kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,309
- 17,844
Meku vipi mambo yanaendane uko.amkia mbege mahali kama vipi
nimekutana na wadau hapa..mbege na baridi kaka!
napamis mtwara kwetu..
Meku vipi mambo yanaendane uko.amkia mbege mahali kama vipi
nimekutana na wadau hapa..mbege na baridi kaka!
napamis mtwara kwetu..
Hahahaha mtwara sidhani kama utarudi tena....
nitarudi mkuu, ila wachaga wameendelea sana kimwili na kiroho! duh Kilimanjaro nchi nyingine aisee.. ngoja mtwara na sisi tunaanza kwa nguvu zote..
Hapo hawana gesi. Umeshangaa lami hadi migombani eeh? Shule.umeziona? Maji? Majumba?
sio mbege ni kitochi au kilauri bana
Nimeziona kilichonifurahisha ni haya majumba makubwa makubwa huku migombani!!
Hapana fanya mchezo...unayalinganisha vipi na kijijini nachingwea
Hapana fanya mchezo...unayalinganisha vipi na kijijini nachingwea
Asante sana mamito.
Wewe wakague upya then Mimi nitakuwa an hitimisho..
kidogo sio vibaya,mababu wanafurahi