Safarini Dar: Msaada wa hoteli nzuri bei ya wastani

Safarini Dar: Msaada wa hoteli nzuri bei ya wastani

Mbagala utalii wa hewa safi?! Hewa safi ina muonekano gani, ielezee vizuri inaweza kuingia kwenye list ya maajabu ya dunia watalii wakamiminika.


Hahahaa aidha IQ yako ni mgando ama tafsiri yako ya mwendo kasi.

Kama ningeandika hivi: "Njoo utalii huku kwetu Iringa kwenye baridi kali" ... na hapa ungeelewaje na kutafsiri vipi?

Alafu eti Rais anategemea akili za vijana kama wewe kuifikia Tanzania ya viwanda. Giza totoro!

-Kaveli-
 
Wana MMU, hasa wa Dar na Dom. Ninasafari ya Dar, Naombeni kujua hotel/lodge nzuri jirani na Stendi ya mabasi ya mikoani. Iwe ya bei ya wastani kama shilingi 20,000 hadi 30,000 kwa siku. Iwe jirani na chakula kinapopatikana na pia isiwe vichochoroni.

Pia Lodge yenye sifa hizo hizo kwa Dodoma.

Msaada wenu, marafiki
kuna sehemu inaitwa half london pale ubungo maziwa karibu na ubungo terminal kwa mguu ni dakika 10 tu.
 
Hapa ndio umuhimu wa wanaume wa dar unapoonekana. Karibu mjini na safari njema
 
Mkuu mimi ni mzawa wa Dar, nimeshindwa kumuelewa Mshana Jr ni Manzese ipi hiyo nisiyoijuwa mimi mpaka uniconvice kwenda?

Manzese siku zote ni low class....Hiyo Lunch time ni kelele za nje tele na vyumba vidoogo hata kusimama tu shida
achilia mbali maji

Kuna hoteli Manzese iko barabarani yu inaitwa Moshi Hotel
usijaribu...hoteli ya ghorofa lakini maji tu hakuna
nna ndugu yangu tulikuwa tunamtafutia hotel ya kukaa karibu na stendi
mwisho tulienda MIC .....hapo Moshi hotel aliacha na hela hapo hapo
hakuwa na jinsi...alilipa kabla hajapanda juu kutazama vyumba
lunch time kelele mtindo mmoja no space...

MIC hotel for now naona ndo best hotel kwa wanaootaka kusafiri hapo Ubungo
Sinza Dar nzima inakupa options za hotel kuliko sehemu nyingi..
 
Manzese siku zote ni low class....Hiyo Lunch time ni kelele za nje tele na vyumba vidoogo hata kusimama tu shida
achilia mbali maji

Kuna hoteli Manzese iko barabarani yu inaitwa Moshi Hotel
usijaribu...hoteli ya ghorofa lakini maji tu hakuna
nna ndugu yangu tulikuwa tunamtafutia hotel ya kukaa karibu na stendi
mwisho tulienda MIC .....hapo Moshi hotel aliacha na hela hapo hapo
hakuwa na jinsi...alilipa kabla hajapanda juu kutazama vyumba
lunch time kelele mtindo mmoja no space...

MIC hotel for now naona ndo best hotel kwa wanaootaka kusafiri hapo Ubungo
Sinza Dar nzima inakupa options za hotel kuliko sehemu nyingi..
The Boss Unazungumzia moshi hotel na kutoa hukumu ya jumla? Kweli kabisa? Napingana nawe pls fanya ziara ya chache nilizotaja uone....actions speak louder than words
 
Manzese siku zote ni low class....Hiyo Lunch time ni kelele za nje tele na vyumba vidoogo hata kusimama tu shida
achilia mbali maji

Kuna hoteli Manzese iko barabarani yu inaitwa Moshi Hotel
usijaribu...hoteli ya ghorofa lakini maji tu hakuna
nna ndugu yangu tulikuwa tunamtafutia hotel ya kukaa karibu na stendi
mwisho tulienda MIC .....hapo Moshi hotel aliacha na hela hapo hapo
hakuwa na jinsi...alilipa kabla hajapanda juu kutazama vyumba
lunch time kelele mtindo mmoja no space...

MIC hotel for now naona ndo best hotel kwa wanaootaka kusafiri hapo Ubungo
Sinza Dar nzima inakupa options za hotel kuliko sehemu nyingi..


Mkuu umenena vyema. Kwa msafiri anayehitaji hotel nzuri iliyo karibu zaidi na Ubungo Bus Terminal, MIC hotel is the foremost option to go for.

-Kaveli-
 
The Boss Unazungumzia moshi hotel na kutoa hukumu ya jumla? Kweli kabisa? Napingana nawe pls fanya ziara ya chache nilizotaja uone....actions speak louder than words


mie naomba unitajie majina ya hizo hotel nitaenda...
lakini kwa Lunch time na Moshi hotel ni zero kabisa....

Niliwahi kufikiria kuanzisha thread ya mahotel na guest na restaurants na bar
watu wazi rate huduma zao....unaweza saidia pia....tukiwa na thread yenye mrejesho
labda owners watabadilika na huduma zitakuwa bora baadae...

hotel na guest houses nyingi Dar hazina viwango
na uongo ni mwingi ...wanatangaza full DSTV ndani unakuta channel mbili 2...

Vyakula ovyo kwenye restaurants zao.....
wahudumu jeuri....na mengi tu
 
mie naomba unitajie majina ya hizo hotel nitaenda...
lakini kwa Lunch time na Moshi hotel ni zero kabisa....

Niliwahi kufikiria kuanzisha thread ya mahotel na guest na restaurants na bar
watu wazi rate huduma zao....unaweza saidia pia....tukiwa na thread yenye mrejesho
labda owners watabadilika na huduma zitakuwa bora baadae...

hotel na guest houses nyingi Dar hazina viwango
na uongo ni mwingi ...wanatangaza full DSTV ndani unakuta channel mbili 2...

Vyakula ovyo kwenye restaurants zao.....
wahudumu jeuri....na mengi tu
Eraldo Natron, JM ,Silver Sawe mahanju, list ni ndefu ila hizo ulizotaja mimi hata bure silali
 
Eraldo Natron, JM ,Silver Sawe mahanju, list ni ndefu ila hizo ulizotaja mimi hata bure silali

Zitaje zote tu ili wanaozijua waseme
nakuuliza maswali ya hizo ulizotaja uniasaidie...

Ipi yenye Dstv?
vyumba rates zao ikoje?
vyakula menu yao rates ikoje?
security ikoje?
 
Zitaje zote tu ili wanaozijua waseme
nakuuliza maswali ya hizo ulizotaja uniasaidie...

Ipi yenye Dstv?
vyumba rates zao ikoje?
vyakula menu yao rates ikoje?
security ikoje?
Mimi sio mpenzi wa dstv kwahiyo hili siwezi kujibu
Rate ni 20-60
Vyakula ni 5000-7000
Security ni ya uhakika
 
NENDA MANZESE NDO KILA KITU KWASASA HAPA DAR ES SALAAM WAKINGA WAMEJENGA MAHOTELI YA KUFA MTU TENA JIRANI ROADS KWA BEI HIYO TAJWA
Wakinga wana hotel ngapi hapa Dar niwapongeze hawa watani zangu.
 
Haina haja ya kwenda mbaaaali......hapo Ubungo kuna kibadamo hotel, au Ubungo maziwa kuna Oppa hotel, au MIC hotel au Golden Palm Uchukui hata Tax....kwa Dodoma Cairo Lodge n.k
 
Back
Top Bottom