Upuuzi wa Masoud kipanya, angalia hiyo documentary ndo utamjua jamaa ni kichwa.
hivi akiwa Davos akiulizwa effects of poor human development kwenye uchumi in relation to the current situation hapa home anaweza kujibu nini?
Atasema yeye sio daktari wa wagonjwa. Kamuulizeni Blandina Nyoni maana anajua hilo.
Atawauliza; Mgomo wa Madaktari unanihusu nini? Kwani mimi Mgonjwa!