madmankache
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 836
- 593
kwa dodoma lodge zipo nyingi sana,nashauri nenda mtaa unaitwa mji mpya,huo mtaa umechangamka chakula unapata na kwa lodge tuu zimejaa.
Hii Namnani ingali ipo kitambo sana, ni kama miaka 26 iliopita kama sikosei ilikua bar, na guest house. Mshana Jr?Hahhahahaaaa ngoja tusibishane bure tafuta siku nikuchukue ziara
Serious speaking mambo yanapinduka siku hizi huku kunakuwa kule na kule kunakuwa huku
Hizi zote nilizotaja ziko pembeni ya morogoro Rd na zinafikika kwa urahisi sana lakini hebu niambie kule Sinza mfano ukitaka kwenda Namnani
30,000/ 1st and 2nd flooref30 gorofani au first floor???
tusijeingia mkenge...
Ni kweli, mwaka huu nilifika manzese mitaa ya tip top ndani kidogo sikuamini km niko manzese, hotel nzuri na tulivu zimesheni na kwa bei poa kabisa na mitaa ina utulivu tofauti na hisia nilizokuwa nazo kuhusu manzeseKumbe ndio maana...Manzese ya 2006 ndio sinza ya leo [emoji23] [emoji23] [emoji23] trust me fanya ziara ya kushtukiza siku moja hutajuta
Aise mitaa ya tiptopkuna hotel nzuri afu cheap. Kuna sawe lodge (njia ya mabibo) na kuna erado natron. Ukiwa na 35 unaangusha fresh. Afu sehemj za kupata menyu zipo za kutosha.Nimemaanisha huko ila Matola akashikilia manzese
Ni kweli, mwaka huu nilifika manzese mitaa ya tip top ndani kidogo sikuamini km niko manzese, hotel nzuri na tulivu zimesheni na kwa bei poa kabisa na mitaa ina utulivu tofauti na hisia nilizokuwa nazo kuhusu manzese
juu zaidi?30,000/ 1st and 2nd floor
Namnani inazidi kuimarika.Hii Namnani ingali ipo kitambo sana, ni kama miaka 26 iliopita kama sikosei ilikua bar, na guest house. Mshana Jr?
nmewapigia wanasema 50000 mbona hatuwaelewi?Nenda Kagame hotel iko nyuma ya ubungo stand karibu na ubungo Plaza utapata room ya 30,000 nzur kbsa kitanda kikubwa half ni wasafi sana
Namnani inazidi kuimarika.
Karibu sana ukifika nipm zipo nyingi mpya na nzuri kwa bei hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbagala utalii wa hewa safi?! Hewa safi ina muonekano gani, ielezee vizuri inaweza kuingia kwenye list ya maajabu ya dunia watalii wakamiminika.
Mkuu yaonekana Manzese anayoisema mshana jr na siye, ni tofauti sana na ya ziku zile, anyway wewe tembelea tu, nenda kanywe hata bia na nyama choma hizo sehemu za TipTop, kwanza ni tulivu kuliko hata sinza, wale Wachaga wameleta ustaarabu wa ajabu kule..Mimi shahidi..Mimi nadhani nimeathiriwa na tabia nchi, nitakwenda kinondoni lakini siyo Manzese, huu ndio ukweli wangu.
Mimi hata Magomeni nimeanza kwenda juzijuzi tu baada mchizi wangu mmoja kupata mjengo wa bei nafuu pande hizo.
Unaweza usinielewe, hata kariakoo mimi ndio tofauti kabisa siku nikipita kariakoo basi kuna kitu muhimu sana siwezi kukipata sehemu nyingine zaidi ya Kariakoo.