kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,489
- 18,370
karibu sana nyumbani, pia poleni kwa matatizo.
Nashukuru sana ndugu yangu..
karibu sana nyumbani, pia poleni kwa matatizo.
Nadhani unasumbuliwa na uchovu wa safari! Ushafika Dosi dosi!?
hivi una habari kuwa Asprin ninamkagua? Nakushangaa wewe unaniringia tu hapa
ha ha ha ha lady umetisha hapo!...nimefika Same hapa kwa kina Mrembo by Nature!!
pamoja mkuuNashukuru sana ndugu yangu..
Pitia hapa unywe maji kwanza ndio uendelee
pamoja mkuu
maeneo gani ya Marangu?Mazishi ni kesho mkuu!
maeneo gani ya Marangu?
kwenu ni huu upande wa kavambugu? au kule gonja mahore? Asante sana!
sawa mkuuNi pale mkuuni..karibia na kanisa la mkolowonyi! rauya.
Mkuu mbona sasa huko ni home kabisa kiwatengu maana my mother anatokea huko aise usije kuta ni ndugu yangu banaNi pale mkuuni..karibia na kanisa la mkolowonyi! rauya.
Mkuu mbona sasa huko ni home kabisa kiwatengu maana my mother anatokea huko aise usije kuta ni ndugu yangu bana
Hahaha wewe sema uko upande gani mie nakuelekeza uje uwahi kande ndio kwanza za moto
Aisee! huwezi jua..ila huko kwenye msiba ni sehemu alikoolewa mama yangu mkubwa..na aliyekufa ni baba mkwe wake!
Wamekataa kuniambia mkuu 'kiwatengu sijui wananiona mchagga pori aise Arushaone, Bujibuji, Mentor na Mamndenyi pulizi kamu zis wei mniambie kilochindi ni nini