Saint Francis huwa hawaibi mitihani, Wana mifumo mizuri ya kumfanya mwanafunzi awe kasuku wa kuweza kujibu NECTA, ni ngumu sana Kasuku kukosea

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
MAANDALIZI YA KUPATA KASUKU WAZURI.

interview ya kuingia tu watoto wanaweza kuwa elf 3 ila wataofuzu ni 100 tu, yaani mtoto kuingia tu hapo inabidi awe kipanga, tatizo ni kwamba hao vipanga wa darasa la saba wanaenda kugeuzwa kuwa kasuku.

KUTRAIN KASUKU

mfumo wao wa kutrain kasuku ni kuwalazimu wanafunzi kutumia muda mwingi kujua namna ya kujibu maswali mazingira yao ni mazuri ila ni kwajili ya kusolve maswali si kwajili ya kuotea jua ama michezo
bonasi na zawadi nono pindi matokeo yakitangazwa zinawapa walimu presha kubwa ya kufundisha wanafunzi kujua namna ya kujibu maswali ya necta.

KUIVA KWA KASUKU

kufikia form 4 kwenye mwezi wa sita kila mwanafunzi anakuwa kama kasuku, yaani kuanzia definition, factors,advantages, feautures, n.k. wanaweza kuzijibu kama mashine ya kutoa kopi, past papers wanakuwa wameshasolve zimekuwa kama kiitikio cha muziki hakuna swali jipya mbele yao

KUMALIZA KAZI

wanachosubiri hapo huwa ni kuimba wimbo waliofundishwa, hata wanavyojibu mitihani yao unaweza kudhani ni mtu moja kaandika, hata wasahishaji hawapati taabu sana ni kama unasahisha kopi zilizochapishwa.

Matokeo yao wengi huwa ni division one za tarakimu moja yani 7,8 na 9 full stop !! wale wanaopata 10 na kuendela huko huonekana kama wamefeli.

ANGUKO LA KASUKU -

Pindi wakihamia shule nyingine za form 5 ama kwenda kuanza chuo, wengi huwa hawawezi tena kupata division 1 za points 3 form 6 ama first class vyuoni, ni kwamba yale mazingira ya kuwa kasuku yanakuwa hayapo tena na pia ule uhuru wanaopata wa kujiamulia wasome muda gani unaweza kuwachanganya maana huko walikotoka walikuwa wanasimamiwa kusoma.
 
HII MADA KIMAANDISHI INAONEKANA KABISA IMEPANGWA NA ALIYETETEA SHULE NI MUHUSIKA

ILA HIZI SHULE ZA MARIAN,SIJUI ST FRANCIS WOTE NI WASHENZI TU WATOTO MNACHAGUA WALE WENYE UELEWA MKUBWA NA MNAWACHUJA KILA KIDATO MNABAKI NA WALE AMBAO WANA IQ KUBWA NA UWEZO BINAFSI NA MNAJUA KABISA SIO UWEZO WENU BALI WANA UMEZO BINAFSI

ILI NITHIBITISHE KUWA NYIE NI WABABE MSICHGUE WALA KUFUKUZA WATOTO SHULE PMBAV
 
HII MADA KIMAANDISHI INAONEKANA KABISA IMEPANGWA NA ALIYETETEA SHULE NI MUHUSIKA

ILA HIZI SHULE ZA MARIAN,SIJUI ST FRANCIS WOTE NI WASHENZI TU WATOTO MNACHAGUA WALE WENYE UELEWA MKUBWA NA MNAWACHUJA KILA KIDATO MNABAKI NA WALE AMBAO WANA IQ KUBWA NA UWEZO BINAFSI NA MNAJUA KABISA SIO UWEZO WENU BALI WANA UMEZO BINAFSI

ILI NITHIBITISHE KUWA NYIE NI WABABE MSICHGUE WALA KUFUKUZA WATOTO SHULE PMBAV
Shule zenye vipanga zipo kibao ila ni jinsi gani hao vipanga wanavyosoma

shule za serikali za vipaji maalum hata waalim huwa hawaingii sana darasani lakini wanafunzi wanakuwa na uwezo binafsi, ndio maana hata wakienda shule tofauti form 6 wanabutua one za tatu, wakifika vyuoni wanabutua gpa kali.

Shida inakuja saint francis, vipanga wanageuzwa kuwa kasuku ndio maana wakihamia kwenda shule zingine ni ngumu kuendeleza umalikia wao
 
Shule za private wengi washenzi tu, ila Hawa madogo wanakua vipanga kweli na wakati wa mitihani wasimamizi wanahongwa Kuna maswali wanasaidiwa huko, mtu akiwa smart unaweza kumpa formula tu akamaliza kazi hutumii nguvu kubwa kumuelewesha


Ila matoto yetu ya jamhuri sec, uhamiaji sec au Yale ya zenji hata ukiyapa mitihani yakae nao wiki kabla mengi yatafeli tu
 
MAANDALIZI YA KUPATA KASUKU WAZURI.

interview ya kuingia tu watoto wanaweza kuwa elf 3 ila wataofuzu ni 100 tu, yaani mtoto kuingia tu hapo inabidi awe kipanga, tatizo ni kwamba hao vipanga wa darasa la saba wanaenda kugeuzwa kuwa kasuku.

KUTRAIN KASUKU

mfumo wao wa kutrain kasuku ni kuwalazimu wanafunzi kutumia muda mwingi kujua namna ya kujibu maswali
mazingira yao ni mazuri ila ni kwajili ya kusolve maswali si kwajili ya kuotea jua ama michezo
bonasi na zawadi nono pindi matokeo yakitangazwa zinawapa walimu presha kubwa ya kufundisha wanafunzi kujua namna ya kujibu maswali ya necta.


KUIVA KWA KASUKU

kufikia form 4 kwenye mwezi wa sita kila mwanafunzi anakuwa kama kasuku, yaani kuanzia definition, factors,advantages, feautures, n.k. wanaweza kuzijibu kama mashine ya kutoa kopi, past papers wanakuwa wameshasolve zimekuwa kama kiitikio cha muziki hakuna swali jipya mbele yao

KUMALIZA KAZI

wanachosubiri hapo huwa ni kuimba wimbo waliofundishwa, hata wanavyojibu mitihani yao unaweza kudhani ni mtu moja kaandika, hata wasahishaji hawapati taabu sana ni kama unasahisha kopi zilizochapishwa.

Matokeo yao wengi huwa ni division one za tarakimu moja yani 7,8 na 9 full stop !! wale wanaopata 10 na kuendela huko huonekana kama wamefeli.

ANGUKO LA KASUKU -

Pindi wakihamia shule nyingine za form 5 ama kwenda kuanza chuo, wengi huwa hawawezi tena kupata division 1 za points 3 form 6 ama first class vyuoni, ni kwamba yale mazingira ya kuwa kasuku yanakuwa hayapo tena na pia ule uhuru wanaopata wa kujiamulia wasome muda gani unaweza kuwachanganya maana huko walikotoka walikuwa wanasimamiwa kusoma.
Kuna jamaa yangu alikuwa ananipa nyepesi kuhusu St. Francis mfumo wanaoutumia kuhakikisha wanafaurisha kwa division 1 pt 7 karibu wanafunzi wote. kwanza kigezo cha kuingia tu mwanfunzi lazima awe na ufaulu wa wastan usiopungua 95% kwenye Kila somo atakalopimwa. Mfano, maths, English, science, etc apate ufaulu wa usiopungua alama 95+. Pili, wanafunzi wote kuanzia form I - IV, kwenye mitihani yote yaani kuanzia majaribio, mid-term, terminal na annual kila mwanafunzi lazima apate ufaulu huo huo wa 95% ktk Kila somo. Mwanafunzi yoyote anaepata chini ya hapo mzazi akamtafutie shule nyingine.
 
MAANDALIZI YA KUPATA KASUKU WAZURI.

interview ya kuingia tu watoto wanaweza kuwa elf 3 ila wataofuzu ni 100 tu, yaani mtoto kuingia tu hapo inabidi awe kipanga, tatizo ni kwamba hao vipanga wa darasa la saba wanaenda kugeuzwa kuwa kasuku.

KUTRAIN KASUKU

mfumo wao wa kutrain kasuku ni kuwalazimu wanafunzi kutumia muda mwingi kujua namna ya kujibu maswali mazingira yao ni mazuri ila ni kwajili ya kusolve maswali si kwajili ya kuotea jua ama michezo
bonasi na zawadi nono pindi matokeo yakitangazwa zinawapa walimu presha kubwa ya kufundisha wanafunzi kujua namna ya kujibu maswali ya necta.

KUIVA KWA KASUKU

kufikia form 4 kwenye mwezi wa sita kila mwanafunzi anakuwa kama kasuku, yaani kuanzia definition, factors,advantages, feautures, n.k. wanaweza kuzijibu kama mashine ya kutoa kopi, past papers wanakuwa wameshasolve zimekuwa kama kiitikio cha muziki hakuna swali jipya mbele yao

KUMALIZA KAZI

wanachosubiri hapo huwa ni kuimba wimbo waliofundishwa, hata wanavyojibu mitihani yao unaweza kudhani ni mtu moja kaandika, hata wasahishaji hawapati taabu sana ni kama unasahisha kopi zilizochapishwa.

Matokeo yao wengi huwa ni division one za tarakimu moja yani 7,8 na 9 full stop !! wale wanaopata 10 na kuendela huko huonekana kama wamefeli.

ANGUKO LA KASUKU -

Pindi wakihamia shule nyingine za form 5 ama kwenda kuanza chuo, wengi huwa hawawezi tena kupata division 1 za points 3 form 6 ama first class vyuoni, ni kwamba yale mazingira ya kuwa kasuku yanakuwa hayapo tena na pia ule uhuru wanaopata wa kujiamulia wasome muda gani unaweza kuwachanganya maana huko walikotoka walikuwa wanasimamiwa kusoma.
Mtasema sana na mtapata pressure. Watoto hao hao do perform wonderfully at all levels of their education! We have vivid examples! Mfano mwaka 2012, Marian girls PCB, wote walikwenda MD Muhimbili na wote wakamaliza na flying colours!
Uwe na usiku mwema!
 
Mtasema sana na mtapata pressure. Watoto hao hao do perform wonderfully at all levels of their education! We have vivid examples! Mfano mwaka 2012, Marian girls PCB, wote walikwenda MD Muhimbili na wote wakamaliza na flying colours!
Uwe na usiku mwema!
Yaani uwe kasuku hadi unapata 1 ya 7 na kichwani ni mweupe si uongo kabisa huo!
Wivu wa kijinga kabisa.
 
Mtasema sana na mtapata pressure. Watoto hao hao do perform wonderfully at all levels of their education! We have vivid examples! Mfano mwaka 2012, Marian girls PCB, wote walikwenda MD Muhimbili na wote wakamaliza na flying colours!
Uwe na usiku mwema!
Mmmm....mbona hatuoni impact ya hawa wataalam wetu kwenye tafiti? Mimi nilisoma PCM ila niliangukia pua.
Kwa ufaulu wa sikuhizi za 1.7 na 1.3 alafu ata madawa na vingine hatujachangia kwenye ugunduzi....mmmmmh inafikirisha sana.
 
Mmmm....mbona hatuoni impact ya hawa wataalam wetu kwenye tafiti? Mimi nilisoma PCM ila niliangukia pua.
Kwa ufaulu wa sikuhizi za 1.7 na 1.3 alafu ata madawa na vingine hatujachangia kwenye ugunduzi....mmmmmh inafikirisha sana.
Aliyekwambia kufaulu=kutafiti nani? Wakatafiti kwenye vituo vipi, laboratory ipi na research facility ipi. Na kwa bajeti ipi.

Kwani hao waliofaulu kwenye shule za serikali wamefanya tafiti gani.
 
MAANDALIZI YA KUPATA KASUKU WAZURI.

interview ya kuingia tu watoto wanaweza kuwa elf 3 ila wataofuzu ni 100 tu, yaani mtoto kuingia tu hapo inabidi awe kipanga, tatizo ni kwamba hao vipanga wa darasa la saba wanaenda kugeuzwa kuwa kasuku.

KUTRAIN KASUKU

mfumo wao wa kutrain kasuku ni kuwalazimu wanafunzi kutumia muda mwingi kujua namna ya kujibu maswali mazingira yao ni mazuri ila ni kwajili ya kusolve maswali si kwajili ya kuotea jua ama michezo
bonasi na zawadi nono pindi matokeo yakitangazwa zinawapa walimu presha kubwa ya kufundisha wanafunzi kujua namna ya kujibu maswali ya necta.

KUIVA KWA KASUKU

kufikia form 4 kwenye mwezi wa sita kila mwanafunzi anakuwa kama kasuku, yaani kuanzia definition, factors,advantages, feautures, n.k. wanaweza kuzijibu kama mashine ya kutoa kopi, past papers wanakuwa wameshasolve zimekuwa kama kiitikio cha muziki hakuna swali jipya mbele yao

KUMALIZA KAZI

wanachosubiri hapo huwa ni kuimba wimbo waliofundishwa, hata wanavyojibu mitihani yao unaweza kudhani ni mtu moja kaandika, hata wasahishaji hawapati taabu sana ni kama unasahisha kopi zilizochapishwa.

Matokeo yao wengi huwa ni division one za tarakimu moja yani 7,8 na 9 full stop !! wale wanaopata 10 na kuendela huko huonekana kama wamefeli.

ANGUKO LA KASUKU -

Pindi wakihamia shule nyingine za form 5 ama kwenda kuanza chuo, wengi huwa hawawezi tena kupata division 1 za points 3 form 6 ama first class vyuoni, ni kwamba yale mazingira ya kuwa kasuku yanakuwa hayapo tena na pia ule uhuru wanaopata wa kujiamulia wasome muda gani unaweza kuwachanganya maana huko walikotoka walikuwa wanasimamiwa kusoma.
Nakubali wanafunzi wanaanfaliwa na mazingira ni mazuri


Ila mitihani wanavujishiwa.

Kwa macho yangu nishashuhudia mitihani ya NECTA imeleak tena wanafunzi wa shule za serikali (wametumiwa na hao wa private)

Toka hapo hizo shule sizihamini
 
Walianza kwa mkakati wao wa kuzoa waalimu wazuri. Walitumia matokeo ya mitihani kama hii ili kujua mwalimu mzuri wa somo fulani yuko shule ipi?

Kisha kumchukua mwalimu kwa ofa nzuri, hii imewafanya wawe na walimu wazuri sana wa masomo mbalimbali waliowang'oa katika shule zingine.

Pia, wana mchujo mkali sana kabla ya kuingia kidato cha mtihani wa Taifa, yaani zile four na zero humalizana nazo kabla hazitahiniwa na NECTA.

Pia, wana utaratibu mwanafunzi mkali kukabidhiwa wenzake wasio wakali sana ili awakokote ili kufikia kwenye mkakati wa shule yao wa 'Single Digit'.

Na mwanafunzi mkali huambiwa; 'hawa wasipoufikia mkakati wetu, tutashughulIka na wewe', hii kitu hufanya wanafunzi wasimamiane.

Wanastahili pongezi sana kwa hatua yao na siyo kuundiwa zengwe.

Ova
 
Walianza kwa mkakati wao wa kuzoa waalimu wazuri. Walitumia matokeo ya mitihani kama hii ili kujua mwalimu mzuri wa somo fulani yuko shule ipi?

Kisha kumchukua mwalimu kwa ofa nzuri, hii imewafanya wawe na walimu wazuri sana wa masomo mbalimbali waliowang'oa katika shule zingine.

Pia, wana mchujo mkali sana kabla ya kuingia kidato cha mtihani wa Taifa, yaani zile four na zero humalizana nazo kabla hazitahiniwa na NECTA.

Pia, wana utaratibu mwanafunzi mkali kukabidhiwa wenzake wasio wakali sana ili awakokote ili kufikia kwenye mkakati wa shule yao wa 'Single Digit'.

Na mwanafunzi mkali huambiwa; 'hawa wasipoufikia mkakati wetu, tutashughulIka na wewe', hii kitu hufanya wanafunzi wasimamiane.

Wanastahili pongezi sana kwa hatua yao na siyo kuundiwa zengwe.

Ova
Pongezi kwa kuwafurusha vilaza? Embu wawatrain vilaza wapate walau iii ndio tutawasifia
 
Acheni wivu hizo shule zinafundisha…..huwezi kufananisha na gvt mwalimu hata asipoingia class hakuna wa kumuhoji
 
Mmmm....mbona hatuoni impact ya hawa wataalam wetu kwenye tafiti? Mimi nilisoma PCM ila niliangukia pua.
Kwa ufaulu wa sikuhizi za 1.7 na 1.3 alafu ata madawa na vingine hatujachangia kwenye ugunduzi....mmmmmh inafikirisha sana.
Umewahi kwenda Ulaya kwenye maabara za sayansi of any University , ukaona how complex the laboratories are in terms of supplies for lab??? ukaingia library ukasoma thesis kuona kazi za wanafunzi walizotafiti? Kama hujaenda basi tuishie hapa!
 
Aliyekwambia kufaulu=kutafiti nani? Wakatafiti kwenye vituo vipi, laboratory ipi na research facility ipi. Na kwa bajeti ipi.

Kwani hao waliofaulu kwenye shule za serikali wamefanya tafiti gani.
UMEMJIBU VEMA KABISA. YOU NEED A WELL EQUIPPED LAB TO DO RESEARCH, BASIC RESEARCH FOR DISCOVERY!
 
Nakubali wanafunzi wanaanfaliwa na mazingira ni mazuri


Ila mitihani wanavujishiwa.

Kwa macho yangu nishashuhudia mitihani ya NECTA imeleak tena wanafunzi wa shule za serikali (wametumiwa na hao wa private)

Toka hapo hizo shule sizihamini
Hili nakubali 100%..ingawa hao wanafunzi ni cream..lakini siagi inaongezwa kuongeza ladha
 
MAANDALIZI YA KUPATA KASUKU WAZURI.

interview ya kuingia tu watoto wanaweza kuwa elf 3 ila wataofuzu ni 100 tu, yaani mtoto kuingia tu hapo inabidi awe kipanga, tatizo ni kwamba hao vipanga wa darasa la saba wanaenda kugeuzwa kuwa kasuku.

KUTRAIN KASUKU

mfumo wao wa kutrain kasuku ni kuwalazimu wanafunzi kutumia muda mwingi kujua namna ya kujibu maswali mazingira yao ni mazuri ila ni kwajili ya kusolve maswali si kwajili ya kuotea jua ama michezo
bonasi na zawadi nono pindi matokeo yakitangazwa zinawapa walimu presha kubwa ya kufundisha wanafunzi kujua namna ya kujibu maswali ya necta.

KUIVA KWA KASUKU

kufikia form 4 kwenye mwezi wa sita kila mwanafunzi anakuwa kama kasuku, yaani kuanzia definition, factors,advantages, feautures, n.k. wanaweza kuzijibu kama mashine ya kutoa kopi, past papers wanakuwa wameshasolve zimekuwa kama kiitikio cha muziki hakuna swali jipya mbele yao

KUMALIZA KAZI

wanachosubiri hapo huwa ni kuimba wimbo waliofundishwa, hata wanavyojibu mitihani yao unaweza kudhani ni mtu moja kaandika, hata wasahishaji hawapati taabu sana ni kama unasahisha kopi zilizochapishwa.

Matokeo yao wengi huwa ni division one za tarakimu moja yani 7,8 na 9 full stop !! wale wanaopata 10 na kuendela huko huonekana kama wamefeli.

ANGUKO LA KASUKU -

Pindi wakihamia shule nyingine za form 5 ama kwenda kuanza chuo, wengi huwa hawawezi tena kupata division 1 za points 3 form 6 ama first class vyuoni, ni kwamba yale mazingira ya kuwa kasuku yanakuwa hayapo tena na pia ule uhuru wanaopata wa kujiamulia wasome muda gani unaweza kuwachanganya maana huko walikotoka walikuwa wanasimamiwa kusoma.
St Francis wanafundisha mpaka kuandika.

Miandiko yao inafanana sana.
 
Back
Top Bottom