Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN
kwani unaugojwa wowote sugu unakusumbua?