DOKEZO Mabasi ya Rombo - Dar yanaanza safari usiku wa manane. Kuna madhara yanaweza kutokea!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Ratiba ya mabasi hayo yanaanza kutoka Rombo saa 9 usiku na basi la mwisho saa 11 alfajiri. Jambo hili licha ya kuleta usumbufu kwa abiria lakini pia linahatarisha usalama wa abiria kutokana na mazingira ya eneo husika.

Maeneo mengi ya Rombo yametawaliwa na uoto uliofungamana (miti, vichaka na migomba) na pia watu hutegemea usafiri wa bodaboda ili kufika kwenye barabara kuu au stendi ili kupanda magari. Kutokana na maeneo mengi kuwepo pembezoni sana watu hulazimika kuanza safari mapema (kuanzia saa nane usiku) jambo ambalo ni hatari na pia ni vigumu kupata msaada wa haraka pindi watakapovamiwa na wahalifu au wanyama wakali.

Hili limepelekea baadhi ya abiria kwenda kuanzia safari zao njia panda ya Himo pindi kunapopambazuka ili kuepuka hayo.

Kutoka Rombo mpaka Dar gari hutumia takribani masaa nane mpaka kumi, jambo ambalo hakuna ulazima wa kuanza safari usiku hivyo. Lakini pia hakuna sababu ya msingi iliyotolewa ya kubadilisha ratiba ya mwanzo ambayo mabasi yalikua yanaanza safari zake saa 11 na nusu alfajiri mpaka saa 1 kasoro asubuhi.
 
Ratiba ya mabasi hayo yanaanza kutoka Rombo saa 9 usiku na basi la mwisho saa 11 alfajiri. Jambo hili licha ya kuleta usumbufu kwa abiria lakini pia linahatarisha usalama wa abiria kutokana na mazingira ya eneo husika.

Maeneo mengi ya Rombo yametawaliwa na uoto uliofungamana (miti, vichaka na migomba) na pia watu hutegemea usafiri wa bodaboda ili kufika kwenye barabara kuu au stendi ili kupanda magari. Kutokana na maeneo mengi kuwepo pembezoni sana watu hulazimika kuanza safari mapema (kuanzia saa nane usiku) jambo ambalo ni hatari na pia ni vigumu kupata msaada wa haraka pindi watakapovamiwa na wahalifu au wanyama wakali.

Hili limepelekea baadhi ya abiria kwenda kuanzia safari zao njia panda ya himo pindi kunapopambazuka ili kuepuka hayo.

Kutoka rombo mpaka dar gari hutumia takribani masaa nane mpaka kumi, jambo ambalo hakuna ulazima wa kuanza safari usiku hivyo. Lakini pia hakuna sababu ya msingi iliyotolewa ya kubadilisha ratiba ya mwanzo ambayo mabasi yalikua yanaanza safari zake saa 11 na nusu alfajiri mpaka saa 1 kasoro asubuhi.
Ikifika Dar mapema inaweza kugeuza.....alfajiri Rombo waruhusiwe kulala kwenye bus toka juzi ya jana yake.
 
Shirima acha uoga 🤣🤣. Kuna sehemu inaitwa Kala huko Sumbawanga kuna basi moja tu kwa siku linaondoka saa 8 usiku. Yaani ukichelewa ndo hadi kesho au upate lift ya gari la padri wa kanisa takatifu katoliki la mitume akiwa anaenda town. Ukikosa gari la padri utabahatisha pickup fulani inaendaga huko kubeba samaki. Ukikosa hilo kuna gari ya Halotel inapelekaga mafundi wa mnara. Sasa nyie Rombo mna options kibao halafu unakuja kutulilia JF.
 
Pana usafiri muda wa asubuhi pia nadhani waweke muda wowote ndio Uchumi unafunguka ukiona huo muda utawasumbua ni swala la kwenda kwenye basi usiku hapo ili usiondoke hiyo saa nane nenda hata saa sita ili ulale hapo hapo ila kwa wasafiri wa mara kwa mara hakuna tatizo hapo ataliwahi basi hata liondoke saa nane usiku..
 
Ratiba ya mabasi hayo yanaanza kutoka Rombo saa 9 usiku na basi la mwisho saa 11 alfajiri. Jambo hili licha ya kuleta usumbufu kwa abiria lakini pia linahatarisha usalama wa abiria kutokana na mazingira ya eneo husika.

Maeneo mengi ya Rombo yametawaliwa na uoto uliofungamana (miti, vichaka na migomba) na pia watu hutegemea usafiri wa bodaboda ili kufika kwenye barabara kuu au stendi ili kupanda magari. Kutokana na maeneo mengi kuwepo pembezoni sana watu hulazimika kuanza safari mapema (kuanzia saa nane usiku) jambo ambalo ni hatari na pia ni vigumu kupata msaada wa haraka pindi watakapovamiwa na wahalifu au wanyama wakali.

Hili limepelekea baadhi ya abiria kwenda kuanzia safari zao njia panda ya himo pindi kunapopambazuka ili kuepuka hayo.

Kutoka rombo mpaka dar gari hutumia takribani masaa nane mpaka kumi, jambo ambalo hakuna ulazima wa kuanza safari usiku hivyo. Lakini pia hakuna sababu ya msingi iliyotolewa ya kubadilisha ratiba ya mwanzo ambayo mabasi yalikua yanaanza safari zake saa 11 na nusu alfajiri mpaka saa 1 kasoro asubuhi.
Tuliza mshono we shog@

Tumekuambia tunapata kadhia sisi abiria au nyeg€ unawashwa washwa tukutie pipe?

Mabasi yote mikoa yote yanaruhusiwa na yanaanza safari muda wowote iwe usiku au mchana,

Beside, we umesikia wapi ajali kwa sababu ya kutoka saa9 usiku? Utaolewa mvulana ww
 
Mleta mada ondoka mchana kweupe nenda stendi ya basi husika kakeshe huko Hadi hiyo saa tisa uondoke.Basi la safari ndefu sio bodaboda kuwa kituo kitakuwa karibu na wewe.Ukienda jioni mfano ukakaa hapo stendi Hadi muda ifike saa tisa uondoke na basi utaumwa malaria?
 
Ratiba ya mabasi hayo yanaanza kutoka Rombo saa 9 usiku na basi la mwisho saa 11 alfajiri. Jambo hili licha ya kuleta usumbufu kwa abiria lakini pia linahatarisha usalama wa abiria kutokana na mazingira ya eneo husika.

Maeneo mengi ya Rombo yametawaliwa na uoto uliofungamana (miti, vichaka na migomba) na pia watu hutegemea usafiri wa bodaboda ili kufika kwenye barabara kuu au stendi ili kupanda magari. Kutokana na maeneo mengi kuwepo pembezoni sana watu hulazimika kuanza safari mapema (kuanzia saa nane usiku) jambo ambalo ni hatari na pia ni vigumu kupata msaada wa haraka pindi watakapovamiwa na wahalifu au wanyama wakali.

Hili limepelekea baadhi ya abiria kwenda kuanzia safari zao njia panda ya himo pindi kunapopambazuka ili kuepuka hayo.

Kutoka rombo mpaka dar gari hutumia takribani masaa nane mpaka kumi, jambo ambalo hakuna ulazima wa kuanza safari usiku hivyo. Lakini pia hakuna sababu ya msingi iliyotolewa ya kubadilisha ratiba ya mwanzo ambayo mabasi yalikua yanaanza safari zake saa 11 na nusu alfajiri mpaka saa 1 kasoro asubuhi.

Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom