Mwafrika, Mkuu wangu samahani... hivi unatafuta cheo huko Chadema au?..
Mwafrika,
Mkuu wangu samahani... hivi unatafuta cheo huko Chadema au?..maanake hatulali kila siku Zitto na Omar vipi mkuu wangu..mbona inakuwa kama hekaheka ya clouds halafu imekaa sana kijikoni!
Hii inaonyesha chuki yako kwa Zitto na kusema kweli sijakusoma mahala popote ukizungumzia mapungufu ya Zitto kwa nia nzuri.. Inaonyesha wazi hata wewe uko kambi fulani ndani ya Chadema na unatazama tu upande wa pili pasipo nawe kujiuliza kwa nini upo kambi nyingine!Na kisha mafisadi waende wamkolimbe Dada Halima buree kwa madai yasiyo na msingi kama haya. Zitto, Omar, Msafiri, Ndanda, Kafulila na wengineo wote kambi ya Zitto.
Mchawi wenu sio Halima Mdee, Mchawi wenu ni matendo yenu wenyewe na maneno yenu mnayoyatoa bila kuyapima. Eleweni kuwa Tanzania (na chadema in this case), ni kubwa zaidi kuliko Zitto Kabwe (bila kujali umaarufu ambao nyie mnadhani kuwa Zitto anao).
Mwafrika,
Mkuu wangu weee..tunakusoma sana lakini mengi unaanzisha wewe pia.. haya imekuwaje ukaleta haya hapa..
Hii inaonyesha chuki yako kwa Zitto na kusema kweli sijakusoma mahala popote ukizungumzia mapungufu ya Zitto kwa nia nzuri.. Inaonyesha wazi hata wewe uko kambi fulani ndani ya Chadema na unatazama tu upande wa pili pasipo nawe kujiuliza kwa nini upo kambi nyingine!
Hivi vita vyenu havina maana ya kuweka record straight isipokuwa kusodoana..
Mkandara,
Nitaenda taratibu kidogo ili uelewe nilichoandika.
Imewekwa habari hapo juu ikidai kuwa Halima Mdee ndiye anatumia jina la mwafrika. Mimi nikaonya kuwa, haya mambo ya kuweka habari za uongo na za kipuuzi kama hizi, zinaweza kupelekea mafisadi wakaamini kuwa mwafrika ndiye Halima Mdee na wakamtia dada wa watu matatizoni.
Ninahisi kuwa wewe pia umenunua hiyo propaganda kuwa Halima Mdee ni mwafrika (na wala sikulaumu kwa hili). Nilichoandika hapa ni specific toka kwa post ya habarindiyo hiyo ambaye kamkoti Omar Ilyasi kuhusu identity ya mwafrika.
Kuhusu kumpondea Zitto, inaonekana unataka kutojali miaka mitatu niliyotumia hapa nikiwa upande wa Zitto. Chukua muda usome maandishi yangu toka mwaka 2006 ugundue kuwa nimekuwa namtetea Zitto na kuwa upande wake mara kibao tu hapa.
Baada ya kuona Zitto anachowafanyia viongozi wenzake, hasa baada ya issue ya Dowans, nilikuwa nimefikia kikomo cha utetezi wangu kwa Zitto. Yaliyofuata ni history.
Mwafrika,
Naomba niwathibitishie woote akina Omar(kama anafikiria hivyo) kua wewe sio Halima na wala huna cheo chadema na wala haupo Tanzania.
Jamni niaminini Mwafrika sio Halima Mdee!!!
Nadhani wataelewa sasa
FP
FP,
Hii issue hata (edited) (ambao tunafahamiana vizuri sana) wamejaribu kuipatia ufumbuzi behind the scene. Kwa sheria za JF, Invisible hawezi kutaja majina halisi ya members wa JF hapa ndio maana hajaweka mkono kwenye hili.
Sidhani kama watakuamini haraka hivyo. Wao wameamua kutafuta uchawi wa matatizo yao kwenye mtu (ndani ya chadema) badala ya kwenye vitendo na maneno yao.
Ninamuhurumia dada Halima kwa yatakayomkuta (GOD forbid) kama wajinga fulani kwenye team ufisadi wakiamini kuwa yeye ndiye mwafrika.
Wenye akili wameshaelewa, ndio maana kachagua upande!Mwanzoni nilifikiria wewe ni mbunge wa Chadema, Nikafanya homework yangu kama nilivyofanya kwa marafiki wa Zitto kisiasa nikagundua unaandikia ukiwa nje ya nchi na nikagundua mengine baadhi ni kuwa wewe wala sio mwanachama wala kiongozi wa Chadema labda mpo RELATED NA UONGOZI. Sina uhakika na relationship lakini
Hivyo nimeku CLEAR na hizo shutuma
Mwanzoni nilifikiria wewe ni mbunge wa Chadema, Nikafanya homework yangu kama nilivyofanya kwa marafiki wa Zitto kisiasa nikagundua unaandikia ukiwa nje ya nchi na nikagundua mengine baadhi ni kuwa wewe wala sio mwanachama wala kiongozi wa Chadema labda mpo RELATED NA UONGOZI. Sina uhakika na relationship lakini
Hivyo nimeku CLEAR na hizo shutuma
Mkuu wangu ktk hili umekosea sana kwa sababu mimi simjui huyo Halima Mdee ndiye nani! wala sina mazoea wala ukaribu naye iweje nianze kufikiria kwamba wewe Mwafrika ndiye Mndee.Ninahisi kuwa wewe pia umenunua hiyo propaganda kuwa Halima Mdee ni mwafrika (na wala sikulaumu kwa hili). Nilichoandika hapa ni specific toka kwa post ya habarindiyo hiyo ambaye kamkoti Omar Ilyasi kuhusu identity ya mwafrika.
Bila shaka atakusoma na kumaliza mjadala. Umeeleza vizuri sana na kwa muungwana hana haja ya kuendeleza mjadala huu. Ni vizuri tuamie mjadala mwingine.Mwafrika,
Mkuu wangu ktk hili umekosea sana kwa sababu mimi simjui huyo Halima Mdee ndiye nani! wala sina mazoea wala ukaribu naye iweje nianze kufikiria kwamba wewe Mwafrika ndiye Mndee.
Mkuu utanisamehe lakini nakuomba sana unisikie hapa.. Tatizo la hoja zako nyingi zinahusu WATU yaani unatumia muda mwingi kuchambua na kufikiria watu wakati sisi tunazungumzia issues. Sijali wewe ni nani uwe Mbowe, Dr.Slaa au Mndee mimi sina mshirika katika habari yoyote zaidi ya kusoma hoja na kuzichanganua ktk mtazamo wangu. Mara kibao nimemkorofisha Zitto humu, nimezungumza mambo mengine kinyume cha ustaarabu pasipo kufikiria huyu ni nani isipokuwa maadishi ya mhusika.. That's me kwa hiyo unapohisi ama kudhani kwamba hata mimi nimenunua hiyo propaganda mkuu wangu inaonyesha wazi jinsi unavyojikisia mwenyewe.
Mimi nipo kwa jina langu, Zitto yupo kwa jina la ke huyo Omar nasikia pia yupo kwa jina lake isipokuwa wewe tu.
Na kama sikosei ni wewe uliyetufahamisha kuhusu huyo Omar ni nani na wana uhusiano gani na Zitto, kulikuwa na haja au sababu ya kufanya hivyo!..Pengine hufahamu kwamba sisi wengine tunapenda sana kuyaona hayo majina bandia kwani unaweza kurusha madongo pasipo kuonea aibu mtu, Nitakushauri tu mkuu wangu hizi habari za kutoa ID ya mtu achana nazo kwani wewe mwenyewe unaelewa vizuri hasara zake..
Halafu huu ubishi wenu mkuu wangu wala hauna maana hata kidogo, yaani tunakusomeni kama vile tunatazama horror movie - Inatisha.
Mtei alitaka hatua hiyo isifananishwe na mgogoro ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao umesababishwa na maslahi binafsi.
Alisema baada ya Chadema kusitisha ajira za waajiriwa kadhaa baadhi ya watu wamepinga hatua hiyo na kuielezea kuwa ni mgogoro ndani ya chama hicho jambo ambalo sio kweli.
Mtei aliongeza kuwa kilichopo ndani ya Chadema ni baadhi ya watu wasiofuata kanuni na misingi inayoongoza chama hicho ambao haoni sababu ya watu hao kuendelea kuwepo.
Hao wanaosema kuwa Chadema ama katibu mkuu amekosea kuwaondoa kazini baadhi ya watu,hawapo sahihi,wale ni waajiriwa na ajira zao zinaweza kukoma wakati wowote kama ilivyofanywa na sioni sababu ya chadema kuendelea kuwa na watu wasiofuata misingi ya chama, alisema Mtei.