zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,843
- 36,547
Embu jikite kwenye hoja na ujibu kistaarabu kukimbia hoja kwa majibu mepesi hakuleti tija kabisa kwa maendeleo ya taifa letuWewe ni HAKIMU ?
Embu jikite kwenye hoja na ujibu kistaarabu kukimbia hoja kwa majibu mepesi hakuleti tija kabisa kwa maendeleo ya taifa letuWewe ni HAKIMU ?
Nape, Elibariki Kingu, Bashe, wote hao wamekerwa na suala la Bashite kuvamia Clouds TV kwa silaha za moto. Nao hao ni wapinzani? Punguza mahaba nduguUpinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Sterling wa madawa ya kulevya ni Sianga na Kassim Majaliwa.Hatari iliyopo nipale team madawa ya kulevya wanaofikiri steling wa filamu wamesha mmaliza kumbe uliyezani kafa sasa hajafa, na anakuja sasa mjiandae. anakuja akiwa na mbinu mpya .
Nasikia askofu saizi kazimia baadaya ile hotuba pale Ubungo.
nani nakwambia ni wapinzani tu ndio wanataka hvyo??ni wapenda hali wote ndio wanataka kuona haki inatendeka.Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
You have said it all mkuu,
Huwezi kumtukana Rais halaf utegemee akusikilize interests zako
Kuna sentensi moja tu iliyobeba lengo la uzi mzima.......@Nyani Ngabu nimekuelewa.
Hilo la mahakamani nani alikuwa wa kwanza kulizungumzia humu?
Lakini niliishia kubezwa na kuitwa kila aina ya majina.
Kwenye uzi wako kuna sehemu nimeona tafsida inavuja.Duh!
Umenielewaje? Maana mimi sijakuelewa hapo..
Kwa hii comment yako ni kwamba, magufuli kafuatilia udaku wa kwenye media unaomsema kwamba yeye na makonda ni mash**a, na baada ya kuufuatilia akaamua kutoa maamuzi yanayowadharau na kuwakomoa watanzania wote kutokana na huu udaku aliousikia...!Approach nzima inayotumika dhidi ya Makonda si nzuri maana imekaa kiudaku udaki na kulipiza kisasi.
Halafu watu wanapoanza kudokeza kuwa Magufuli na Makonda ni mashoga...halafu hapo hapo wanamtegemea Magufuli eti amtumbue Makonda!
Mtu mnamtukana halafu hapo hapo mnamtegemea afanye jambo la kuwafurahisha...come on now.
Wrong approach.
Ukirudi nyuma hapo kiongozi kwenye daraja la kigamboni unakumbuka nani alimshinikiza flani atumbuliwe mchna kweupe au yule alikuwa nyaniBinafsi nakubaliana na hoja yako.... Hii vita dhidi ya Makonda imekaa kidaku mno (Wauza unga+media+Vyama vya upinzani+Wasaka uraisi ndani ya CCM)Magufuli kwasasa hawezi kumtumbua Makonda kupitia shinikizo la watu hata siku moja binafsi napenda hii hoja ya Makonda ife kabisaa tufocus kwenye maendeleo inatupotezea muda tu aliyemteuwa anajua ukweli zaidi kuliko sisi wapiga kelele.
Kwa hii comment yako ni kwamba, magufuli kafuatilia udaku wa kwenye media unaomsema kwamba yeye na makonda ni mash**a, na baada ya kuufuatilia akaamua kutoa maamuzi yanayowadharau na kuwakomoa watanzania wote kutokana na huu udaku aliousikia...!
Kwa hiyo labda basi laiti huyu mkulu angekuwa sio mtu wa kuendekeza udaku wa kwenye media labda angepata uwezo wa ku exercise zile 'little grey cells' na labda basi ingemsaidia kuweza kusikiliza sauti za watanzania wengine wote wanaotoa ushauri na comments zenye tija... arrrrgh
Hakuna mtu aliyewahi kupata au kusingiziwa kashfa kubwa hapa nchini zaidi ya mh Lowasa.
Lakini hayo yote yamesahaulika na sasa ivi ni mtu mkubwa kwenye chama.
Natumaini hata hili litapita, na heshima ya Makonda itarejea na wengi watakuja kuelezea ushujaa wa makonda.
Edward Lowasa anatumia vyeti vyake na jina lake na hajawahi kuvamia media house kulazimisha propaganda zake zipewe airtimeHakuna mtu aliyewahi kupata au kusingiziwa kashfa kubwa hapa nchini zaidi ya mh Lowasa.
Lakini hayo yote yamesahaulika na sasa ivi ni mtu mkubwa kwenye chama.
Natumaini hata hili litapita, na heshima ya Makonda itarejea na wengi watakuja kuelezea ushujaa wa makonda.
Ndio sawa...Magufuli haishi kwenye ombwe.
Anafuatilia na kujua sana yanayovuma na kuongelewa sana mitandaoni.
Usikute hata hapa kwenye hii thread yupo.
Zama hizi itakuwa ni uzuzu mtu kudhani kuwa hawa viongozi hawaoni yanayojadiliwa mtandaoni.
Si unaona Trump alivyo? Akiona kasemwa kidogo tu huyo anaendwa Twitter.
Mimi naamini kabisa Magu yupo humu.
Hayo yote hayawezi fikia uzushi aliyozushiwa mh Lowasa, na upepo ukapita.Edward Lowasa anatumia vyeti vyake na jina lake na hajawahi kuvamia media house kulazimisha propaganda zake zipewe airtime
Endeleeni tu kujitia dole na kunusa kama mtapata harufu ya pilau.