Saed Kubenea amburuza Paul Makonda Mahakamani, kupanda kizimbani Desemba 3, 2021 kwa makosa ya jinai

Jinai ikishafunguliwa hata kama ni mtu kaifungua hiyo ni kesi ya Jamhuri dhidi ya mshtakiwa.
kwahiyo kwenye private prosecution DPP atavamia hiyo kesi akutafutie ushahidi? unajua maana ya private prosecution?
 
Hizo za Kubenea ni Kiki tu na kutafuta Fursa.

Anachokifanya sasa hivi hakina hata harufu ya kufanikiwa.

Ni utoto utoto tu na kupotezeana muda kujadili upumbavu.

===≠=======

Halafu ikumbukwe hata kama Kubenea ataruhusiwa kushtaki, DPP anakuwa bado ana mamlaka ya kuingilia shauri hilo muda wowote anaotaka na kutumia kifungu pendwa cha 98 (a) au (b) cha Sura ya 20 ya Sheria zetu kuondoa shauri kwa NOLE.

Sio kazi rahisi kama inavyotamkwa magazetini
Usikate tamaa
 
Kesi nyingi za jinai tumezoa Jamhuri akichukua uongoz na siyo mtu binafsi. Katika kesi ya jinai iliyofunguliwa dhidi Makonda, Kubenea ndiyo mlalamikaji. Hoja anazolalamikia zinahusu uvamizi wa Clouds ambapo waiovamiwa walishasema awahusiki, silaha zilizotumika ni za serikali na serikali haijawahi kusema zilitumika kinyume cha sheria. Waliotumika ni Watumishi wa umma na walipongezwa kwa kazi nzuri iliyopelekea Waziri kufutwa kazi.

Leo tunaona magazeti yanaweka hii case Frontline, social media zinajadili, wapinzani nao wanaunga mkono; je kama Jamhuri haijaona kona Kubenea atathibitishaje ? Kama waliovamiwa wamejiweka pembeni kubenea Ali uchunguzi Mwenyewe? Kumbukeni tumeambiwa loudly kwamba Mahakamani siyo kwa Mama zenu, tunajichosha nn na agenda mfu za Kubenea?

Enzi za jiwe asingeweza kushtakiwa ,nape alijaribu kuingilia kati akataka apigwe BOMBA shahidi Kitenge na Harmorapa.
 
Wahusika hawatambui mashtaka, ila anaibuka kubenea.

Hii inaonesha wazi wahusika wako pamoja na kubenea nyuma ya pazia, lakini pia kuna uwezekano kubenea anao watu nyuma yake na wanao ushahidi wa kutosha na hii kesi imeletwa ili kukamilisha mpango fulani.
 
, silaha zilizotumika ni za serikali na serikali haijawahi kusema zilitumika kinyume cha sheria. Waliotumika ni Watumishi wa umma na walipongezwa kwa kazi nzuri iliyopelekea Waziri kufutwa kazi.
ulitegemea kitu gani kingetokea tofauti na hiki kilichotokea wakati mwajiri wa mtuhumiwa ndiye aliyekuwa gaidi mkuu tofauti na akinamakonda na akinasabaya alikuwa hawezi kwenda msitari wa mbele kutokana na wadhifa wake zaidi ya kuwatuma akinamakonda na akinasabaya.
 
Mlisema haitatokea Makonda akafunguliwa mashtaka. Yametimia mkuu. Kila mtu atawajibika kwa wakati na makosa yake. Kama unajiona kipofu kwamba alivyoenda na majambazi wenzake pale clouds kuvamia na silaha nzito basi ni upofu uliopindukia.

Ukiachana na hilo ana tuhuma nyingi za wazi tena mwenyewe akiwa anajigamba hadharani.Mkuu madaraka sijui kwanini yanawalevya vijana wengj pasipo kujua athari zake.
Makonda ni Criminal sijakataa 😅
 
Criminal case inafunguliwa na kubenea?

1. Dpp ana uwezo wa kuingilia kati na kuifyekelea mbali

2. Kama ni civil inapigwa P.O mapema kabisa

3. Kubenea katika hiyo case na facts anazozitumia Hana LOCUS STANDI . The court will not see him
 
HABARI Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi ya jinai Mahakamani akituhumiwa kwa mambo mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo suala la kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds Media, Machi 17 mwaka 2017

Kesi dhidi ya Makonda imewasilishwa Mahakamani na Mawakili wa Kujitegemea na inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3 mwaka huu.

View attachment 2024674
Mtoto wa mwanajeshi mstaafu aliyepigana vita ya Kagera aitwaye Paul Makonda kupandishwa kizimbani tarehe 3 December

Baba Keegan huu ni wakati wake sahihi wa kujionea marafiki zake wa ukweli. Je, wasanii watakuwepo? Wasafi je? Babu Tale? Mkubwa Fella?

Le Mutuz Mobimba nyenyenyeeeeeee atakuwepo jamani? dah aiseeee
Sina imani na Kubenea. Nadhani, baada ya kufulia, anatafuta kiki. Kubenea ni kigeugeu na mchumia tumbo sawa na akina Kafulia, Katambi, Kitila Mkumbo na wengine wanaoendeshwa na matumbo na makalio yao. Hivyo, tusitegemee chochote zaidi kutafuta kiki. Mtu aliyewahi kuwapo aliyemaanisha alichokuwa anafanya ni Christopher Mtikila kiboko ya magabacholi.
 
Kesi nyingi za jinai tumezoa Jamhuri akichukua uongoz na siyo mtu binafsi. Katika kesi ya jinai iliyofunguliwa dhidi Makonda, Kubenea ndiyo mlalamikaji. Hoja anazolalamikia zinahusu uvamizi wa Clouds ambapo waiovamiwa walishasema awahusiki, silaha zilizotumika ni za serikali na serikali haijawahi kusema zilitumika kinyume cha sheria. Waliotumika ni Watumishi wa umma na walipongezwa kwa kazi nzuri iliyopelekea Waziri kufutwa kazi.

Leo tunaona magazeti yanaweka hii case Frontline, social media zinajadili, wapinzani nao wanaunga mkono; je kama Jamhuri haijaona kona Kubenea atathibitishaje ? Kama waliovamiwa wamejiweka pembeni kubenea Ali uchunguzi Mwenyewe? Kumbukeni tumeambiwa loudly kwamba Mahakamani siyo kwa Mama zenu, tunajichosha nn na agenda mfu za Kubenea?
Kubenea ana watu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
What is happening now !
Furaha ya muda mchache sana kama corona vaccine.
Kumbe dude la variant toka SA liko njiani.
 
Kesi nyingi za jinai tumezoa Jamhuri akichukua uongoz na siyo mtu binafsi. Katika kesi ya jinai iliyofunguliwa dhidi Makonda, Kubenea ndiyo mlalamikaji. Hoja anazolalamikia zinahusu uvamizi wa Clouds ambapo waiovamiwa walishasema awahusiki, silaha zilizotumika ni za serikali na serikali haijawahi kusema zilitumika kinyume cha sheria. Waliotumika ni Watumishi wa umma na walipongezwa kwa kazi nzuri iliyopelekea Waziri kufutwa kazi.

Leo tunaona magazeti yanaweka hii case Frontline, social media zinajadili, wapinzani nao wanaunga mkono; je kama Jamhuri haijaona kona Kubenea atathibitishaje ? Kama waliovamiwa wamejiweka pembeni kubenea Ali uchunguzi Mwenyewe? Kumbukeni tumeambiwa loudly kwamba Mahakamani siyo kwa Mama zenu, tunajichosha nn na agenda mfu za Kubenea?
Mama Kamugisha
Tetemeko gani ? hakuna hela hapa za tetemeko....
 
ulitegemea kitu gani kingetokea tofauti na hiki kilichotokea wakati mwajiri wa mtuhumiwa ndiye aliyekuwa gaidi mkuu tofauti na akinamakonda na akinasabaya alikuwa hawezi kwenda msitari wa mbele kutokana na wadhifa wake zaidi ya kuwatuma akinamakonda na akinasabaya.

We mzima kweli.
 
Kesi nyingi za jinai tumezoa Jamhuri akichukua uongoz na siyo mtu binafsi. Katika kesi ya jinai iliyofunguliwa dhidi Makonda, Kubenea ndiyo mlalamikaji. Hoja anazolalamikia zinahusu uvamizi wa Clouds ambapo waiovamiwa walishasema awahusiki, silaha zilizotumika ni za serikali na serikali haijawahi kusema zilitumika kinyume cha sheria. Waliotumika ni Watumishi wa umma na walipongezwa kwa kazi nzuri iliyopelekea Waziri kufutwa kazi.

Leo tunaona magazeti yanaweka hii case Frontline, social media zinajadili, wapinzani nao wanaunga mkono; je kama Jamhuri haijaona kona Kubenea atathibitishaje ? Kama waliovamiwa wamejiweka pembeni kubenea Ali uchunguzi Mwenyewe? Kumbukeni tumeambiwa loudly kwamba Mahakamani siyo kwa Mama zenu, tunajichosha nn na agenda mfu za Kubenea?
Dada Bite, hakuna kitu pale!.
Wanabodi, naomba niendelee kuwahakikishia, hata hili linalosemwa semwa kumhusu mtu huyu, kufunguliwa mashitaka, na kufikishwa mahakamani Desemba 3, ni uongo tuu, hayo mashitaka ni mashitaka ya upepo tuu, na na yatapita tuu kama upepo, hakuna lolote la maana wala hakuna chochote kwenye mashitaka hayo, ni wanasheria tuu wamekutana na kichaa mmoja, pesa za pensheni ya ubunge zinamuwashawasha, wakaamua wazile, na watazitafuna kweli kweli!. Hivyo wale wanaosubiri kinachosemwa kitokee, naomba kuwahakikishia, watasubiri sana, hakuna kitu pale!.
P
Tunadanganyana mitandaoni kuhusu Makonda!

Paul Christian Makonda hajashitakiwa kama inavyopotoshwa na wengi kwenye magazeti na mitandaoni.

Huko aliko yuko zake huru anakula vya nchi bila bughudha ya yeyote.

Kilichotokea ni kwamba aliyekuwa mbunge wa Ubungo SAED AHMED KUBENEA amefungua maombi mahakama ya wilaya Kinondoni akiomba aruhusiwe yeye binafsi kumshitaki Makonda kwa matumizi mabaya ya ofisi.

Maombi haya kisheria hufanyika chini ya kifungu no. 99 (1) na (2) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai Tanzania.
Kwa mujibu wa kifungu hiki, kwa mtu yeyote binafsi akiwa na Imani kwamba fulani ametenda kosa la jinai na hajashitakiwa basi yeye binafsi anaruhusiwa kumshitaki huyo fulani kwa kufuata utaratibu huo ambao kisheria tunaita "Private Prosecutions".

Maombi haya kama maombi mengine, yanaweza kukubaliwa au kukataliwa na mahakama kutegemea na hoja zitakazotumika na mwombaji kuishawishi mahakama imuamini kuvaa viatu vya Dpp ambaye kimsingi ndiye mwenye mamlaka ya kushtaki kwa niaba ya Jamhuri.

Kimsingi katika maombi haya mwombaji hulazimika kumuunganisha Dpp kama mujibu maombi ili apate nafasi ya kueleza aidha kukubali au kutokukubali maombi hayo kwa sababu atakazozitoa.
Lakini pia unaweza kumuunganisha DCI ambaye ndiye kimsingi mwenye mamlaka ya kupeleleza makosa ya jinai nchini, naye aje aeleze kama anaridhika na maombi yako hayo.
Kwa maana ufupi ni kwamba kwa kuwa DCI yeye hajaona jinai na DPP naye hajaona haja ya kufungua mashtaka dhidi ya mshtakiwa mtarajiwa unaweza kuona ugumu wa hizi mamlaka mbili kukubali maombi haya kwa nafasi zao.
Lakini pia inaweza ikawa ndivyo njia rahisi kumshitaki Makonda kwa kuwa ikumbukwe huyu DCI wa Sasa Ashafanya kazi chini ya Makonda, ni namaanisha wanajuana vizuri na pengine ni maswahiba, kwa hiyo DCI kama alikuwa anamuonea haya swahiba basi Sasa ameshapata pa kujificha kwamba mashtaka hayakufanywa na yeye bali na mtu binafsi.
SASA kwa wana Habari tuhabarishane Habari sahihi, ebu angalia hicho kichwa cha Habari hapo juu,.... "YAMETIMIA", yametimia manini, watanzania wengi husoma magazeti kwa kutazama tu vichwa vya Habari, hapo umeshampotosha.
Habari ndogo inasema eti.. "kesi kuanza kusikilizwa Dec 3", uongo mtupu, hakuna kesi, hicho kinachokwenda kusikilizwa hiyo tarehe 3 December ni maombi ya KUBENEA kama nilivyoeleza hapo juu yaliyosajiliwa kama Maombi ya Jinai no. 7 ya mwaka 2021, na maombi ya namna hii yanaendeshwa kwa mfumo wa madai, hakuna Polisi wala mgambo hapo!View attachment 2025282
Mkuu Makonyeza , asante sana kwa bandiko hili. Kiukweli baadhi ya wetu wana ushetani wa ajabu, watu wamehamanika binadamu wenzetu wanapopata matatizo, wanashangilia afikishwe kwa Pilato.

Kitu cha ajabu sana kuhusu gazeti la Raia Mwema, Mwenyekiti wa bodi ya uhariri ni mwanasheria, hivyo anaelewa kila kitu lakini sijui kwa nini anaacha gazeti lake lipotoshe!.

Kuna jinai za aina mbili,
1. Public criminal liabilities, kufanya jinai ya umma, ambazo lazima ziwe prosecuted na public prosecutor.
2. Kuna jinai za Private, or personal criminal liabilities, hizi ni jinai binafsi, kama wizi, kubakwa, kuvamiwa, personal injury, criminal trespass etc, hizi hatua ya kwanza ni kwa mtendewa kulalamika kwa kwenda kuripoti polisi na kufunguliwa RB.

Mwanamke akibakwa, asiposhitaki kwamba amebakwa, then atahesabika ameridhia, unless she is a minor.

Kitendo alichofanya Makonda kuvamia CMG ni criminal trespass, ili iwe ni jinai ilibidi Clouds wakaripoti polisi, walalamike. Ni jukumu la ofisi ya DPP kushughulikia malalamiko hayo na kuyafanyia uchunguzi.

Lakini kwa uvamizi ule, Clouds TV hajalalamika popote, hajaripoti polisi wala kufungua mashitaka yoyote.

Iwapo Clouds wangeripoti polisi na kupewa RB, kisha polisi na DPP wakaona hakuna jinai, then Clouds ndio wakaamua kumuajiri a private prosecutor, na kumfuata Kubenea, then hapo ndipo Kubenea angekuwa na locus stand to apply to institute a private criminal investigation na kuleta private criminal case against Makonda.

Ili mtu uwe ni private investigator lazima utumwe na kuajiriwa kama wafanyavyo kwa mawakili. Sasa kwenye hili la Kubenea, katumwa na nani?.

Kama Kubenea ni raia mwema wa JMT, na ameona jinai imetendeka na serikali imeshindwa kuchukua hatua, Kubenea would have made a lot of sense kama ange launched a private prosecution kwa niaba ya Shambulio la Lissu.

Watu wamehamanika bure, hakuna lolote la maana kwenye shauri hili, linapigwa chini day one ya kusikilizwa!.
Hivyo hoja zangu kwenye bandiko hili Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!. bado ziko valid and still stands.

P
 
HABARI Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguliwa kesi ya jinai Mahakamani akituhumiwa kwa mambo mbalimbali ikiwemo matumizi mabaya ya madaraka ikiwemo suala la kuvamia kituo cha televisheni cha Clouds Media, Machi 17 mwaka 2017

Kesi dhidi ya Makonda imewasilishwa Mahakamani na Mawakili wa Kujitegemea na inatarajiwa kuanza kusikilizwa Desemba 3 mwaka huu.

View attachment 2024674
Huu ni upotoshaji tuu wa Raia Mwema, hakuna kitu kama hicho, ukweli ni huu
Wanabodi, naomba niendelee kuwahakikishia, hata hili linalosemwa semwa kumhusu mtu huyu, kufunguliwa mashitaka, na kufikishwa mahakamani Desemba 3, ni uongo tuu, hayo mashitaka ni mashitaka ya upepo tuu, na na yatapita tuu kama upepo, hakuna lolote la maana wala hakuna chochote kwenye mashitaka hayo, ni wanasheria tuu wamekutana na kichaa mmoja, pesa za pensheni ya ubunge zinamuwashawasha, wakaamua wazile, na watazitafuna kweli kweli!. Hivyo wale wanaosubiri kinachosemwa kitokee, naomba kuwahakikishia, watasubiri sana, hakuna kitu pale!.
P
Tunadanganyana mitandaoni kuhusu Makonda!

Paul Christian Makonda hajashitakiwa kama inavyopotoshwa na wengi kwenye magazeti na mitandaoni.

Huko aliko yuko zake huru anakula vya nchi bila bughudha ya yeyote.

Kilichotokea ni kwamba aliyekuwa mbunge wa Ubungo SAED AHMED KUBENEA amefungua maombi mahakama ya wilaya Kinondoni akiomba aruhusiwe yeye binafsi kumshitaki Makonda kwa matumizi mabaya ya ofisi.

Maombi haya kisheria hufanyika chini ya kifungu no. 99 (1) na (2) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai Tanzania.
Kwa mujibu wa kifungu hiki, kwa mtu yeyote binafsi akiwa na Imani kwamba fulani ametenda kosa la jinai na hajashitakiwa basi yeye binafsi anaruhusiwa kumshitaki huyo fulani kwa kufuata utaratibu huo ambao kisheria tunaita "Private Prosecutions".

Maombi haya kama maombi mengine, yanaweza kukubaliwa au kukataliwa na mahakama kutegemea na hoja zitakazotumika na mwombaji kuishawishi mahakama imuamini kuvaa viatu vya Dpp ambaye kimsingi ndiye mwenye mamlaka ya kushtaki kwa niaba ya Jamhuri.

Kimsingi katika maombi haya mwombaji hulazimika kumuunganisha Dpp kama mujibu maombi ili apate nafasi ya kueleza aidha kukubali au kutokukubali maombi hayo kwa sababu atakazozitoa.
Lakini pia unaweza kumuunganisha DCI ambaye ndiye kimsingi mwenye mamlaka ya kupeleleza makosa ya jinai nchini, naye aje aeleze kama anaridhika na maombi yako hayo.
Kwa maana ufupi ni kwamba kwa kuwa DCI yeye hajaona jinai na DPP naye hajaona haja ya kufungua mashtaka dhidi ya mshtakiwa mtarajiwa unaweza kuona ugumu wa hizi mamlaka mbili kukubali maombi haya kwa nafasi zao.
Lakini pia inaweza ikawa ndivyo njia rahisi kumshitaki Makonda kwa kuwa ikumbukwe huyu DCI wa Sasa Ashafanya kazi chini ya Makonda, ni namaanisha wanajuana vizuri na pengine ni maswahiba, kwa hiyo DCI kama alikuwa anamuonea haya swahiba basi Sasa ameshapata pa kujificha kwamba mashtaka hayakufanywa na yeye bali na mtu binafsi.
SASA kwa wana Habari tuhabarishane Habari sahihi, ebu angalia hicho kichwa cha Habari hapo juu,.... "YAMETIMIA", yametimia manini, watanzania wengi husoma magazeti kwa kutazama tu vichwa vya Habari, hapo umeshampotosha.
Habari ndogo inasema eti.. "kesi kuanza kusikilizwa Dec 3", uongo mtupu, hakuna kesi, hicho kinachokwenda kusikilizwa hiyo tarehe 3 December ni maombi ya KUBENEA kama nilivyoeleza hapo juu yaliyosajiliwa kama Maombi ya Jinai no. 7 ya mwaka 2021, na maombi ya namna hii yanaendeshwa kwa mfumo wa madai, hakuna Polisi wala mgambo hapo!View attachment 2025282
Mkuu Makonyeza , asante sana kwa bandiko hili. Kiukweli baadhi ya wetu wana ushetani wa ajabu, watu wamehamanika binadamu wenzetu wanapopata matatizo, wanashangilia afikishwe kwa Pilato.

Kitu cha ajabu sana kuhusu gazeti la Raia Mwema, Mwenyekiti wa bodi ya uhariri ni mwanasheria, hivyo anaelewa kila kitu lakini sijui kwa nini anaacha gazeti lake lipotoshe!.

Kuna jinai za aina mbili,
1. Public criminal liabilities, kufanya jinai ya umma, ambazo lazima ziwe prosecuted na public prosecutor.
2. Kuna jinai za Private, or personal criminal liabilities, hizi ni jinai binafsi, kama wizi, kubakwa, kuvamiwa, personal injury, criminal trespass etc, hizi hatua ya kwanza ni kwa mtendewa kulalamika kwa kwenda kuripoti polisi na kufunguliwa RB.

Mwanamke akibakwa, asiposhitaki kwamba amebakwa, then atahesabika ameridhia, unless she is a minor.

Kitendo alichofanya Makonda kuvamia CMG ni criminal trespass, ili iwe ni jinai ilibidi Clouds wakaripoti polisi, walalamike. Ni jukumu la ofisi ya DPP kushughulikia malalamiko hayo na kuyafanyia uchunguzi.

Lakini kwa uvamizi ule, Clouds TV hajalalamika popote, hajaripoti polisi wala kufungua mashitaka yoyote.

Iwapo Clouds wangeripoti polisi na kupewa RB, kisha polisi na DPP wakaona hakuna jinai, then Clouds ndio wakaamua kumuajiri a private prosecutor, na kumfuata Kubenea, then hapo ndipo Kubenea angekuwa na locus stand to apply to institute a private criminal investigation na kuleta private criminal case against Makonda.

Ili mtu uwe ni private investigator lazima utumwe na kuajiriwa kama wafanyavyo kwa mawakili. Sasa kwenye hili la Kubenea, katumwa na nani?.

Kama Kubenea ni raia mwema wa JMT, na ameona jinai imetendeka na serikali imeshindwa kuchukua hatua, Kubenea would have made a lot of sense kama ange launched a private prosecution kwa niaba ya Shambulio la Lissu.

Watu wamehamanika bure, hakuna lolote la maana kwenye shauri hili, linapigwa chini day one ya kusikilizwa!.
Hivyo hoja zangu kwenye bandiko hili Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!. bado ziko valid and still stands.

P
 
Huu ni upotoshaji tuu wa Raia Mwema, hakuna kitu kama hicho, ukweli ni huu


Mkuu Makonyeza , asante sana kwa bandiko hili. Kiukweli baadhi ya wetu wana ushetani wa ajabu, watu wamehamanika binadamu wenzetu wanapopata matatizo, wanashangilia afikishwe kwa Pilato.

Kitu cha ajabu sana kuhusu gazeti la Raia Mwema, Mwenyekiti wa bodi ya uhariri ni mwanasheria, hivyo anaelewa kila kitu lakini sijui kwa nini anaacha gazeti lake lipotoshe!.

Kuna jinai za aina mbili,
1. Public criminal liabilities, kufanya jinai ya umma, ambazo lazima ziwe prosecuted na public prosecutor.
2. Kuna jinai za Private, or personal criminal liabilities, hizi ni jinai binafsi, kama wizi, kubakwa, kuvamiwa, personal injury, criminal trespass etc, hizi hatua ya kwanza ni kwa mtendewa kulalamika kwa kwenda kuripoti polisi na kufunguliwa RB.

Mwanamke akibakwa, asiposhitaki kwamba amebakwa, then atahesabika ameridhia, unless she is a minor.

Kitendo alichofanya Makonda kuvamia CMG ni criminal trespass, ili iwe ni jinai ilibidi Clouds wakaripoti polisi, walalamike. Ni jukumu la ofisi ya DPP kushughulikia malalamiko hayo na kuyafanyia uchunguzi.

Lakini kwa uvamizi ule, Clouds TV hajalalamika popote, hajaripoti polisi wala kufungua mashitaka yoyote.

Iwapo Clouds wangeripoti polisi na kupewa RB, kisha polisi na DPP wakaona hakuna jinai, then Clouds ndio wakaamua kumuajiri a private prosecutor, na kumfuata Kubenea, then hapo ndipo Kubenea angekuwa na locus stand to apply to institute a private criminal investigation na kuleta private criminal case against Makonda.

Ili mtu uwe ni private investigator lazima utumwe na kuajiriwa kama wafanyavyo kwa mawakili. Sasa kwenye hili la Kubenea, katumwa na nani?.

Kama Kubenea ni raia mwema wa JMT, na ameona jinai imetendeka na serikali imeshindwa kuchukua hatua, Kubenea would have made a lot of sense kama ange launched a private prosecution kwa niaba ya Shambulio la Lissu.

Watu wamehamanika bure, hakuna lolote la maana kwenye shauri hili, linapigwa chini day one ya kusikilizwa!.
Hivyo hoja zangu kwenye bandiko hili Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!. bado ziko valid and still stands
Haya tumekusikia
 
Back
Top Bottom