twafa-kali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 251
- 211
KAGAME HOTEL Nyuma ya UBungo mkoa
wako vizuri kwa kweli as far as their price rates are concerned.
By then nimelala hapo ilikuwa kuanzia elfu 25, elfu 30 nafikiri na 35.
Hicho cha 25 ukilala hauta REgret at all kuwapo hapo. Chumba kizuri, AC,choo na bafu safi. Wafanyakazi wakarimu pia
KIBADAMO ..(IF I have spelled right)
Nayo iko nyuma ya ubungo Mkoa. Unaipita kwanza hii ndo unaelekea Kagame.
Hii ilianza vizuri sana hapo mwanzo. Kipindi hicho walikuwa wanaanzia 25 elfu... lakini kilikuwa very classic. AC, Tv with DSTV, choo na bafu smart.
Si nikapotea njia juzi nikarudi tena with expectations mambo ni murua vilevile. Kwanza wakaniambia chumba vinaanzia 35elfu mpaka elfu 45. Nikahisi kutakuwa na mambo mazuri zaidi. Si nikalipia.....OMG!! I was much dis appointed. Hawa jamaa ni wahuni. Wenzao wanaongeza bei ya huduma coz kuna positive improvements...Bafuni hovyo, TV channel mbili tu ndo zinashika, hakuna AC. For really ...I was much dis appointed.
SI mshauri mtu aende pale..labda kama kwengine kote with that line kutakuwa kumejaaa.
LUNCH TIME HOTEL. opposite na njia ya kuingilia Mabibo Hostel.
UKIIangalia kwa nje unaweza ukasema hapa ndo penyewe. I can darely speak kuwa hapo ndo the worst than all above.
Na kero inayoudhi kubwa zaidi ni ya maji. Either utakuta mabomba ya chooni yanavuja uncontrollablY...au Ukiwa lucky basi utapewa maji kwenye ndoo ndio uoge. TV channel moja etc.
BEI NI SH 25 elfu mpaka elfu 40. Lakini hicho cha elfu 25 you better go huko Uswahilini ulale vya elfu 7 labda utakuwa much comfortable
Kwa upande wa KSf'S (KEY SUCCESS FACTORS) au strengths.. HUYU hotel owner anayoendelea kuitegemea imletee wateja
MOJA iko barabarani
MBILI ni ya Ghorofa
ukibahatika kupata floor kuanzia ya nne kuendelea unapata view ya maeneo mengi ya jirani vizuri.
HAYA MTOA MADA NA WENGINEO WANAOKUJA DAR HUSUSANI MAENEO HAYA TAJWA KAZI KWENU.
wako vizuri kwa kweli as far as their price rates are concerned.
By then nimelala hapo ilikuwa kuanzia elfu 25, elfu 30 nafikiri na 35.
Hicho cha 25 ukilala hauta REgret at all kuwapo hapo. Chumba kizuri, AC,choo na bafu safi. Wafanyakazi wakarimu pia
KIBADAMO ..(IF I have spelled right)
Nayo iko nyuma ya ubungo Mkoa. Unaipita kwanza hii ndo unaelekea Kagame.
Hii ilianza vizuri sana hapo mwanzo. Kipindi hicho walikuwa wanaanzia 25 elfu... lakini kilikuwa very classic. AC, Tv with DSTV, choo na bafu smart.
Si nikapotea njia juzi nikarudi tena with expectations mambo ni murua vilevile. Kwanza wakaniambia chumba vinaanzia 35elfu mpaka elfu 45. Nikahisi kutakuwa na mambo mazuri zaidi. Si nikalipia.....OMG!! I was much dis appointed. Hawa jamaa ni wahuni. Wenzao wanaongeza bei ya huduma coz kuna positive improvements...Bafuni hovyo, TV channel mbili tu ndo zinashika, hakuna AC. For really ...I was much dis appointed.
SI mshauri mtu aende pale..labda kama kwengine kote with that line kutakuwa kumejaaa.
LUNCH TIME HOTEL. opposite na njia ya kuingilia Mabibo Hostel.
UKIIangalia kwa nje unaweza ukasema hapa ndo penyewe. I can darely speak kuwa hapo ndo the worst than all above.
Na kero inayoudhi kubwa zaidi ni ya maji. Either utakuta mabomba ya chooni yanavuja uncontrollablY...au Ukiwa lucky basi utapewa maji kwenye ndoo ndio uoge. TV channel moja etc.
BEI NI SH 25 elfu mpaka elfu 40. Lakini hicho cha elfu 25 you better go huko Uswahilini ulale vya elfu 7 labda utakuwa much comfortable
Kwa upande wa KSf'S (KEY SUCCESS FACTORS) au strengths.. HUYU hotel owner anayoendelea kuitegemea imletee wateja
MOJA iko barabarani
MBILI ni ya Ghorofa
ukibahatika kupata floor kuanzia ya nne kuendelea unapata view ya maeneo mengi ya jirani vizuri.
HAYA MTOA MADA NA WENGINEO WANAOKUJA DAR HUSUSANI MAENEO HAYA TAJWA KAZI KWENU.