Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Mh. Tundu Lissu amebadilisha upepo kabisa wa swala la Lwakatare. Amesema wana mawasiliano baina ya Mwigulu na Ludovick wakiwasiliana muda mfupi tu baada ya Ludovick kutoka kwa Lwakatare. Lwakatare pia alipigiwa simu na Msaki siku moja kabla ya video ile kurekodiwa. Lisu anasema wakifika Mahakamani kesi ile haimalizi masaa 3 itakuwa imeisha.
Lissu: Mwigulu na Ludovick ndio waliotengeneza video ya Lwakatare - YouTube

Unajua kila nikilala nikaamuka nikila( ingawa hapa hakuna uhakika), nikitembea na kukutana na vijana waliokata tamaa ya maisha just because imeatawala nchi kwa miaka hamsini sasa, nikiangalia nimeenda shule kwa akili na maarifa yangu miaka 18, na kuhitimu chuo kikuu 2011 nikajikuta narudi kuomba msaada kwa darasa la saba niliyemwacha miaka 22 iliyopita siapati picha naishia kutamani kifo cha sisimu either passively or Actively! Nina hasira sana na Sisi wito wangu vijana jipangeni kupambana na mababu na vibibi vilivyokwisha kata tamaa na kuendelea kushirikiana na sisimu kuhujumu harakati zetu za kujikomboa.
EEEEEEEND OF SISIMU 2015, jipange tupige kura tuone kama chadema wakichemsha twaweza kuwapindua nao maana kama tayari tutakuwa na damu ya mapinduzi ya ata aje sultani ata mudu tena kuleta ujinga!
 
Juzi hapa Lissu alijificha chooni masaa mawili naona amemaliza sasa shughuli za huko
 
Wametengeza bomu wakalijaribu wakiwa wamejifungia chumba, masikini limewateketeza wote, Mwigulu Nchemba njoo ujibu tuhuma.
 
sasa kama hujui kusoma,unataka ujue leo kusoma???pole sana,maana ile elimu ya ngumbaru ilifutwa hapo zamani za kale.subiri CDM iingie madarakani 2015,watairudisha ngumbaru maana nyinyiem imwzalisha sifuri nyingi kuanzia primary

labda kenya au nchi nyingine sio tanzania.hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuingia ikulu kwa sasa
 
Hawa machadema bana, shida kweli, mbona wanamtuhumu kila mtu? Naona hawajielewi.
Hujui kusoma hata picha huoni, subiri Nchemba na Msaky watakapoanza kuisaidia polisi ndio utajua kama wanatuhumiwa.
 
Nimependa hiyo nakala yako.... Jamaa zako maji shingoni!

Unafiki mbaya sana!! unakuwa huaminiki kotekote! mwisho utaishi kiujanja ujanja kama akina Mtela Mwampamba na mkwapuaji simu maarufu hapa mjini!!
 
labda kenya au nchi nyingine sio tanzania.hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuingia ikulu kwa sasa
Endelea kulala na kuota hizi ndoto zako, unafikiri hizi video fake zinatengenezwa kwa sababu gani, wameshaona kuiba kura tena itakuwa ngumu sasa wanataka kuua upinzani kwa style za kishamba.
 
Nilishasema na nasema tena pasipo kumung'unya neno mwigulu ndo mhusika mkuu wa hili jambo,jamaa ana roho mbaya sana

Kama hadithi vile.. tambo nyingiii ninayo video halafu kibao kinakugeukia? Mwaka huu first class material unalo!
 
Ndio tulikua tunasubiri hii, sasa ndio kina Slaa wanaanikwa.

Ndugu huo ni mkwara wa mende kuisukuma kabati; Tunaongelea issue ya move ya kihindi inayo mhusisha Lwakatare na Ludovic; Sasa hapa Dr. Slaa anatokea wapi? Tatizo MISUKULE inayofugwa na CCM imekariri Dr. Slaa ndiye adui yao mkuu, wanasahau ya kuwa adui wa CCM ni wananchi wanaotaka mabadiliko; Kwa taarifa yako Dr.Slaa ndiye rais mtarajiwa, sijui mtakimbilia wapi?
 
Picha halisi inaanza kuonekana,
Polisi kutaka kumshikilia Ludovick mahabusu badala ya kupelekwa Gerezani na Hakimu kukataa.
Duh yetu Macho na Masikio.
Tuombee Amani ya Nchi yetu.


Mh. Tundu Lissu amebadilisha upepo kabisa wa swala la Lwakatare. Amesema wana mawasiliano baina ya Mwigulu na Ludovick wakiwasiliana muda mfupi tu baada ya Ludovick kutoka kwa Lwakatare. Lwakatare pia alipigiwa simu na Msaki siku moja kabla ya video ile kurekodiwa. Lisu anasema wakifika Mahakamani kesi ile haimalizi masaa 3 itakuwa imeisha.
Lissu: Mwigulu na Ludovick ndio waliotengeneza video ya Lwakatare - YouTube
 
Endelea kulala na kuota hizi ndoto zako, unafikiri hizi video fake zinatengenezwa kwa sababu gani, wameshaona kuiba kura tena itakuwa ngumu sasa wanataka kuua upinzani kwa style za kishamba.

acheni ugaidi.
 
Mkuu,nilikuwa ninashangaa anavyokiri kila kitu na kukataa sauti katika statement ya police.Chafya inaweza kuwa ugaidi hivi leo kama unamafua ya ndege na kwa makusudi ukaama kuyaeneza sio jinai?

Kukataa sauti yake nadhani alifikiri Ludovick ata-edit hiyo picha. Kwasasa naanza kuelewa kwamba kuna uwezekano ludovick na lwakatare waliambizana baada ya ludo kuongea nchemba. Hivyo na lwakatate akaongea na Msacky kumwambia kitachotokea na asistuke.
 
Picha halisi inaanza kuonekana,
Polisi kutaka kumshikilia Ludovick mahabusu badala ya kupelekwa Gerezani na Hakimu kukataa.
Duh yetu Macho na Masikio.
Tuombee Amani ya Nchi yetu.

apelekwe gerezani kwani ameshahukumiwa? Acha uzuzu
 
Back
Top Bottom