Saga la Makonda: My Take

Saga la Makonda: My Take

Everything happens for a reason tungejua SAA ngapi kuwa ukilaza Wa bashite utaenda to that extend ya kuvamia studio

Tungejua SAA ngapi udikteta Wa Makomeo

Time will tell, lakini am sure 100% siku zao zinahesabika
 
Nyani Ngabu,

..hivi makonda akili zake ziko sawasawa?

..matamshi yake kuwa ametumwa na "mungu" au akizungumza makonda amezungumza "mungu" hamuoni kwamba ni kama mtu aliyechanganyikiwa?

..ile orodha yake ya watumiaji madawa hivi inatofauti gani na makaratasi tuliyozoea kuyakuta kwa machizi?

..binafsi sidhani kama mtu mwenye akili timamu anaweza kutenda hivi anavyotenda Makonda.
 
Nyani Ngabu,

..hivi makonda akili zake ziko sawasawa?

..matamshi yake kuwa ametumwa na "mungu" au akizungumza makonda amezungumza "mungu" hamuoni kwamba ni kama mtu aliyechanganyikiwa?

..ile orodha yake ya watumiaji madawa hivi inatofauti gani na makaratasi tuliyozoea kuyakuta kwa machizi?

..binafsi sidhani kama mtu mwenye akili timamu anaweza kutenda hivi anavyotenda Makonda.

Makonda is in over his head.

Hafai hata kuwa mlinzi wa usiku wa nyumbani kwangu.

Mimi nadhani hatadumu kwenye hiyo nafasi.

Ni suala la muda [timing tu].

His missteps are untenable. He is a goner.
 
Watu bwana.nilistuka kusikia makonda kavamia kituo. Hakuna taarifa ya madhara ama uharibifu wa Mali, ama maafa yaliyilotokea na kwa vipi uvamizi huo ulizuilika.
Wengi ingawa hawahusiki moja kwa moji na uuzaji, usambazaji n.k.wamenufaika sana na madawa.
Makonda, usijeacha kutembea na walinzi!! Una maadui kila kona
 
Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Wewe ni bashte kweli. We unadhani kila anayepinga basi yupo upinzani. Hujasikia wabunge wanasemaje tena wa Ccm! Yaani tukae tu watu wanachezea nchi hivi. Nahisi wewe utakuwa jesca si bure.
 
Hata likipoa heshima kwa rais itakuwa imeshuka sana....
 
Khaa sasa tumbembeleze,kinyago chetu wenyewe tukiogope,ilhali anakula,kuvaa,kujisaidia na kuishi kwa kodi zetu,acha masihara anko ngabu

Yakupasa ufahamu kuwa makelele,shinikizo na matusi mitandaoni hivi sasa ni matunda ya ukimya wa serikali kuhusu tuhuma mbali mbali zinazomhusu huyu RC,serikali ingekuwa imechukua hatua stahiki ikiwamo proper veting ya huyu jamaa kabla ya kumuajiri au mapema baada ya tuhuma kuanza na kuchukua hatua stahiki za eidha kumsafisha (kuna ugumu gani kumsafisha mtu suala la elimu,ishu ambayo inahitaji kuonyesha tu vyeti hadharani) ama kumtoa madarakani na kumfikisha mahakamani basi haya yanayojiri sasa yasingekuwapo,kwanini kuwe na double standards katika usimamizi wa sheria.

Ni hatari sana pale kiongozi wa nchi anapotawala kwa matashi yake na sio kufuata katiba ambayo ndio inatoa muongozo jinsi gani anatakiwa kuongoza.
 
Wabunge wa upinzani wa raise motion ya impeachment ingawa wako wachahe lakini let it be on record!

“46A.-(1) Bila ya kujali masharti ya ibara ya 46 ya Katiba hii, Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshitaki rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki rais haitatolewa isipokuwa tu kama inadaiwa kwamba rais-
(a) ametenda vitendo ambavyo kwa jumla vinaivunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma;
(b) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya siasa yaliyotajwa katika ibara ya 20(2) ya Katiba au
(c) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano”.


Ibara ya 46A YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977; INAYOHUSU KUMUONDOA MADARAKANI (IMPEACHMENT) RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 [Cap. 2 R.E. 2002.]

ZOEZI HILI HUCHUKUA JUMLA {KAMA KILA KITU KINAKWENDA SAWA - ceteris paribus} YA SIKU 150 au miezi mitano. Kwa mfano huu mchakato ukianza leo, mwezi wa tano Raisi anakuwa kaondolewa.

Rais (Mhimili wa Utawala) anaweza kuondolewa madarakani chini ya Ibara hii kwa tuhuma za aina nne:
- kuvunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
- Kukiuka Sheria ya Maadili ya Viongozi [Leadership Code]
- Kukiuka vipengele vilivyomo katika maadili yanayohusu uandikishwaji wa vyama vya Siasa yaliyotajwa katika Ibara ya 20 (2) ya Katiba, au
- Amekuwa na mwenendo unaodhalilisha kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

1. Ili kuanzisha mchakato huo inahitaji idadi ya asilimia 20 (20%) ya Wabunge waliopo wafikishe Notisi ya maandishi na kuiwasilisha kwa Spika. Siku 30 zipite kabla ya kikao cha kujadili hizo tuhuma: ( wabunge wa CDM pekee wanatosha kufika 20% (

2. Baada ya kupita hizo siku 30, MTOA HOJA ATAIWASILISHA BUNGENI.

-Aidha tuhuma zitupwe au
- Wapendekeze kuunda Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo.

3. Bunge litapiga kura ili iundwe Kamati ya Kuchunguza tuhuma hizo; lakini kura hizo lazima zifikie au zizidi theluthi mbili ya kura zote. Kama ndio,

4. Spika anatakiwa kutaja majina ya Kamati ya Uchunguzi chini ya Ibara ya 46A(4) ambao ni:
(a) Jaji Mkuu (Mwenyekiti)
(b) Jaji Mkuu wa Zanzibar
(c) Wajumbe saba wanaoteuliwa na Spika; kwa kuzingatia Kanuni za Bunge na Uwakilishi wa Vyama vya Siasa Bungeni.

Matokea ya No. 3 hapo juu chini ya Ibara 46A (5) ni kwamba

- RAis anasimamishwa kazi
- Vivyo Ibara ya 37 (3) inafanya kazi. (Edapo Rais hatakuwepo madarakani wakati huo)

Jambo hili la kumsimamisha kazi Rais litaendelea hadi hapo Spika atakapomfahamisha Rais juu ya matokeo ya uchunguzi uliofanywa [Ibara ya 46A (5)]

Na. 4 hapo juu Kamati inapewa siku 7 kukamilisha uchunguzi wake na kumpa fursa Rais ya kujieleza [Ibara ya 46A (6)]

Kamati ya uchunguzi inapewa siku 90 kukamilisha ripoti yake na kuiwasilisha kwa Spika.

Ibara ya 46A (8) - Spika anawasilisha Ripoti ya Uchunguzi kwa Bunge

Ibara ya 46A (9) - Bunge lenye idadi isiyopungua theluthi mbili litajadili Ripoti hiyo na kumpa Rais fursa ya kujieleza.

Bunge linatakiwa liibuke na aidha ya majibu yafuatayo:

(i) Kwamba tuhuma zimethibitishwa.
(ii) Kwamba Rais hafai kuendelea kufanya kazi
(iii) Kwamba Rais hafai kuwa Rais
(iv) Kwamba tuhuma hazikuthibitishwa.

Ibara 46A(10) - Baada ya hilo kufanyika, endapo ni (i) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatakiwa kuachia ngazi (resign) ndani ya siku tatu.

MCHAKATO HUO WOOOOTE ULIOTAJWA HAPO JUU UKIFUATAWA KAMA UNAVYOTOLEWA kisheria unatakiwa kumalizika ndani ya siku 150 sawa sawa na miezi 5 kamili.[/QUOTE]
Yaani nimetoka kuliwaza hili leo tu muda s mrefu,Jamani tundu lisu hayupo jf humu nmtumie hii kitu. Huyu mtu jeuri imemzidi. Kama alienda kuchukua fomu peke yake anadhani alijichagua kwa kura mwenyewe, always nawalaumu Sana wote mliompigia kura huyu mtu. Toka moyoni mwangu simpendi na nachukizwa na maneno yake. Mwenye nchi aliijenga yeye?au aliinunua sh ngapi? Mi Nina hasira Hapa nilipo Mungu peke ake Ndio anajua.
 
kama upinzania hauna akili basi ccm ni majuha kabisa,kwani alidhani kazi ya uraisi ni lelemama na nirahisi tu kwakukaa na kuanza kufatilia shilawadu wakati wananchi wake hawana uhakika wa kesho wata kula nini..wewe ni bwege mwingine
Huku mnakesha mitandaoni kushinikiza makonde atolewe ukuu wa mkoa.....afu unalalamika kuna njaa mtu mda mwingi anasubiri kuona mange kapost nn mara gwajima utapata mda kwl wa kujitafutia riziki......
 
Ni kweli mamlaka ya kumtumbua yapo mikononi kwa mh.. raisi ila upande wa pili haualalishi alichokifanya RC...
"Mm siyumbishwi na mtu yeyote,hata fomu ya urais nilienda nilienda kuchukua mwenyewe" JPM
Hvyo hyo ego yake ni noma...sio kwamba ameshindwa kumtumbua kwa sababu ni wapinzani ndio wamepaza sauti..
 
Binafsi nakubaliana na hoja yako.... Hii vita dhidi ya Makonda imekaa kidaku mno (Wauza unga+media+Vyama vya upinzani+Wasaka uraisi ndani ya CCM)Magufuli kwasasa hawezi kumtumbua Makonda kupitia shinikizo la watu hata siku moja binafsi napenda hii hoja ya Makonda ife kabisaa tufocus kwenye maendeleo inatupotezea muda tu aliyemteuwa anajua ukweli zaidi kuliko sisi wapiga kelele.
yani wewe kama wewe hii hoja inakupotezeaje muda?inasababisha vipi wewe ushindwe kufocus kwenye maendeleo?
 
kama upinzania hauna akili basi ccm ni majuha kabisa,kwani alidhani kazi ya uraisi ni lelemama na nirahisi tu kwakukaa na kuanza kufatilia shilawadu wakati wananchi wake hawana uhakika wa kesho wata kula nini..wewe ni bwege mwingine
Huku mnakesha mitandaoni kushinikiza makonde atolewe ukuu wa mkoa.....afu unalalamika kuna njaa mtu mda mwingi anasubiri kuona mange kapost nn mara gwajima utapata mda kwl wa kujitafutia riziki......
Tujiulize wote:
1. Hayo aliyofanya Magufuli ni kwa faida ya nani? Nauliza hivyo kwasababu najua madhara ya upuuzi aliyofanya yatasambaa kama moto wa nyika na yataenda mbali! Ukichukulia vitu vyote alivyotuhumiwa, bila kutolewa ufafanuzi usio na shaka vitaaminiwa na wengi. Viongozi wengi walio chini ya Magufuli wataona wamesetiwa precedence ya double standard na inakubalika kulegeza kamba pale wakati mwingine hata kama mtu ana makosa dhahiri.
 
Sidhani kama kilichotokea na maamuzi yaliyochukuliwa yana mahusiano yoyote na upinzani.
Clouds TV ni TV inayomilikiwa na TLP,CHADEMA,NCCR au CUF?
Hata kama ingekuwa hivyo je sheria inaruhusu kilichotokea?
Nyani Ngabu nimekufahamu siku nyingi tumekuwa na mijadala mizito ila leo, huyu sio wewe.
 
Makonda is in over his head.

Hafai hata kuwa mlinzi wa usiku wa nyumbani kwangu.

Mimi nadhani hatadumu kwenye hiyo nafasi.

Ni suala la muda [timing tu].

His missteps are untenable. He is a goner.
Lakini mimi nashangaa mtu ambaye ni nobody asiyefaa hata kuwa mlinzi wa nyumbani kwako kakukaa kichwani kwa mwezi sasa, hivi mna ratiba kweli maana the way mnavyokuwa manipulated na matukio inaonesha kabisa hamna ratiba or any plan of the business of life
 
Tujiulize wote:
1. Hayo aliyofanya Magufuli ni kwa faida ya nani? Nauliza hivyo kwasababu najua madhara ya upuuzi aliyofanya yatasambaa kama moto wa nyika na yataenda mbali! Ukichukulia vitu vyote alivyotuhumiwa, bila kutolewa ufafanuzi usio na shaka vitaaminiwa na wengi. Viongozi wengi walio chini ya Magufuli wataona wamesetiwa precedence ya double standard na inakubalika kulegeza kamba pale wakati mwingine hata kama mtu ana makosa dhahiri.
Tatzo mnamwamini sana mange
 
Kwa bashite kutochukuliwa hatua,mimi naona baba bashite anataka kushindana na Mange. Ni Mange pekee mwenye uthubutu wa kumtukana na kuingilia faragha ya baba bashite. Sio haki bashite anaachwa wakati ameumiza watu wengi kwa mambo yake(kughushi cheti cha kliniki ili amuaibishe Gwajima, kuvamia clouds, nk) ili mradi tu amkomoe Mange ambaye yuko kwa Trump. Waumini wa Gwajima watamuelewaje baba bashite? Wafanyakazi wa Clouds na uongozi wao watamuelewaje baba bashite?

Baba bashite ana tone ya kiburi, jeuri na kuvimbiwa madaraka. Natarajia tukifika 2019 ataanza kubadilisha tone ili aombe kura kirahisi. Kujibadilisha ili kuendana na mazingira ndo sababu simpendi kinyonga.
Nitajie mengne tofauti na ayo ambayo makonda kafanya mpk aonekane cyo mtu tena
 
Back
Top Bottom