Safari njema kiwatengu

Safari njema kiwatengu

umesahau matala, kileseu..oh sorry huku sio mamba..hata riata sio mamba! afu masia ziko mbili!!

Masia ya Mamba na Masia marangu na huko kileseu na matala sio mamba bana hapo labda ungesema mkolowonyi na mshiri na toora mkuu kiwatengu
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha..uko deep kweli kweli..sasa kwanini ukatengwa?


Nimehama huko muda sana aise kiwatengu naenda kwa kubeep kabisa huko kusalimia tuu na kurudi mjini mpaka lugha nimepotea hata kuongea kwa kufululiza ni issue aise
 
Last edited by a moderator:
najua nyie wachaga hamwachi asili...
yeah ila sio katika maisha tunayoishi kwa sasa aise
masuala ya technolojia yanatuacha solemba na masuala ya mila na desturi za nyumbani unajikuta huna njia ila kuishi namna dunia inavyoenda
Huwezi ukasema mwanangu leo atakijua kichagaa maana unaweza jikuta mimi wa marangu may be mke mmachame au mrombo mle ndani ya nyumba hatuwezi kuongea kilugha maana hatutaelewana so watoto wanabakia ni kiswahili na hizi english medium na kiingereza na kifaransa
Sasa hapo tutaacha vipi kutengwa mkuu kiwatengu
 
Last edited by a moderator:
yeah ila sio katika maisha tunayoishi kwa sasa aise
masuala ya technolojia yanatuacha solemba na masuala ya mila na desturi za nyumbani unajikuta huna njia ila kuishi namna dunia inavyoenda
Huwezi ukasema mwanangu leo atakijua kichagaa maana unaweza jikuta mimi wa marangu may be mke mmachame au mrombo mle ndani ya nyumba hatuwezi kuongea kilugha maana hatutaelewana so watoto wanabakia ni kiswahili na hizi english medium na kiingereza na kifaransa
Sasa hapo tutaacha vipi kutengwa mkuu kiwatengu

ha ha ha fundisha watoto lugha ya kwenu..wakue na maarifa hayo
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha fundisha watoto lugha ya kwenu..wakue na maarifa hayo

Utawachanganya tuu
mara shuleni ni kiingereza na kifaransa mara kiswahili na then uwaambie kuna kichagga watachanganyikiwa kiwatengu
 
Last edited by a moderator:
Kwani wewe ni type ya Madame B!!?



Ukifika unishtue

hahaha yaani huyo Madame B hanifikii hata tone, hii ni chata ingine.....
Halafu msizoee kula maharage kila siku wakati nyama ipo! Hamuogopi kutoa honi za tumbo? Shauli zenu nyie kataeni tu mapinduzi mapya, si bure we utakuwa gamba
 
Last edited by a moderator:
Utawachanganya tuu
mara shuleni ni kiingereza na kifaransa mara kiswahili na then uwaambie kuna kichagga watachanganyikiwa kiwatengu

wakati wa likizo wapeleke! they will learn it automaticaly!!
 
Last edited by a moderator:
We Lady doctor mbona unadandia treni kwa mbele
Halafu swali la nyongeza umeenda na nani huko uliko aise
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa wana chitchat naomba mshirikiane nami kumtakia safari njema na
kuiombea familia ya kipenzi changu Mr kiwatengu kwa matatizo waliyoyapata.

Mungu awasafirishe salama na kuwapa nguvu na kuwaondolea hofu.
yote ni mapenzi ya mungu.

Habari zimfikie;
Ahsante kwa taarifa na pole kwa waliopatwa na maswahibu.

BTW katika kumbukumbu zangu sikumbuki kama nlishawahi kukukagua. Hebu kam zis wei kwanza nijue mbivu na mbichi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom