Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Mm pia mara nyingi nimekuwa nikiamini kuwa ukifa unazaliwa tena kwa mtu mwingne japo utakuwa hujitambui kuwa uliwahi ishi duniani,, ila hayo ni mawazo yangu naamini kuwa MUNGU anajua nisiyojua maana yeye ndo muumba wa mbingu na nchi na vyote vilivyomo

Hiyo inaitwa reincarnation doctrine, imetokana na Hindu mythology. Hilo fundisho siliamini Gluk
 
Zamu ya kufanyaje?
Mtu hujui chochote alafu unajifanya eti unajua.

[emoji2] [emoji2] [emoji2]

Wapo viumbe ambao wana uwezo mkubwa kiasi cha kudhani ni miungu na wanamheshimu Mungu lakini wewe usiyejua hata dakika moja mbele unaropoka kama kichaa.

Subiri zamu yako. Naamini unayo akili ambayo Mungu amekupa ambayo hiyo hiyo ndio utajionea kuwa ulikuwa kichaa
 
Kaka huko uliko umepita mpaka wee Unajitambua lakini mwenyezimungu sio binadamu please brother hata kama umeshiba au una njaa umelala au umesimama fikiria kabla ya kunena muombe Sana mwenyezimungu umfahamu utakua ni mtu mwenye hekma mtulivu na mwenye subra ya khali ya juu please sisi tukiwa na njaa tunamuomba tukishiba ilikhali ni kitika situation yoyote
 
Nimetamani kungekuwa na kitufe cha dislike ili nidislike comment yako. Mkuu huyu mtoa uzi ni Muhanga sawa na mgonjwa wa Ukimwi. Anatakiwa kupewa mtazamo mpya wa kisaikolojia ili aelewe kwann yote hayo anayoyaona mabaya yapo hivyo, kwann Mungu anaacha mabaya yaendelee kutokea.Mimi namuona mtoa Uzi ni mtu anayehitaj msaada wa kimtazamo zaidi tofauti na wengi wanaomuhukumu na kumuona kama mtu mwenye kiburi cha uzima wakati ni wazi huyu ndugu hafurahii maisha ya Duniani pengine kutokana na magumu anayoyapitia. Ngoja niishie apa nitarudi na ushauri wangu kwa muhusika
Mkuu huo uzi kuja hapa jf si mara ya kwanza,uyo kaamua kuleta huu uzi kama kibirudisho tu,anajua sana tu afanyacho ila anajitoa akili.kaucopy huko aliko na kuupaste alaf kauleta hapa,mm sio mara ya kwanza kuuona huu uzi.
hakuyaleta kutoka kichwan mwako hapo tungesema kweli kazidiwa kisaikology,lkn hana lolote anajielewa sana tu ila anazirusha kdg
 
Inaonekana uko stressed muda huu (point yako ya sita) as if kuna jambo baya umefanya,linakuumiza,unalijutia

Kama iko hivyo kweli ni heri ukatubu kwa imani yako na kuamini sisi binadamu hakuna mkamilifu,wote tunamkosea Mungu

Kwa imani yangu nafahamu Mungu ni pendo na huwa hakusudii baya lolote litutokee
Sasa kama humpendi yeye manake hata ndani yako hakuna upendo

USHAURI
Usipende kumuongelea Mungu kiboya boya kama unawongelea wachumba zako huko

Hayo maswali # 1,2&3 nimeshindwa kuyajibu kwasababu sipo into dini kabisa
Mungu wa kweli ni yupi? Yule wanayemwabudu wahindi au wachina? Au mungu anayeabudiwa na waislam? Yupi ni mungu wa kweli?


Ukweli ni kwamba, hakuna kitu, mtu, mdudu au chochote kinaitwa mungu kilichoiumba dunia. Ni uwezo wa wakoloni walionao kuweza kuwapandikiza ndugu zetu mpaka wakaamini kwa upumbavu waliokua nao

Ukibisha nitakuuliza swali hili hapa.
Kwani mipaka ya nchi iliumbwa na mungu au ni wakoloni waliiweka ili wasigombane wao kwa wao?
Jibu ni wakoloni. Vipi kuhusu wewe habari za ku feel kabisa utanzania ndani yako? Najua hapa utakua hujanielewa ila namaanisha kila ulichofundishwa kinalenga kumnufaisha mtu mweupe. Tafakari chukua hatua
 
Mkuu huo uzi kuja hapa jf si mara ya kwanza,uyo kaamua kuleta huu uzi kama kibirudisho tu,anajua sana tu afanyacho ila anajitoa akili.kaucopy huko aliko na kuupaste alaf kauleta hapa,mm sio mara ya kwanza kuuona huu uzi.
hakuyaleta kutoka kichwan mwako hapo tungesema kweli kazidiwa kisaikology,lkn hana lolote anajielewa sana tu ila anazirusha kdg
Ooowky! So this folk play with us... So disappointed
 
Mkuu,
Mwenyezimungu asingeweza kukuchoma jehanam bila ya kukuleta duniani kwanza. Cha kwanza alipokuleta akakupa akili na uwezo wa kupambanua zuri na baya,haki na batili. Akaleta mitume yake duniani yote ikiwa na lengo moja la kuwaelekeza watu wamjue yeye aliyewaleta na wamwabudu. Kuna mambo mengi ambayo ni miujiza tosha iliyopo mbele ya macho yako bila hata ya kusafiri useme nauli sina kama na Mimi ningeenda ulaya kuona ushahidi wa uwepo wa mungu. Mwenyezimungu amekupatia kila kitu afya,pumzi na ukiugua kwa uwezo wake utapona.
Mtake msamaha mungu kaa chini waone watu wenye elimu ya dini ya kutosha watakutosheleza kwa majibu ya maswali yako badala ya kukaa na maswali bila ya kuhangaika kwa makusudi ili uweze kuelewa wema wa Mungu.
Nakuombea kwa Mungu upate kumjua na kuondoa mawazo hasi juu yake.
Mkuu mimi swali langu ni hili..
Mungu anajua kila kitu hivyo alijua kuwa yule malaika mkuu atakuja kumsaliti hata kabla ya kumuumba sasa kwanini alimuumba?
Bado akajua Adam na Eva wataongopewa na shetani na hayo aliyajua hata kabla ya kutokea wala kuwaumba lakini still akawaumba na kuacha yatokee.
Swali langu kama anaja mambo yote hata kabla hayajatokea lakini anayaacha it seems it is our destiny.
Ishapangwa kwamba juma atakuwa mtenda dhambi hata kabla ya kuzaliwa so ataenda moton still anamuacha.
 
1)mungu katuumba na kutuleta dunian tumtii na kufata maarisho yake na sio kufanya maasi kama alivyoyakataza.na aliahidi waovu wote makazi yao ni motoni.

2)shetani kikawaida yupo kwaajil ya kupotosha watu,mfn(ww afanyapo kosa sasa ivi usimlaumu mzaz lile kosa litahesaba ni lako na utahukumiwa ni ww)ndivo ilivo kwa adam wao walijua fika shetan ni mtu wa vishawish na he is exist,lkn shetan aliwazid akili ,kwaio kosa hapo si la alietuumba bali lihesabike kwa alielitenda.

3)Tunamtumikia mungu kwasaabu yy ndie alietuumba na kutupa pumzi ambayo leo hii tunaipumulia,tunakula na kutembea juu ya mgongo wa ardhi yake bila malipo yyt.
Iweje usifate amri zake ,tunafata amri zake kwani mafundisho yake siku zote yanafaida kubwa kwetu na makatazo yake ukiyachunguza basi jua yanamadhara makubwa mno kwetu.Pia tunamtii aliahid wote watakaomfuata maarisho yake na kumtii basi makazi yetu ninpeponi na si moton.

4)kama kuchoma moto ni his nature iweje mpk leo hii uko hai ww,kwanini hajakuangamiza mpk dakika hii ambapo kabla hukuandika thread ungekikua ushaangamizwa,hana ukatili uo kwani yy ndie aliekuumba na kukuwacha uwe hai mpk dakika hii hapa upo hapa jf.

5)hawez kamwe kukujib faceface kama ww ni nani kwa mfano.
Kumbuka sisi wanaadam wote tuko ktk majarbu hapa dunian,tukifanyacho ndicho tukijengacho huko akhera,
Ww unapokua chumba cha mtihani unaenda ww kama ww pale ndo inatizamwa akili yako kama utavurunda au utajenga ndipo sasa tulipo,tupo duniani tunaishi ishi tu majibu tunayo wenyew,sasa ni upto u.
mwisho wa siku mtihani wako uliopewa dunian kuujaza utahesabiwa na utalipwa kwa ulichokichuma.

6)dunia ni nzuri ila watu ndo waovu,umechoka kuishi usimlaumu aliekuumba umeletwa in exam fanya kilichokuleta ukivuruga ni ww ukijenga pia ni ww,kila mtu atakufa pekeake kama ulivokuja dunian pekeako ndivo utavoondoka.
 
Nini mbaya na wewe buddy? Kwani umeua mtu ukanaona huyaongee yote hayo maana uliona Mungu kamwe hawezi kukusamehe?
Acha ukora bana, bora uwe AGNOSTIC kama niivyo, pia wewe unampenda nani kama siyo Mungu?
Pia hatma yako unaijua?
 
Mkuu huo uzi kuja hapa jf si mara ya kwanza,uyo kaamua kuleta huu uzi kama kibirudisho tu,anajua sana tu afanyacho ila anajitoa akili.kaucopy huko aliko na kuupaste alaf kauleta hapa,mm sio mara ya kwanza kuuona huu uzi.
hakuyaleta kutoka kichwan mwako hapo tungesema kweli kazidiwa kisaikology,lkn hana lolote anajielewa sana tu ila anazirusha kdg

Arabian queen naomba u-prove your statement. Yote niliyoyaandika kwenye mada nimeyatoa kichwani kwangu, sikuandika hii mada kuchangamsha jukwaa, niliandika hii mada ili ni-share mawazo nliyonayo. Arabian queen Daviie
 
Haya ndo mawazo yangu nimeamua ku-share nanyi, najua hata povu linitoke vipi it won't change the facts. Samahani kwa ntakaekuwa nimewakwaza humu jukwaani, naamini Mungu alishayajua mawazo yangu kuhusu yeye toka kitambo. So im just keeping it real.
Mkuu, kabla ya kuandika huu uzi wako ungeisoma Amri ya kwanza, nayo ni hii, 'Mpende Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa nguvu zako zote na kwa akili zako zote'. Loving God is not an option.
Pole kwa kupitia kipindi kigumu mpaka kujiuliza maswali hayo magumu... Mwenyezi Mungu unayemchukia akusaidie katika kipindi hiki kigumu unachokipitia...
 
Mpende sana shetani wala usimwache, yeye hana double standard, ni mzuri na ana upendo wa dhati kwa watu wake
Na ukimuacha shetani nilazima akubembeleze ili mrudiane tena, kweli shetani anamapenzi ya dhati kwa watu wake.
 
Arabian queen naomba u-prove your statement. Yote niliyoyaandika kwenye mada nimeyatoa kichwani kwangu, sikuandika hii mada kuchangamsha jukwaa, niliandika hii mada ili ni-share mawazo nliyonayo. Arabian queen Daviie
Its not my first tym kuona huu uzi,i cant prove it kwasbabau siwez kuzunguka post moja moja ya jukwaa na kuanza kitafuta kitu ambacho hakina manufaa wala hakileti sense
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom