Tafuta couch surfingWana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.
Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma.
Msaada wenu, marafiki
haujaathiriwa na tabia nchi, sema ushua wako tu mkuu. Hoteli zipo nyingi nzuri.Mimi nadhani nimeathiriwa na tabia nchi, nitakwenda kinondoni lakini siyo Manzese, huu ndio ukweli wangu.
Mimi hata Magomeni nimeanza kwenda juzijuzi tu baada mchizi wangu mmoja kupata mjengo wa bei nafuu pande hizo.
Unaweza usinielewe, hata kariakoo mimi ndio tofauti kabisa siku nikipita kariakoo basi kuna kitu muhimu sana siwezi kukipata sehemu nyingine zaidi ya Kariakoo.
Nenda Kagame hotel iko nyuma ya ubungo stand karibu na ubungo Plaza utapata room ya 30,000 nzur kbsa kitanda kikubwa half ni wasafi sana
Asee itabid nije hapo niulete mchepuko wanguGolden Palm hotel tsh 20,000 tu..ukishuka stendi ya mkoa unavuka barabara unafuata road ya ubungo maziwa mbele kama kilometa 1 tu utaikuta...ni ya gorofa ina rangi nyeupe...ipo njiani kabisa.
Hahhahahaaaa sikutaka kulisema hili halafu ukichelewa breakfast zaidi ya saa tatu unalipia
Nimecheka sanaaaa!!Kwa Dar sehemu jirani na stendi ya ubungo ni Sinza, Sinza kuna hotel kibao good quality ila bajeti weka kuanzia 40,000/=
Sinza kijiweni kuna Golden park na pacha yake iko jirani nimeisahau jina.
Hiyo 20,000/= au 30,000/= waweza ishia nyumba za ngono tu ambazo ni maalum kwa watu kulana mauloda.
Hotel zina raha na status yake, si kila anayelala hotel yupo kwenye malengo ya ngono na ndio maana hazina short time.
Mimi nimekoma kulala kwenye Guest house maana yale mashuka yananukia janaba muda wote tena waweza jitia nuksi tu.
Wana breakfast ambayo ukila kila kitu huhitaji kula lunch, na ni varieties ya vyakula halafu vimeandaliwa vizuri mno pamoja na fresh juiceKumbe kuna breakfast pale, duuuuh mi nililala tena chumba chenye AC halafu asubuhi nikasepa tu.....
Msipigwe roba tu...hahahaHahhahahaaaa ngoja tusibishane bure tafuta siku nikuchukue ziara
Serious speaking mambo yanapinduka siku hizi huku kunakuwa kule na kule kunakuwa huku
Hizi zote nilizotaja ziko pembeni ya morogoro Rd na zinafikika kwa urahisi sana lakini hebu niambie kule Sinza mfano ukitaka kwenda Namnani
Hii kitu inaitwa half lost, haina mchuzi selwa au sotojo.
Mkuu zipo nyingi tu, kuna Kagame hotel, pia Whitemark zote hizo zipo Ubungo karibu tu na ubungo.Wana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.
Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma.
Msaada wenu, marafiki