majeshi 1981
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 2,090
- 813
karibu kabisa na stendi ya ubungo kuna hoteli ya 30,000/= na ni ya kiwango kizuri. nafikiri inaitwa kidamo hotel. ukiwa ubungo bus stand unaiona.Wana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.
Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma.
Msaada wenu, marafiki