MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
kama Jk hana akili basi na madaktari hawana akili timamu. wewe daktari huyo mgonjwa aliyeko mbele yako amekulipia school fees kwa kodi yake huna haja ya kumwacha afe kwa kisingizio cha kudai maslahi wakati na yeye alipokuwa anakusomesha maslahi yake yalipunguzwa kwa njia ya kodi ili wewe daktari uende shule. tafuteni adhabu nyingine dhidi ya serikali sio roho za waliowasomesha.