Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN

kwani unaugojwa wowote sugu unakusumbua?
 
Kaka Sergio, Askofu Pengo alitoa TUMAINI TV live saa nne kasorobo siku ya Jumatatu Usiku.
 
mkuu nadhani alichosema mhadhamu pengo kwa mda ule ilikua ni sahihi kwani ali silent mass kikubwa polisi wafanye uchunguzi kwa kina tusimlaumu jamani atuwezi jua angesema dini fulani ndio waliohusika watu wangeuana kama rwanda jamani.

"YOU ARE HUTU AM GOING TO KILL YOU,YOUR ARE TUTSI AM GOING TO KILL YOU" RWANDA GENOCIDE
 
Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN

Ww kauli yako ni i[pi?
 
pengo na huyo mtu aliyemhakikishia kuwa shambulio hilo sio la kidini wanapaswa kukamatwa ili kusaidia polisi maana watakua wanaujua ukweli wote. Huwezi ku-conclude kitu wakati uchunguzi haujakamilika. itakuwaje kama uchunguzi utaonesha tukio hilo lina connection na masuala ya kidini. Pengo atawambia nini waumini wake? Inawezekana kabisa serikali imem-approach na kumuangukia miguuni kumuomba atoe hiyo kauli ili kupoza joto. Isitoshe kauli aliyoitoa pengo ni ya kwake binafsi na sio kauli ya kanisa katoliki nchini.
Mbona na wewe hapa umeconclude kuwa Kuwa kauli hii imetolewa wakati hujafanya uchunguzi? Wewe umesikia hilo tamko la Pengo?
 
Kudai kuwa Askofu pengo hakutoa tamuko humu jf ni jambo la kuchangaza hivi hakuna watu wa kukanusha jf ambao ni wasaidizi wake kuanzia karani zake hadi maaskofu wasaidizi wake?napata mashaka na aliye jibu eti ni wahuni wa jf waliandika kuwa pengo kasema ww unaye kanusha ulishindwa kukanusha kuwa Sipengo ni wahuni wameandika? Naomba niseme kuwa vyovyote iwavyo basi kama pengo hakusema basi waisadizi wai isupport kuwa ndio busara ,ukweli kwa yeyote ndani ya serikali au viongozi wa dini tutendeeni haki watanzania matamko yenu ni muhimu lakini musisahau sisi wtz tupo tena wa kizazi cha uhuru na kabla ya uhuru,tunatafakari sana juu yatanzania yetu toka mwl hadi sasa ,ukweli tulipotoka na tulipo sasa wengine tunahofia vizazi vinaachiwa future gani?inasikitisha ,wengine sisi miaka ya 80 tulikuwa mashuleni tulisafiri na kurudi mbali mashuleni na nyumbani hatukuwahi kusikia haya tunatetemeka kweli kipindi hiki,kuwa nini hii?na kwa nini haya?ndio maana naomba yanayotokea au hayana budi kutokea basi tusitoe ma tamko ya haraka kabla ya vyombo vya usalama kutoa maoni yao.tuliona, utawala wa mwl kidogo naandika machozi yanatoka,hiv ihii ni tanzania au imetukimbia ?au ndio maneno ya captn komba kuwa Amani imetoweka kumbee tz nuru ya amani haipo tena?wimbo alioimba alipo fariki mwl,komba uliropoka au uliyajua mbona hivi tena?AMEN
 
Wewe una ID fake alafu unataka tusimuamini Kardinal Pengo mtu wa mungu, tukuamini wewe mfuasi wa Lema..
 
chezea serikaki wewe? Pengo kashapewa ahadi ya kubebwa na serikali katika mfumo kristo, haiwezekani tukio kama hilo litokee kanisani, halafu mtu anakanusha hili halihusiani na masuala ya kiimani! Wakristo hata viongozi wa dini wanaongwa!

Mimi binafsi ukweli nimeshindwa kumwelewa Pengo. Ukweli ni kuwa Siasa zimeingia mpaka makanisani. Viongozi wa Makanisa wamekuwa 'compromise" na wanashindwa kuita spade kwa jina la Spade...wamebakia wanazungusha maneno kama wana siasa. Ndio maana tatizo la vitendo vya kuhujumu makanisa na watumishi wa makanisa (Ukristo) vinaelekea katika hali isiyoweza kudhibitika.

Kwa kifupi kauli ya Pengo ni kauli tata na haisadii wakristo wala jamii, kwani huwezi kujifanya ati huuoni ukweli wa mambo wakati mambo yenyewe ni nje nje. Anyway wacha Ma Bishiop na Serikali waendelee kucheza dansi pamoja na sisi raia na waumini tuendelee kuwa watazamaji tuone yatafikia wapi na kwa faida ya nani. Mwisho unakuja soon.
 
Sasa pilosi watapumua, manake jibu lolote watalikujanalo litakuwa ni sahihi, kwa sababu hata wao sidhani kama wana uwezo wa kupata ukweli juu ya hili pamoja na kumkamata mtuhumiwa halisi, hadi leo wameshindwa kumkamata Ramadhani Ighondu mtesaji wa Dr. Ulimboka kwa sababu wanamfahamu kwa jina tu na wala sio kwa sura napo baada ya kusikia gazetini Mwanahalisi, wameshindwa kumkamata mtesaji wa Kibanda na hawana cha kuwaambia wananchi zaidi ya timu ya uchunguzi imeundwa na inaendelea na uchunguzi wake, kuhusu muuaji wa Padre Evarist Mushi wa Zanzibar nisizungumze sana kwa sababu suala liko mahakamani, ngoja kesi iishe nalo tutajadili.
 
Cha muhimu ni kusimamia ukweli na kuamini katika kutoa haki, tuache kabisa usanii katika mambo yanayohusu maisha ya watu.
 
Tatizo viongozi wengi wa dini wanatumika na wanasiasa!

Kwa hiyo ukweli kwako ni kuwahusisha wale watu wenye asili ya kiasia? watu kama ninyi ndio hatari katika amani ya inchi kwa sababu mnaendeshwa kwa hisia za chuki, sasa kama wewe huwaamini viongozi wako wa dini tena ndio mkuu wa kanisa hilo hapa Tz unataka tukuamini wewe ebu jaribu kuficha chuki zako.

Niliwahi kuchangia kwamba kama serikali pamoja na jeshi la polisi litashindwa kukwepa mtego huu wa kufikili kila jambo linafanywa na watu wa imani fulani basi kuna hatari kubwa sana ya waharifu kutumia mwanya huo kuendeleza maovu yao.

Ikumbukwe kwamba haya madhebu yana migogoro ya ndani kwa ndani, kwa hiyo panapotokea misuguano kama hii iliyopo sasa ni rahisi sana kwao kutumia mwanya huo kulipizana kisasi na wasitambulike, etu tuwe wazalendo wa kweli kwa kuchukia uongo na chuki kwa mtanzania yoyote yule.
 
Aliyerusha BOMU kanisani alikuwa amevaa kofia ya Dura(barakashia),kazu nyeupe,koti la mvua na suruali fupi,pia alikuwa na Ndevu nyingi,biala ya shaka watakuwa ni wafuasi wa Uamsho na Ponda wanashinikiza viongozi wao waachiwe.

Chezea Uamsho na Ponda wewe,tutaona mengi huko tunakoelekea japo Serikali na Pengo wanapindisha ukweli.
wewe ndio bure kabisaaaaa! kwani hayo mavazi wahalifu wengine hawawezi kuvaa? yani kama wewe ndio ungekuwa mpelelezi kigezo hicho kingekutosha kuwahukukumu watu wa imani fulani kwamba ndio wako nyuma ya tukio hilo?

mtaaibika sana safari hii kwa agenda zenu za chuki na bado ile ishu ya Padre masawe ikiwekwa hadharani mtatafuta pa kuweka sura zenu wote wenye agenda ya kuipeleka nchi hi pabaya.
 
Siamini ninachokisoma humu! hivi kumbe watu walikuwa na majibu yao kuhusu aliyehusika kurusha bomu? Siamini watu wanavyomkana kiongozi wao wa dini!!! Hivi kumbe na mimi nikienda kutupa bomu kanisani kesho kwa nia ya kuchochea uhasama wa kidini naweza kufanikiwa lengo langu!!!!.... Hivi hamjui watu wengine hawapendi kuona amani mliyonayo tanzania? Hivi hamjui watu wanaweza tumia njia hii kuwachonganisha??
 
Tanzania ni nchi ya amani

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom