Saga la Makonda: My Take

Saga la Makonda: My Take

Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?

mbona hakamatwi na amevujnja sheria?
yani huyu dogo kila sehem anaharibu tu afu anaangaliwa tuu
 

Attachments

  • MAKONDA.JPG
    MAKONDA.JPG
    40.3 KB · Views: 33
Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Kwahiyo haki isichukue mkondo wake kisa tu RAIS ANAUMIA NA MATUSI??? hivi ina maana kma mtu kaua na ushahidi upo then watu wakaanza mtukana jaji eti apindishe hukumu na kumuchia huru kisa tu AMEUMIA NA MATUSI?? yaani inafkia stage na ssi watanzania tunaweka conditions ya haki kutolewa???

afu kwanni uchama kila kitu kwani makonda kabanwa na upinzani tu ama huyo msukuma mpinzani??? nape mpinzani?? dah kwa aina hii ya thinking naona itatuchukua miaka 50 kufkia maendeleo ya kweli
 
Mkuu,kukuelewesha tuu,wanao pambana na magu sio upinzani,bali ni umma wa watanzania.

Chunguza ni mara ngapi viongozi wa upinzani wanatoa matamko katika matukio,ni mara chache sana
Wonders shall never cease asee

Watanzania tunapenda sana kuishi kwa imani na hisia, No wonder kina Gwajima wanatajirika kila siku
 
Hatari iliyopo nipale team madawa ya kulevya wanaofikiri steling wa filamu wamesha mmaliza kumbe uliyezani kafa sasa hajafa, na anakuja sasa mjiandae. anakuja akiwa na mbinu mpya .
Nasikia askofu saizi kazimia baadaya ile hotuba pale Ubungo.
 
Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Clouds nao wapinzani? Kweli tz ya vwander
 
Nilishawaambia hawa wote ni wapiga deal.... ni ngumu sana baba jeska kumtumbua bashite wakati deal zote wanacheza pamoja....mtasubiri sana
 
Approach nzima inayotumika dhidi ya Makonda si nzuri maana imekaa kiudaku udaki na kulipiza kisasi.

Halafu watu wanapoanza kudokeza kuwa Magufuli na Makonda ni mashoga...halafu hapo hapo wanamtegemea Magufuli eti amtumbue Makonda!

Mtu mnamtukana halafu hapo hapo mnamtegemea afanye jambo la kuwafurahisha...come on now.

Wrong approach.
Umetumia neno "APPROACH' tuliposema kwenye issue ya madawa hamkutuelewa.. Anyway acha wapigane wenyewe kwanza. Nasubiri ripoti ya Nape, baada ya hapo watandikane weeeee AF baada ya hapo upinzani unaanza tena
 
Yaani hapo baba mkuu na mwanaye mpendwa anayependezwa naye wamebanwa kwenye kona.
Nadhani inayotafutwa ni exit strategy tu. Ukweli upo hadharani.

Credibility ya DAB na baba mkuu mwenye enzi ni all time low.
 
You have said it all mkuu,

Huwezi kumtukana Rais halaf utegemee akusikilize interests zako
Kwahiyo haki hutendeka mpaka mtu flani awe na moods?? yaani jambazi likiiba na silaha eti kwakuwa polisi tunawatukana basi ndo wasimkamate??? dah uve made my day mkuu am just speechless
 
Ule ukanda na ukabila wa chadema umehamia huku!

Hahahhaha Chadema haina UKANDA ndugu.Muangalie Mwenyekiti wako wa Chama cha Majipu.Real majipu anaendelea kuyapuliza,ila hajui huwa yanatumbuka yenyewe yakishaiva
 
Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?

We mwenyewe ni wa kupuuzwa,,kwa hiyo kila anayempinga Makonda ni mpinzani
 
Tulishaandika na bado tunarudia tena! Nchi haiongozwi na posts za Instagram! Ukawa sijui kwanini hamtaki kuelewa?
 
Mkuu kwenye hii thread kaelezea vizuri sana.

Kuna watu wanatumia watu wengine kuendesha hii vita ya kuakikisha Makonda anatumbuliwa. Lakini kutumia hao watu ndio kumemfanya Makonda hasitumbuliwe!
Suleman aliomba hekima.
 
Back
Top Bottom