Saga la Makonda: My Take

Saga la Makonda: My Take

Umetumia neno "APPROACH' tuliposema kwenye issue ya madawa hamkutuelewa.. Anyway acha wapigane wenyewe kwanza. Nasubiri ripoti ya Nape, baada ya hapo watandikane weeeee AF baada ya hapo upinzani unaanza tena

Mimi mbona hata hiyo approach ya Makonda kwenye madawa ya kulevya niliipinga na kuilaani...

Najua jinsi nchi za wenzetu huko wanavyofanya kazi kuhusu hayo mambo.

Najuana ex convicts ambao walikuwa nyuma ya nondo kutokana na masuala ya mihadarati.

Najua jinsi vice squads za wenzetu zinavyofanya kazi.

Kwa hiyo mimi si mmoja wa watu ambao walibariki approach ya Makonda.

It was no just amateurish. It was downright stupid.
 
Wewe ni mjinga kweli kuna ccm gani zaidi yako ambao watasapoti alichofanya clouds?
achilia mbali vyeti feki!

Ila amwache tu tuendelee kupata zile za moto moto kutoka magogoni!
kwasababu mule mule ndani kuna wengine hawapendi ujinga huu
Leo mmekuwa watetezi wa CLOUDS ?

- Ulimwengu na Walimwengu -
 
Naamini wengi wenu humu ndani leo mlitegemea mkuu wa mkoa wa Dar kutumbuliwa na mheshimiwa mtukufu rais wa JMT.

Imani hiyo naamini iliongezwa na utolewaji wa video ya usalama ya kituo cha habari na burudani cha Clouds ambapo mkuu wa mkoa alionekana akiingia na askari wenye bunduki kwenye ofisi za kituo hicho majira ya usiku.

Hilo la kutumbuliwa halijatokea na kusema ukweli mimi sikuwa nategemea litokee hapo Ubungo mbele ya kadamnasi [ingawa Magu na huyo Makonda wake wameshawahi kumtumbua mtu hadharani]. Sikutegema wao kwa wao watumbuane hadharani.

Kwa jinsi rais Magufuli alivyo na kwa jinsi suala zima la vita dhidi ya Makonda linavyoendeshwa hivi sasa [kiudaku udaku hususan huku mitandaoni] mimi sitegemei kuona wala kusikia kuwa Makonda atatumbuliwa hivi karibuni. Uwezekano wa kutumbuliwa upo ila uelekeo wake mimi siuoni.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu nadhani Magufuli akifanya hivyo atakuwa kama kasalimu amri ya shinikizo linalotoka huku kwenye mitandao na sidhani yuko tayari aonekane kasalimu amri.

Naamini kabisa Magufuli naye anayaona makosa ya Makonda. Ila sidhani kama 'ego' yake itamruhusu kufanya vile ambavyo wengi, hususan huku kwenye mitandao, wanataka afanye. Akifanya hivyo itakuwa ni kama kawapa ushindi wapinzani wake.

Baada ya muda suala hili la Makonda litapoa tu. Sina hakika itachukua muda gani lakini naamini litapoa tu.

Likishapoa ni imani yangu pia kuwa hapo ndo utakuwa mwanya wa Magufuli 'kumpangia' Makonda shughuli nyingine.

Lakini kwa sasa jinsi mazingira yalivyo [mipasho madhabahuni, matusi mitandaoni, drama magazetini, n.k.] sidhani kama yanampa rais nafasi nzuri ya kufanya kile ambacho wapinzani wake wanamtaka afanye.

Naona labda hataki kuweka precedent ya kuyumbishwa na kelele za watu. Tena watu wanaomtukana hadi matusi ya nguoni. Watu wanaomzushia kila aina ya uzushi. Watu wamefikia hadi hatua ya kudokeza kwamba Makonda na Magufuli ni wapenzi....seriously?

Mtu mnamtukana hivyo halafu bado mnategemea afanye jambo la kuwasuuza nyonyo zenu? Acheni masikhara bana.

Ila muda utatuonyesha tu....tusubiri tuone.
cc: mwigulu nchemba
mkuu hivi upooo mbona husikiki kabisaaa?? kulikoni!!!
hebu toa neno kidogo na wewe uckike angalao uonekane unawajibika kuliko kumute!!
hawa jamaa waliozama ndani ya kituo cha redio c ni vijana wako?/ je unatuambia nini wananchi? umewatuma etiee??
 
Na tatizo kubwa la CHADEMA, Wanatumia nguvu na uwekezaji mkubwaaa kupambana na Makonda ambaye siyo mwanasiasa na wala hagombei 2020. SUBIRIA Watakavyopokea PIGO LA HAJA 2020 Ndo watakufa kabisa
kwanni mnaweka uchama kwenye mambo ya kusimamia utawala wa kisheria na katiba hapa tanzania ssa hta kma kwei chadema wangekuwa ndio wanashkilia bango hili je kma tuhuma ni za kweli ndo hatia zisichukuliwe??? ila angesema ccm ndio sawa eti??? kwani toka lini msukuma au nape wapo chadema dah acheni uchama kwenye mambo ya kitaifa
 
Sahihi ...hata mimi ningeshangaa anko asikilize kelele za mitandaoni ....na kupangiwa na gwaj....nini cha kufanya

....Ni ajabu kwamba viongozi wetu wamekuwa mstari wa mbele kusema mimi ni kiongozi wa wote bila kujali vyama, dini wala itikadi, pia wameendelea kusema tutadumisha utawala wa sheria, kufuata haki na nidhamu. Kwenye majukwaa wamehubiri wafanyakazi wawe watiifu, waadilifu, wapewe vyeo kulingana na viwango vyao halisi vya elimu, wale wenye vyeti feki wamekemewa na kuchukuliwa hatua n.k.

Sasa maajabu ni kwamba jambo ambalo wamelianzisha wenyewe, kwa kuwa tuu sasa limewagusa wateule wao wa karibu, linaonekana ni habari za mtandaoni, ni kelele tuu, ni udaku...this is double standard of the highest order. Hivi issue ni habari kuwa ya mtandaoni au ni ukweli wa habari yenyewe? Asilimia kubwa ya watanzania ni vijana, ambao their main and quick means of communication is social media....mlitaka waandike barua au makala kwenye gazeti la uhuru au Mzalendo kama enzi za akina Kingunge? Hivi bila mashinikizo mambo huwa yanaenda kweli kwenye hizi nchi zetu? Je huyu mkuu wa mkoa ni kwa kwanza kushinikmizwa ili aachie ngazi? why him so special? Akina mzee mwinyi si walishinikizwa na wakaachia ngazi alipokuwa waziri enzi zile? Sisi ni binadamu na huwa tunafanya makosa, ikiwemo kuteuwa wateule wetu kimakosa au kwa kupewa taarifa ambazo si sahihi, so tusione kwamba tunaposhinikizwa maana yake tuko weak.

Lakini kama tunaona sisi ni miungu na hatukosei, na kwamba hakuna wa kutupangia au kushauri is well and good but pia tuwe tayari kusimama mbele na kuwaambia wale tuliowatumbua kwa makosa hayo hayo kwamba tuliwakosea.
 
Naamini wengi wenu humu ndani leo mlitegemea mkuu wa mkoa wa Dar kutumbuliwa na mheshimiwa mtukufu rais wa JMT.

Imani hiyo naamini iliongezwa na utolewaji wa video ya usalama ya kituo cha habari na burudani cha Clouds ambapo mkuu wa mkoa alionekana akiingia na askari wenye bunduki kwenye ofisi za kituo hicho majira ya usiku.

Hilo la kutumbuliwa halijatokea na kusema ukweli mimi sikuwa nategemea litokee hapo Ubungo mbele ya kadamnasi [ingawa Magu na huyo Makonda wake wameshawahi kumtumbua mtu hadharani]. Sikutegema wao kwa wao watumbuane hadharani.

Kwa jinsi rais Magufuli alivyo na kwa jinsi suala zima la vita dhidi ya Makonda linavyoendeshwa hivi sasa [kiudaku udaku hususan huku mitandaoni] mimi sitegemei kuona wala kusikia kuwa Makonda atatumbuliwa hivi karibuni. Uwezekano wa kutumbuliwa upo ila uelekeo wake mimi siuoni.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu nadhani Magufuli akifanya hivyo atakuwa kama kasalimu amri ya shinikizo linalotoka huku kwenye mitandao na sidhani yuko tayari aonekane kasalimu amri.

Naamini kabisa Magufuli naye anayaona makosa ya Makonda. Ila sidhani kama 'ego' yake itamruhusu kufanya vile ambavyo wengi, hususan huku kwenye mitandao, wanataka afanye. Akifanya hivyo itakuwa ni kama kawapa ushindi wapinzani wake.

Baada ya muda suala hili la Makonda litapoa tu. Sina hakika itachukua muda gani lakini naamini litapoa tu.

Likishapoa ni imani yangu pia kuwa hapo ndo utakuwa mwanya wa Magufuli 'kumpangia' Makonda shughuli nyingine.

Lakini kwa sasa jinsi mazingira yalivyo [mipasho madhabahuni, matusi mitandaoni, drama magazetini, n.k.] sidhani kama yanampa rais nafasi nzuri ya kufanya kile ambacho wapinzani wake wanamtaka afanye.

Naona labda hataki kuweka precedent ya kuyumbishwa na kelele za watu. Tena watu wanaomtukana hadi matusi ya nguoni. Watu wanaomzushia kila aina ya uzushi. Watu wamefikia hadi hatua ya kudokeza kwamba Makonda na Magufuli ni wapenzi....seriously?

Mtu mnamtukana hivyo halafu bado mnategemea afanye jambo la kuwasuuza nyonyo zenu? Acheni masikhara bana.

Ila muda utatuonyesha tu....tusubiri tuone.
Hivi hakuna sheria ya kulazimisha watu wakapimwe akili? Kuna viongozi wawili Nina wasiwasi na afya za vichwa vyao
 
Naamini wengi wenu humu ndani leo mlitegemea mkuu wa mkoa wa Dar kutumbuliwa na mheshimiwa mtukufu rais wa JMT.

Imani hiyo naamini iliongezwa na utolewaji wa video ya usalama ya kituo cha habari na burudani cha Clouds ambapo mkuu wa mkoa alionekana akiingia na askari wenye bunduki kwenye ofisi za kituo hicho majira ya usiku.

Hilo la kutumbuliwa halijatokea na kusema ukweli mimi sikuwa nategemea litokee hapo Ubungo mbele ya kadamnasi [ingawa Magu na huyo Makonda wake wameshawahi kumtumbua mtu hadharani]. Sikutegema wao kwa wao watumbuane hadharani.

Kwa jinsi rais Magufuli alivyo na kwa jinsi suala zima la vita dhidi ya Makonda linavyoendeshwa hivi sasa [kiudaku udaku hususan huku mitandaoni] mimi sitegemei kuona wala kusikia kuwa Makonda atatumbuliwa hivi karibuni. Uwezekano wa kutumbuliwa upo ila uelekeo wake mimi siuoni.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu nadhani Magufuli akifanya hivyo atakuwa kama kasalimu amri ya shinikizo linalotoka huku kwenye mitandao na sidhani yuko tayari aonekane kasalimu amri.

Naamini kabisa Magufuli naye anayaona makosa ya Makonda. Ila sidhani kama 'ego' yake itamruhusu kufanya vile ambavyo wengi, hususan huku kwenye mitandao, wanataka afanye. Akifanya hivyo itakuwa ni kama kawapa ushindi wapinzani wake.

Baada ya muda suala hili la Makonda litapoa tu. Sina hakika itachukua muda gani lakini naamini litapoa tu.

Likishapoa ni imani yangu pia kuwa hapo ndo utakuwa mwanya wa Magufuli 'kumpangia' Makonda shughuli nyingine.

Lakini kwa sasa jinsi mazingira yalivyo [mipasho madhabahuni, matusi mitandaoni, drama magazetini, n.k.] sidhani kama yanampa rais nafasi nzuri ya kufanya kile ambacho wapinzani wake wanamtaka afanye.

Naona labda hataki kuweka precedent ya kuyumbishwa na kelele za watu. Tena watu wanaomtukana hadi matusi ya nguoni. Watu wanaomzushia kila aina ya uzushi. Watu wamefikia hadi hatua ya kudokeza kwamba Makonda na Magufuli ni wapenzi....seriously?

Mtu mnamtukana hivyo halafu bado mnategemea afanye jambo la kuwasuuza nyonyo zenu? Acheni masikhara bana.

Ila muda utatuonyesha tu....tusubiri tuone.
Mkuu heshima kwako....

Kwa mtizamo mdogo unazani who is the winner?

Upande wangu nadhani maadui wa Magu au hii serikali ya awamu ya 5 ndio washindi.

Yes, wameshinda...
Kwa hili la Rais kumbakiza Mh. Rc itazidi kuwapa agenda wapinzani wake,
Yani ni hivi...... Kichaka huanza kuungua na baadae pori zima hupokea moto.
Kama ukiwai kukizima kichaka basi itakuwa umenusuru pori zima.

Any way.....
Msalimie Mangekimambi na umwambie Daudi bado sana...
 
Kwa hiyo watu waufyate, waache kupaza sauti kukemea maovu ili tu kuridhisha "ego" ya sijui nani? Watanzania walimchagua ili wamridhishe ego yake? Hao watu wanaotukana matusi ni asilimia ngapi ya watanzania? Kuna mahali aliwekeana mkataba na watanzania kwamba kama kuna watanzania watamkosoa yeye na uongozi wake kwa njia ya matusi basi yeye atasimama kidete kuwakomoa watanzania wengine wote...? mpaka hapo wale wale wachache wanaomtukana watakapokoma? Eti hayupo tayari kukubali shinikizo la watanzania wanaomkosoa... chaaaaaaa
 
Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Ili mradi ameamua kuingia vitani na wananchi wake mwenyewe manake unasema wapinzani wapinzani wa safari hii ni wale wa ccm na wa upinzani so upinzani dhidi ya ujinga wa Magufuli na Makonda umevuka mipaka yaani kwa sasa wote hawana legitimacy ya kuongoza mtu yeyote ,wamekosa authority ni mbaya kwao na mbaya kwa nchi sasa kama wana energy ya kupambana na wananchi tutaona maana baada ya leo wengine wataibukia mahakamani kesho kwa hiyo hili la mapenzi yao na ukabila wao hayaishii hapa the whole nation is against this two loosers
 
By the time anaamua kumtumbua (baada ya kusubiri ''drama'' zipungue) inaweza kuwa too late na damage kubwa itakuwa imeshafanyika kwa reputation ya mzee.
 
Hamjuwi mnachoongea mtoa thread na hao wote mnaosupoport. Unapokuwa kiongozi, unaongoza kwa mujibu wa katiba na matakwa ya wananchi. Rais kikatiba anapaswa kufuata sheria. Akishindwa kufata sheria hapo ndipo wananchi huingilia kwa kupaza sauti kumshinikiza afate sheria. Kama kiongozi ni mvunjaji wa sheria, lazima atakuwa ni kiongozi wa kutumia ubabe. Ni kiongozi mbabe anaweza thamini mtu mmoja zaidi ya mamilion kwa sababu tu anaamini ananguvu na hakuna cha kumfanya.
Duniani kote chief informants wa information zozote ni wananchi ambao Rais anawabeza. Usalama wa taifa wanapata taarifa kutoka kwa wananchi. Hii inamaanisha kwamba sisi kama raia tupo sahihi kwa kile tunachokifanya. Lkn kwa kuwa tumempa nguvu zote Rais bila tukasahau kuwa tunawajibu wa kumdhibi, na yeye akajuwa kuwa hatujuwi Wajibu wetu, ndo maana anafanya anavyofanya. Anasahau kuwa kila siku anasema yeye ni Rais wa wanyonge, Rais wa watu, yupo kuwatumikia watu, kumbe anamtumikia Makonda.
Waingeleza wanasema, "birds of the same feather, flocks together" Kwa kuwa yeye manyoya yake hayafanani na yetu wananchi, wanyonge, ambao ndo kila siku hulalimika kwenye mitandao, ni ngumu kukubaliana nasi. Tuendelee kupaza sauti, siku moja tutayaona matunda ya sauti yetu.
Umeongea ukweli nataka kuona uanaume wa Magufuli na Makonda dhidi ya wananchi katupa mailage ya kumchambuwa uwezo wake wa kutawala bora angemezea aongee mambo ya kufunguwa barabara badala ya kwenda na kutusuta wananchi mitandao si ni njia ya mawasiliano
 
Ili mradi ameamua kuingia vitani na wananchi wake mwenyewe manake unasema wapinzani wapinzani wa safari hii ni wale wa ccm na wa upinzani so upinzani dhidi ya ujinga wa Magufuli na Makonda umevuka mipaka yaani kwa sasa wote hawana legitimacy ya kuongoza mtu yeyote ,wamekosa authority ni mbaya kwao na mbaya kwa nchi sasa kama wana energy ya kupambana na wananchi tutaona maana baada ya leo wengine wataibukia mahakamani kesho kwa hiyo hili la mapenzi yao na ukabila wao hayaishii hapa the whole nation is against this two loosers


Wananchi gani hao unaowaingelea? Wauza Madawa ya kulevya Mbowe, Tundu Lisu, & Co.?
 
Aendelee kukaa naye , mwisho wa siku watanzania , watamuelewa vizuri .. Ahadi zote zilikuwa kupata nafasi ya kuingia, baada ya kuingia ndani anafanya anavyotaka.. Hatakuwa na ajenda tena.. amejimaliza mwenyewe. Kinachoshangaza , hata CCM wamefyata mkia.
 
kwanni mnaweka uchama kwenye mambo ya kusimamia utawala wa kisheria na katiba hapa tanzania ssa hta kma kwei chadema wangekuwa ndio wanashkilia bango hili je kma tuhuma ni za kweli ndo hatia zisichukuliwe??? ila angesema ccm ndio sawa eti??? kwani toka lini msukuma au nape wapo chadema dah acheni uchama kwenye mambo ya kitaifa
Wewe ni HAKIMU ?
 
Ugumu na uchungu anaopata Rais kumfuta kazi Bashite ni sawa na ugumu anaopata baba mwenye nyumba kumfukuza kazi housegirl anayelala naye.
 
Wala
Mkuu,kukuelewesha tuu,wanao pambana na magu sio upinzani,bali ni umma wa watanzania.

Chunguza ni mara ngapi viongozi wa upinzani wanatoa matamko katika matukio,ni mara chache sana
sio Umma wa Watanzaia hebu acha kupotosha ni Wapinzani na Wauza madawa ya kulevya. Badili biashara ndugu yangu. Short Cuts hazina nafasi awamu hii! Sasa huwezi suburi mpaka 2020?!?!2025!!
 
A fool will always get caught up in his own ego.

And Machiavelli once said something like; if an injury is to be caused to a man, it should be so severe that his revenge need not be feared. Time will tell.

Halafu Magu anavyosema tuache 'udaku', wakati wiki iliyopita tu katoka kusema ni shabiki wa SHILAWADU; How ironic is that???
Labda shilawadu ni TBA who knows that
 
Back
Top Bottom