Safarini Dar: Msaada wa hoteli nzuri bei ya wastani

Safarini Dar: Msaada wa hoteli nzuri bei ya wastani

Kuna hii nayo inaitwa Appasia Lodge nasikia ni nzuri sana kuna mdau alikuwa anaisifu ila nimesahau location aliyosema manguli wa viwanja saidieni
 
Kwa Dar sehemu jirani na stendi ya ubungo ni Sinza, Sinza kuna hotel kibao good quality ila bajeti weka kuanzia 40,000/=
Sinza kijiweni kuna Golden park na pacha yake iko jirani nimeisahau jina.

Hiyo 20,000/= au 30,000/= waweza ishia nyumba za ngono tu ambazo ni maalum kwa watu kulana mauloda.

Hotel zina raha na status yake, si kila anayelala hotel yupo kwenye malengo ya ngono na ndio maana hazina short time.

Mimi nimekoma kulala kwenye Guest house maana yale mashuka yananukia janaba muda wote tena waweza jitia nuksi tu.
Kwa Dar sehemu jirani na stendi ya ubungo ni Sinza, Sinza kuna hotel kibao good quality ila bajeti weka kuanzia 40,000/=
Sinza kijiweni kuna Golden park na pacha yake iko jirani nimeisahau jina.

Hiyo 20,000/= au 30,000/= waweza ishia nyumba za ngono tu ambazo ni maalum kwa watu kulana mauloda.

Hotel zina raha na status yake, si kila anayelala hotel yupo kwenye malengo ya ngono na ndio maana hazina short time.

Mimi nimekoma kulala kwenye Guest house maana yale mashuka yananukia janaba muda wote tena waweza jitia nuksi tu.


ha ha ha....well said though
 
Njoo namnani, ukifika ulizia mangi flani hivi. Na mm ndo nimefika, pametuliaaaa afu channel za tv ni balaa tupu.
 
Hapo hapo Ubungo kuna hotel nyingi Kibadamo, Mic na Kagame!!

Zote nishalala, Kibadamo imechakaa kwa sasa na hawafanyii ukarabati miundo mbinu yao!! Mfano kukuta mabomba yanavuja bafuni, ac na feni hazifanyi kazi.

Mic ni pazuri saana mie nililala floor ya sita nikawa peke yangu floor nzimaa!! Nikapunguza bei ili nilale floor za chini zikawa hazina utulivu sana!! Japo kuna kadada kamoja reception kana nyodo sana

Kagame nilipapenda saaana!! Ni kama mpya hii hotel. Vyumba kuanzia 25,000/ ila cha 30,000 hutakijutia mtu wangu. Wakarimu na waelewa sana hata kama unashida unaongea nao fresh tu.
ef30 gorofani au first floor???
tusijeingia mkenge...
 
Nitajie basi majina nikaombe ajira huko naisoma number mjini hapa.
HA HA POLE MKUU WW KAMA UNATAKA KAZI NITAKUELEKEZA SEHEMU HIZO NA HAPA NINAPOKAA MAGOMENI KUNA HOTELI MPYA ITAFUNGULIWA KWENYE WA MWEZI WA 10 NI NZURI HATARI INA LIFT NJE NA NDANI,KUMBI 3 ZA MIKUTANO,GYM,PARKING YA CHINI KWA CHINI,MAJI BARIDI YAKUOGA NK NJOO UTEST BAHATI YAKO MKUU
 
Back
Top Bottom