Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,660
Kwanini hamtaki anyooshe miguu na kuoneshwa viwanja? [emoji3] [emoji23]Ingia Mac hotel iko hapohapo ubungo stand
Kwanini hamtaki anyooshe miguu na kuoneshwa viwanja? [emoji3] [emoji23]Ingia Mac hotel iko hapohapo ubungo stand
Siyo mac ni mic hotel. Ila bei ni 35000Ingia Mac hotel iko hapohapo ubungo stand
Hahhahahaaaa ngoja tusibishane bure tafuta siku nikuchukue ziara
Serious speaking mambo yanapinduka siku hizi huku kunakuwa kule na kule kunakuwa huku
Hizi zote nilizotaja ziko pembeni ya morogoro Rd na zinafikika kwa urahisi sana lakini hebu niambie kule Sinza mfano ukitaka kwenda Namnani
Manzese hipi mkuu nina muda sijapita pande hizo, Manzese kubadilika itachukua muda. Upande wa kuanzia Tiptop kuelekea Mabibo huo kuna kipindi walianza kujenga majengo msazuri lakini huku darajani kuelekea sokoni ni hatari.Hahhahahaaaa ngoja tusibishane bure tafuta siku nikuchukue ziara
Serious speaking mambo yanapinduka siku hizi huku kunakuwa kule na kule kunakuwa huku
Hizi zote nilizotaja ziko pembeni ya morogoro Rd na zinafikika kwa urahisi sana lakini hebu niambie kule Sinza mfano ukitaka kwenda Namnani
Nimemaanisha huko ila Matola akashikilia manzeseManzese hipi mkuu nina muda sijapita pande hizo, Manzese kubadilika itachukua muda. Upande wa kuanzia Tiptop kuelekea Mabibo huo kuna kipindi walianza kujenga majengo msazuri lakini huku darajani kuelekea sokoni ni hatari.
Na wenye vibebi woka pia ni shida kubwaH
Ha ha ha... poa Mkuu, hata huko sinza maeneo mengi kipindi cha mvua siyo rafiki hasa kwa watembea kwa miguu.
Kwahiyo unazungumzia hii barabara ya kwenda Mabibo NIT?Nimemaanisha huko ila Matola akashikilia manzese
Ndio kaka na maeneo ya karibu na hapoKwahiyo unazungumzia hii barabara ya kwenda Mabibo NIT?
Sema za bure. Au hiyo juu ni avatar tu siyo picha yakeKaribu sana ukifika nipm zipo nyingi mpya na nzuri kwa bei hiyo
Karibu na stendi nina maana, mahali ambapo itanichukua si zaidi ya dakika kumi kuweza kufika stendi nikitumia daladala.Karibu na stand ina tafsiri pana kwakuwa hajataja umbali halisi
Golden Palm hotel tsh 20,000 tu..ukishuka stendi ya mkoa unavuka barabara unafuata road ya ubungo maziwa mbele kama kilometa 1 tu utaikuta...ni ya gorofa ina rangi nyeupe...ipo njiani kabisa.
Nenda Kagame hotel iko nyuma ya ubungo stand karibu na ubungo Plaza utapata room ya 30,000 nzur kbsa kitanda kikubwa half ni wasafi sanaWana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.
Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma.
Msaada wenu, marafiki
Bila shaka weewe ni Mzee Wa shato poli. I miss ud biboKwa huduma ya chakula kwa gharama murua utajongea kwa mama kifusi au kwa mama ndumbi wanapatikana karibu na hiyo hotel