lwakatare alijua kuwa anarekodiwa? Je, aliruhusu? Kama hakuruhusu, ilifanyika kihalali? Je, haivunji katiba ya nchi inayozungumzia privacy ya mtu? Je, baada ya kurekodiwa mkanda huo ulipelekwa wapi? Nani alikuwa nao? Je, umefanyiwa uhariri (editing) na nani? Je, aliyemrekodi alitumwa na nani?

Ina maana wamekubaliana kuwa video ni halisi hivyo wanakuja na hoja hizi au?

Can you reason above this level??
 
tunachoangalia hapa ni uhalicia wa lwakatare kutengeza hiyo njama je ni kweli ukiangalia clip inaonesha kweli na hakuna ulazima wa kumtetea muovu regadles kuna mazur amefanya wote tunapenda mapinduz ila kwenye uovu hatukubali na wa binafsi ni kinukuu uzi hapo wanakili live so nan mchaw? Hakuna haja ya kutafuta hata kama tunawapenda ndo walinusuru taifa anapofanya crimina lazma ashughulikiwe kama wengne
 
Lissu anamanga manga tu

Mkuu kamuulize muishiwa dhaifu kuhusiana na mziki wa hiyo mashine; Inaonekana una uhaba wa kumbukumbu na ukame wa maono; Hata hii umesahau;

"Ni kheri Dr.Slaa aingie ikulu kuliko Tundu Lissu kuingia mjengoni" by Jakaya Mrisho Kikwete.
 
Lissu kabla hajayasema haya aliwasiliana na Katibu mkuu wake? Maana huyo babu alikwisha sema hii video ni ya kuchakachua hadharani. Kweli Lissu kesi imefikia patamu sana na kwa kazi ya kumlinda Slaa Ludo atakuwa na mengi mno ya kushare na dunia.

Nduka

Hakuna mahali ambapo Lissu ametofautiana na Katibu Mkuu, Dkt. Slaa, kama unahitaji msaada wa ufafanuzi, ni vyema ukaomba ili usaidiewe.
 
Haya ni maswali anayoendelea kujiuliza Tundu lissu juu ya video ya lwakatare...ameyasema leo akiongea na waandishi wa habari, muelekeo wa maswali hayo ni kuwa lissu anaamini ile video ni genuine, ila anahoji kuhusu aliyemrekodi katumwa na nani, na kwa nn avunje katiba ya mtu kwa kuingilia privacy ya lwakatare.....sasa nataka wale wote waliokuwa wakiongea humu jamvini kuwa ile video imechezewa, na yule si lwakatare huku wakishindwa kutoa mifano ya watu walioweza chezea video yenye urefu kama ule waje humu, watuambie wana jipya gani sasa hvi!!!, na matusi mnaruhusiwa pia, mana najua wataonitukana, ila nawaombeni mnitukane matusi ambayo sijawahi kuyasikia....maswali ya lissu ni haya hapa......
  1. Nani aliyemrekodi Lwakatare?
  2. Je, Lwakatare alijua kuwa anarekodiwa? Je, aliruhusu? Kama hakuruhusu, ilifanyika kihalali?
  3. Je, haivunji katiba ya nchi inayozungumzia privacy ya mtu?
  4. Je, baada ya kurekodiwa mkanda huo ulipelekwa wapi? Nani alikuwa nao? Je, umefanyiwa uhariri (editing) na nani?
  5. Je, aliyemrekodi alitumwa na nani?
karibuni
 
apelekwe gerezani kwani ameshahukumiwa? Acha uzuzu

Pole sana mkuu, inaonekana leo upo zamu mwenyewe, wenye akili wamesha shtukia hili bomu litawamaliza wameanza kujikata kiaina, ila kwa vile wewe ni kipofu na pia kiziwi endelea kukomaa mkuu, Sorry tukumbushe kidogo, hivi kila post unalipwa kiasi gani?
 
ugonjwa wa mtu ni siri yake na daktari wake ila anamu attend mirembe dodoma
KIngwangwala mbona kuna mtu anamfahamu anasema alisha tibiwa sana pale psychiatric unit Muhimbili, na Dr Ayoub kwa sasa yupo wizarani akaulizwe akiwa mwaka wa pili alibreak baada ya msichana kumkataa ambaye baada ya rehabilitation na kupata msaada wa kijana mmoja alkuwa intern toka uholanzi akapata pesa akanunua kihiace alikuwa anaendesha mwenyewe akipigana mwilini na abiria wake,halafu akafungua saloon za kiume, mpaka sasa yupo kwenye dawa akisahau tu anatoa pistol anataka kuitumia kudhuru watu kama alivyomtishia Bashe
 
Haya ni maswali anayoendelea kujiuliza Tundu lissu juu ya video ya lwakatare...ameyasema leo akiongea na waandishi wa habari, muelekeo wa maswali hayo ni kuwa lissu anaamini ile video ni genuine, ila anahoji kuhusu aliyemrekodi katumwa na nani, na kwa nn avunje katiba ya mtu kwa kuingilia privacy ya lwakatare.....sasa nataka wale wote waliokuwa wakiongea humu jamvini kuwa ile video imechezewa, na yule si lwakatare huku wakishindwa kutoa mifano ya watu walioweza chezea video yenye urefu kama ule waje humu, watuambie wana jipya gani sasa hvi!!!, na matusi mnaruhusiwa pia, mana najua wataonitukana, ila nawaombeni mnitukane matusi ambayo sijawahi kuyasikia....maswali ya lissu ni haya hapa......
  1. Nani aliyemrekodi Lwakatare?
  2. Je, Lwakatare alijua kuwa anarekodiwa? Je, aliruhusu? Kama hakuruhusu, ilifanyika kihalali?
  3. Je, haivunji katiba ya nchi inayozungumzia privacy ya mtu?
  4. Je, baada ya kurekodiwa mkanda huo ulipelekwa wapi? Nani alikuwa nao? Je, umefanyiwa uhariri (editing) na nani?
  5. Je, aliyemrekodi alitumwa na nani?
karibuni

Kete hii imeshashindwa,sasa malizieni kete yenu ya mwisho ya kuunda chama kipya. CC;Mwigulu Nchemba
 
Hawana cha kusema kwa sasa maana mimi nawajua asilimia kubwa ya vijana wa chedema ni wana viloba tu na sasa wanataka kuwa magaidi
 
Back
Top Bottom