Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

Inashangaza sana Tz.wanaopiga kelele za udini sio waendaji makanisani wala misikitini huo ndio ukweli
 
Tz tumetekwa na siasa za udini.
 
Kardinali Pengo ametoa tamko kuwa shambulio la bomu kule kanisani Arusha ambalo limeua mpaka sasa watu watatu na kujeruhi takribani 40 sio la kidini yaani halihusiani na UDINI ndani ya Tanzania kwa sababu baadhi ya waliokamatwa ni wana majina ya kikristo na pia kuna watu walienda kumweleza wahusika na anawaamini.

Kwanza akiwa kama mtumishi wa Mungu nilifikiri angefunuliwa na Roho wa Bwana badala ya kutueleza eti kuna watu walienda kumweleza au watu hao walikuwa ni wajumbe wa Mungu kama ilivyokuwa kwa Abraham? watu hao ni akina nani na wanafanya nini? Pili, hivi shambulizi la kidini dhidi ya dini nyingine ni mpaka mtu awe na jina la dini ile? Je, hao akina Ambrose, David na Joseph ni wakristo kweli? ni wa dhehebu gani? kama ni wakatoliki walibatizwa wapi? je, wanahudhuria jumuiya ndogo ndogo? je ni bado wakristo? Na wale waarabu ni wakristo? je sio wale waarabu wamewapa fedha ili kutekeleza hazima ya dini nyingine?

Tatu, anasisitiza kusema ukweli wakati yeye mwenyewe anaficha ukweli, kwa nini asisimulie a whole story?

Nne, anaonekana kutuliza wakristo hasa wakatoliki kwa njia ambayo inatiwa wasiwasi. Mwisho, hivi vita ya udini haiko duniani? Tanzania sio sehemu ya dunia hii? Hivi ni kitabu gani cha dini gani kinasema maadui wakubwa wa dini yao ni Myaudi na Mkristo?!

Sources: Nipashe na Mwananchi 8/5/2013

Kwa kiwango cha Elimu ya mwandishi wa hii kitu kamwe huwez kumuelewa Pengo..katoliki wana intelijensia yao..wanajua kila kitu..niamini.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Uvivu wetu wa kufikiri umefanya wanasiasa watuendeshe wanavyotaka
 
Masome vitabu vya kinabii.Kama haujasoma scripture interpretation hutaambulia kitu.katika vitabu hivi vimeandikwa kwa staili ya kinyume yaani mtu akitaka kulia anacheka na akitaka kulaani anapongeza.chezea theology wewe
 
Wewe na hao nipashe wote mpo nyuma ya wakati kitu ambacho ni hatari sana, Yerico Nyerere alileta kanusho hapa jamvini mara mbili, moja ikiwa ni usiku wa manane lkn yote hii ni baada ya kuwasiliana na idaraa ya habari ya TEC, ambayo inafanya kazi chini ya Kardinali Pengo.

Sasa nipashe wanapokuja na hii habari ambayo siyo reliable ina maanisha nn kwa watanzania?

Labda sababu Lema aliongea..Naanza kuwa na hofu na Mengi labda anataka viwete waongezeke ili aendelee kula ujiko..hizo digree zao za DSJ ngumu kuchalenge kichwa ya mtu mwenye hadhi ya Kadinali ..wanajua vitu vingi wale..kuanzia saikolojia mpakka intelijensia


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mwandishi wa mada hii hana upeo wa kuelewa mantiki na falsafa aliyotumia Kardinal Pengo katika hili
 
Vyama vinavyokufa vinahisi na kudhani vitaponea kwenye udini. Binafsi Pengo nimemuelewa
 
Kama tusipomuamini Pengo ulitaka tukuamini wewe na ajenda zako za kutaka tusuguane kidini? Na ushindwe!
 
[TABLE="width: 636"]
[TR]
[TD="class: xl67, width: 54, bgcolor: transparent"]Ufunuo wa Yohana
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]3
[/TD]
[TD="class: xl65, width: 28, bgcolor: transparent"]8
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Nayajua matendo yako. Tazama, nimekupa mlango uliofunguliwa mbele yako, ambao hapana awezaye kuufunga, kwa kuwa unazo nguvu kidogo, nawe umelitunza neno langu, wala hukulikana jina langu.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Ufunuo wa Yohana
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]3
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]9
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Tazama, nakupa walio wa sinagogi la Shetani, wasemao kwamba ni Wayahudi, nao sio, bali wasema uongo. Tazama, nitawafanya waje kusujudu mbele ya miguu yako, na kujua ya kuwa nimekupenda.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Ufunuo wa Yohana
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]3
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]10
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami nitakulinda, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi.
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl67, bgcolor: transparent"]Ufunuo wa Yohana
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]3
[/TD]
[TD="class: xl65, bgcolor: transparent"]11
[/TD]
[TD="class: xl66, width: 737, bgcolor: transparent"]Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kardinali Pengo ametoa tamko kuwa shambulio la bomu kule kanisani Arusha ambalo limeua mpaka sasa watu watatu na kujeruhi takribani 40 sio la kidini yaani halihusiani na UDINI ndani ya Tanzania kwa sababu baadhi ya waliokamatwa ni wana majina ya kikristo na pia kuna watu walienda kumweleza wahusika na anawaamini.

Kwanza akiwa kama mtumishi wa Mungu nilifikiri angefunuliwa na Roho wa Bwana badala ya kutueleza eti kuna watu walienda kumweleza au watu hao walikuwa ni wajumbe wa Mungu kama ilivyokuwa kwa Abraham? watu hao ni akina nani na wanafanya nini? Pili, hivi shambulizi la kidini dhidi ya dini nyingine ni mpaka mtu awe na jina la dini ile? Je, hao akina Ambrose, David na Joseph ni wakristo kweli? ni wa dhehebu gani? kama ni wakatoliki walibatizwa wapi? je, wanahudhuria jumuiya ndogo ndogo? je ni bado wakristo? Na wale waarabu ni wakristo? je sio wale waarabu wamewapa fedha ili kutekeleza hazima ya dini nyingine?

Tatu, anasisitiza kusema ukweli wakati yeye mwenyewe anaficha ukweli, kwa nini asisimulie a whole story?

Nne, anaonekana kutuliza wakristo hasa wakatoliki kwa njia ambayo inatiwa wasiwasi. Mwisho, hivi vita ya udini haiko duniani? Tanzania sio sehemu ya dunia hii? Hivi ni kitabu gani cha dini gani kinasema maadui wakubwa wa dini yao ni Myaudi na Mkristo?!

Sources: Nipashe na Mwananchi 8/5/2013
Nenda kajipange upya uje na hoja yamaana.
 
Itakuwa Pengo naye kanunuliwa na CCM
 
Kama haumuelewi Pengo basi wewe utakuwa ni mpinga Kristo.

Shame on you.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kardinali Pengo ametoa tamko kuwa shambulio la bomu kule kanisani Arusha ambalo limeua mpaka sasa watu watatu na kujeruhi takribani 40 sio la kidini yaani halihusiani na UDINI ndani ya Tanzania kwa sababu baadhi ya waliokamatwa ni wana majina ya kikristo na pia kuna watu walienda kumweleza wahusika na anawaamini.

Kwanza akiwa kama mtumishi wa Mungu nilifikiri angefunuliwa na Roho wa Bwana badala ya kutueleza eti kuna watu walienda kumweleza au watu hao walikuwa ni wajumbe wa Mungu kama ilivyokuwa kwa Abraham? watu hao ni akina nani na wanafanya nini? Pili, hivi shambulizi la kidini dhidi ya dini nyingine ni mpaka mtu awe na jina la dini ile? Je, hao akina Ambrose, David na Joseph ni wakristo kweli? ni wa dhehebu gani? kama ni wakatoliki walibatizwa wapi? je, wanahudhuria jumuiya ndogo ndogo? je ni bado wakristo? Na wale waarabu ni wakristo? je sio wale waarabu wamewapa fedha ili kutekeleza hazima ya dini nyingine?

Tatu, anasisitiza kusema ukweli wakati yeye mwenyewe anaficha ukweli, kwa nini asisimulie a whole story?

Nne, anaonekana kutuliza wakristo hasa wakatoliki kwa njia ambayo inatiwa wasiwasi. Mwisho, hivi vita ya udini haiko duniani? Tanzania sio sehemu ya dunia hii? Hivi ni kitabu gani cha dini gani kinasema maadui wakubwa wa dini yao ni Myaudi na Mkristo?!

Sources: Nipashe na Mwananchi 8/5/2013

Ndugu yangu, hivi kweli ulitegemea Pengo aseme hilo ni shambulio la KIDINI? Jamii ya kiislamu ingechukuliaje kauli hiyo?
 
Back
Top Bottom