JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,462
Taarifa ni kwamba watu wengi wanaotoka mikoani kuja Dar es Salaam wamekuwa wakitelekezwa na ndugu zao stendi ya mabasi ya Magufuli, mamlaka za kituo hicho zimeamua kutangaza kwa kutumia Spika kuhusu ndugu ambao wanatelekezwa au wamekosa mwenyeji.
MIKOA INAYOONGOZA KUTELEKEZA NDUGU ZAO STENDI YA BASI
"Mikoa ya Kanda ya Ziwa yote tukianzia na Mara, Mwanza, Kagera (Bukoba), Geita (inaongoza (ndugu zao kuwatelekeza kituo cha Mabasi Magufuli wanapofika Jijini Dar es Salaam).
Pia kuna Mikoa ya Kigoma, Mbeya, Iringa, Morogoro na Dodoma na hatuna kitu cha kufanya zaidi ya kuelimisha jamii lakini pia tutaomba jamii iweze kuelewa kile ambacho tutakachokifundisha, elimu zinatolewa na tatizo lipo palepale" Naamini Nguve, Afisa ustawi wa Jamii Manispaa ya Ubungo.
Chanzo: Clouds TV
Pia soma - Watu wa Dar acheni kuwatelekeza ndugu zenu stendi
MIKOA INAYOONGOZA KUTELEKEZA NDUGU ZAO STENDI YA BASI
"Mikoa ya Kanda ya Ziwa yote tukianzia na Mara, Mwanza, Kagera (Bukoba), Geita (inaongoza (ndugu zao kuwatelekeza kituo cha Mabasi Magufuli wanapofika Jijini Dar es Salaam).
Pia kuna Mikoa ya Kigoma, Mbeya, Iringa, Morogoro na Dodoma na hatuna kitu cha kufanya zaidi ya kuelimisha jamii lakini pia tutaomba jamii iweze kuelewa kile ambacho tutakachokifundisha, elimu zinatolewa na tatizo lipo palepale" Naamini Nguve, Afisa ustawi wa Jamii Manispaa ya Ubungo.
Chanzo: Clouds TV
Pia soma - Watu wa Dar acheni kuwatelekeza ndugu zenu stendi