Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

Sakata la Lwakatare: Wanasheria CHADEMA walonga

mmmmmmh hii kesi mbona pazuri sana tuelekeapo?
 
Lissu kabla hajayasema haya aliwasiliana na Katibu mkuu wake? Maana huyo babu alikwisha sema hii video ni ya kuchakachua hadharani. Kweli Lissu kesi imefikia patamu sana na kwa kazi ya kumlinda Slaa Ludo atakuwa na mengi mno ya kushare na dunia.
 
Anaota mchana huyo Lissu!

Haswa tena ndoto nyororo za kumuweka peupe mwigulu na ludovick haha tunasema Zitto Msacky Mwigulu na Ludovick akili zao zimepea huwezi kufanya kitu kikubwa kama hicho halafu ukajiweka kwenye ramani wakajifunze kwanza halafu wafanye haraka kwani 2014 ni mwakani
 
Aisee kweli hii kesi ni tamu sana natamani magamba wasiikatishe ili tukate mzizi wa fitina.
 
hahaaahahaa!Akili ndogo inapojitutumua kujaribu kuitawala AKILI KUBWA,matokeo yake ndo haya.by Mchungaji Msigwa Peter.
 
Yani njaa bana! Sasa Ludovick hii maana yake nini??watu walimuonea huruma kuwa kasalitiwa, kumbe yeye ndiye aliyeanza usaliti. Na nadhani ndiyo sababu ya kukanwa ili ionekane kuwa yeye ni mwana CCM per se. Nadhan Mwigulu naye ajiandae kupanda mahakaman maana kama hadi wamejua kuwa aliwasiliana na Ludovick kwa tarehe na muda, sitashangaa kama watakuwa na sms zake au hata walichokuwa wanaongea.

The way Lissu anavyoonesha uchu wa kukimbizana na hiyo kesi, kama Mchumi wa Daraja la kwanza anaiona hii clip, ni dhahiri anaona kabisa kuwa amekiua chama chake. Mana ushindi wa CDM katika hii kesi ni anguko kubwa la CCM na serikali yake.
 
Subiri ukajibu kesi yako.

Hivi hujaenda kuwaambia watu wa mbozi kilichokusibu mkuu?

dogo kila anayekupinga unadhani unamfahamu unaanza ushehe yahaya my web ukadhani ni mchange umekuwa tahira mbeba sumu wewe
 
Nilishasema na nasema tena pasipo kumung'unya neno mwigulu ndo mhusika mkuu wa hili jambo,jamaa ana roho mbaya sana

Issue hii lazima uwaumbue mamluki? Sijiu Mwigulu atatokea mlango gani! Yaani hapa ugumu wake haupo kwa serikali tu bali hata kwa majaji, yaani hatajua aamue nini?
 
[h=1]Lissu: Mwigulu na Ludovick ndio waliotengeneza video ya Lwakatare[/h]

[video=youtube_share;yR_sm3UYJcY]http://youtu.be/yR_sm3UYJcY[/video]

unaweza jiuliza ukimya wa nape na vile anavyokuwaga fasta kuropoka.mpango wa mwigulu utabackfire vibaya wahanga watakuwa mwampamba na shonza na mishe zao za kichina wenye ccm yao watawachukiaje!
 
haswaaa..lissu umenena hapa mwigulu ni mkuu wa tukio hili na ajiandalie eneo maalum la kuishi magamba tunawapiga chali kifo cha mende 2015.
 
uzuri wa hii story ni kuwa karibu kila siku hakikosekani kitu kipya
 
kwa kweli vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vinasikitisha sana! kusema ukweli si tu kwamba tu vinaidharilisha chama tawala na serikali yake bali vinadhalilisha watanzania na taifa kwa ujumla.na kubwa yake vinahatarisha ulinzi na usalama ambao viliundwa na kuapa kuulinda
 
Haya mambo ya kufoji yanawataalamu wake ... Wengine nawashauri waendelee na fani zao za uchumi
 
Hawa machadema bana, shida kweli, mbona wanamtuhumu kila mtu? Naona hawajielewi.
 
Back
Top Bottom