Safarini Dar: Msaada wa hoteli nzuri bei ya wastani

Safarini Dar: Msaada wa hoteli nzuri bei ya wastani

Nilishalala hapo lunch time baada ya kushawishiwa na ile mitaa taa na majengo huwezi amini nililipia 35000 alafu Maji naletewa na ndoo. Daah pale hapana aise
[emoji1] [emoji1] [emoji23]
 
Wana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.

Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma.

Msaada wenu, marafiki
Golden Palm hotel tsh 20,000 tu..ukishuka stendi ya mkoa unavuka barabara unafuata road ya ubungo maziwa mbele kama kilometa 1 tu utaikuta...ni ya gorofa ina rangi nyeupe...ipo njiani kabisa.
 
Wana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.

Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma.
Karibu na stand ya mabasi ya mkoa tafuta maeneo ya Sinza. Bajeti ongeza kidogo 30000-40000
Msaada wenu, marafiki
 
Wana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.

Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma.

Msaada wenu, marafiki
Usidanganywe, nenda kibadamo hotel ni sh 25000 kwa siku na pembeni yake kuna sehemu ya kula inaitwa pazuri garden ipo mbele ya kibadamo. Ni ghorofa lipo nyuma ya standa ya mkoa barabara ya MIC hotel mbele yake kidogo then kushoto. Achana na sinza sinza ni mbali. Ukienda MIC hotel andaa 35000
 
Usidanganywe, nenda kibadamo hotel ni sh 25000 kwa siku na pembeni yake kuna sehemu ya kula inaitwa pazuri garden ipo mbele ya kibadamo. Ni ghorofa lipo nyuma ya standa ya mkoa barabara ya MIC hotel mbele yake kidogo then kushoto. Achana na sinza sinza ni mbali. Ukienda MIC hotel andaa 35000
Ajiandae pia kuruka madimbwi ya majimachafu
 
Kwa warembo ni chakula tosha kabisa, ila majita tunasogea pale B bar unagonga mdudu kwa ugali dona.
1471060761420.jpg
 
Back
Top Bottom